Dark days 17/03/20...

[mention]yoga [/mention] yupo zake mapumziko baada ya kazi nzuri :aje amalizie story yetu ma staring wanavyo fia kwenye majani: Mungu akulinde uje umalizie story yetu tuko pamoja nawewe tunakuombea mema[mention]yoga [/mention]
 
Tembo mmesema ni nanaci pole yake na mwanae, sasa hawa kina
anonymous, unknown & Tanzanite hizi codes tusaidieni jamani hasa watu wa arachugan mnaweza kuwakumbuka hawa wa3 walioopotezwa ghafla (mini branch manager alaaniwe )
Tanzanite anaumwa toka alipojiapisha kumrudi Borntown kidogo kidogo hali ya afya yake imekuwa ikishiku kila kuchwao,jua mwishoni alikuwa swaiba wa late CEO wa kampuni.
 
nimeielewa Point yako saaana,Binafsi niliwahi kuwaza i kitu!! tusome ila tusibebe mambo km yalivyo...za kuambiwa Changanya na zako,,sombdy smwhere ni King wa Propaganda na sisi bongo tunapenda propaganda so anatupatia mdo mdo
 
Unamjaza unafikiri atashoboka na hiyo english πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…