Daah!! Unajua sana 'Mamboz' Mkuu. I like that.Story itendelea yoga akirudi toka kwa Nduli.
JF bhana... Mie nimeshawahi tena juzi States.Hivi mkuu ushawahi kula Roast Taamu la Azizi?
Agreed with uKwa utunzi huu unadhani yoga ni mtu wa kukosea grammar?
He/She is more smart than we think.
Hata kama ningekuwa mimi ndo mleta mada basi ningewaletea both broken swahili and english mpaka mseme nimeishia la 4D[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Babu huyu manzi simuelewe kbsa Kaz kuchekacheka tu hapa hata visivyo chekesha
nanaKi ndiye tembo, bado yupo Kampuni, ngoja wajuzi wafungue mtoto tembo Dereva na msaidizi walivyoleftishwa na mini Branch huko alachugaIyo nanaci ndio nani na uyo mr tembo ni yupi au harmonise?
Ukikua utaacha.Naona news za buana haa mym zimenyofolewa, na naamini atakuwa kala BAN. Ila ninachoshukuru watukanaji na dhihaka wa hayati Dkt Magufuli naona wameufyata baada ya kuona upepo is not on their side. Sijui watakuja na nini tena maana the damage ya political career yao is huge tena very huge in terms of people ni multitudes hatred.
Hamtaki tujue ukweli eeeh?[emoji23][emoji23][emoji23] badilisha approach yako, ni ya kishamba.Ukikua utaacha.
Haiwezi kuisha kwa sababu mtungaji ni mtu wa kuunga unga matukio ili kuendeleza story, haina ukweli wowoteHii story itaisha kweli
Mpuuzi kama huyo marehemu wakoNaona news za buana haa mym zimenyofolewa, na naamini atakuwa kala BAN. Ila ninachoshukuru watukanaji na dhihaka wa hayati Dkt Magufuli naona wameufyata baada ya kuona upepo is not on their side. Sijui watakuja na nini tena maana the damage ya political career yao is huge tena very huge in terms of people ni multitudes hatred.
watu wa ajabu sana, member anakuombea BAN kwa ajili ya mwendazakeUkikua utaacha.
Ukishasoma Uzi wa Yoga unatakiwa pia upitie koment za wadau humu mpaka page kadhaa unakuwa umeshapata code zoteJaman wakulungwa wenzangu samahanini kuna codes zimenitoa knock out
Unknown ,,Mzee Tembo,,business partner na mr anonymous
Nisaidieni wakulungwa
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Wewe endelea tu kunywa mtori wako, nyama utazikuta kwa chini.Jaman wakulungwa wenzangu samahanini kuna codes zimenitoa knock out
Unknown ,,Mzee Tembo,,business partner na mr anonymous
Nisaidieni wakulungwa
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
NoMzee ni mtu wa kusini na mwanayanga na tanzanite ni morani,bado ana hasira na smiling face!
besti sikukuona maeneo.Ahaa Kumbe... asante kumbe nechanganya mafaili
besti sikukuona maeneo.