Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
okay okay niko kusubiri.Nilitingwa kidogo best nakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
okay okay niko kusubiri.Nilitingwa kidogo best nakuja
Mkuu mimi ni me, kwanini unapenda kutukana au kutumia lugha za kudhalisha? Au unakuwa umeishiwa hoja?Mimba ushatoa?
Hivi Jiwe anakuwaje anapata wafuasi? Kuna watu ni wapumbavu aiseeNaona news za buana haa mym zimenyofolewa, na naamini atakuwa kala BAN. Ila ninachoshukuru watukanaji na dhihaka wa hayati Dkt Magufuli naona wameufyata baada ya kuona upepo is not on their side. Sijui watakuja na nini tena maana the damage ya political career yao is huge tena very huge in terms of people ni multitudes hatred.
mkuu kama wewe si mfuasi wake si unabana matakle a kuutuliza tu kwani kuna tatizo???Hivi Jiwe anakuwaje anapata wafuasi? Kuna watu ni wapumbavu aisee
Hivi Jiwe anakuwaje anapata wafuasi? Kuna watu ni wapumbavu aisee
Pole sana. Dkt Magufuli anapendwa mno kwa taarifa yako. Ukitaka kuona umaarufu wa Dkt Magufuli nakushauri nenda pale kariakoo halafu anza kumkashifu au panda daladala uanze kumkashfu Dkt Magufuli, kitakachokutokea tujulisheHivi Jiwe anakuwaje anapata wafuasi? Kuna watu ni wapumbavu aisee
Labda Kariakoo ya Chatoo,🤣🤣🤣🤣🤣🤣Pole sana. Dkt Magufuli anapendwa mno kwa taarifa yako. Ukitaka kuona umaarufu wa Dkt Magufuli nakushauri nenda pale kariakoo halafu anza kumkashifu au panda daladala uanze kumkashfu Dkt Magufuli, kitakachokutokea tujulishe
Sasa wewe na cheti feki chako hicho utaanzaje kuwa mfuasi wa JPM?Hivi Jiwe anakuwaje anapata wafuasi? Kuna watu ni wapumbavu aisee
Mimba unayoMkuu mimi ni me, kwanini unapenda kutukana au kutumia lugha za kudhalisha? Au unakuwa umeishiwa hoja?
MkuuKuna ID's humu za miaka ya 2010-2014 zina like comments tu hadi zinaogopesha[emoji16]
Kwa hiyo nawe huo mkwara mbuzi ukakuogopesha?Mkuu
Uzi huu ni wa kijasusi na Wana jambo lao wanataka kutufikishia!
Wanatuchora na kutucheka huko pm!
Nimewahi onywa kisa kuchangia huu uzi!
Pia muonyaji akaniambia nikumbuke natumia public internet kuingia humu!
Nikajua we aren't alone with this!!
Anapendwa kuliko hata wewe ulie hai.Hivi Jiwe anakuwaje anapata wafuasi? Kuna watu ni wapumbavu aisee
Heee.... Pamoja na hayo JPM ni zawadi ya kipekee Mungu alitubariki tanzania, watu wa aina yake hawazaliwi kila siku, jamaa aliipenda nchi kutoka moyoni na sio kama hawa wasaliti na waigizaji walamba asaliMkuu
Uzi huu ni wa kijasusi na Wana jambo lao wanataka kutufikishia!
Wanatuchora na kutucheka huko pm!
Nimewahi onywa kisa kuchangia huu uzi!
Pia muonyaji akaniambia nikumbuke natumia public internet kuingia humu!
Nikajua we aren't alone with this!!
Funga mdomo wako wewe sukuma gang, alikuwa zawadi kwako na familia yako ambao hamjielewiHeee.... Pamoja na hayo JPM ni zawadi ya kipekee Mungu alitubariki tanzania, watu wa aina yake hawazaliwi kila siku, jamaa aliipenda nchi kutoka moyoni na sio kama hawa wasaliti na waigizaji walamba asali
Jiwe anapendwa na wapumbavu pamoja na masikini ambao hawajielewi wala kujua nini kinaendelea duniani. Nipe mfano wa mtu wenye weredi na akili ambaye anamkubali JiweAnapendwa kuliko hata wewe ulie hai.
Ukitaku kujua anapendwa kiasi gani, waweke picha yake igombee urais afu hiyo picha igombee na kiongozi yeyote aliye hai ambae wewe unampenda kuliko jpm siku hiyo utajificha shimoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimba unayo
Hicho ndiyo kichaka chenu? Wapumbavu na masikini ni rahisi zaidi kudanganywa. Watu kama wewe eti ndiyo wafuasi wa jiwe.Sasa wewe na cheti feki chako hicho utaanzaje kuwa mfuasi wa JPM?
Umeona jinsi ulivyo mjinga na masikini. Sikatai ana wafuasi tena wengi, lakini ni watu wa aina gani? Wengi ni kama dizaini yako.Pole sana. Dkt Magufuli anapendwa mno kwa taarifa yako. Ukitaka kuona umaarufu wa Dkt Magufuli nakushauri nenda pale kariakoo halafu anza kumkashifu au panda daladala uanze kumkashfu Dkt Magufuli, kitakachokutokea tujulishe
Unalaumu mimi kutukana watu wapumbavu lakini hapo hapo na wew unanitukana mimi pamoja na wazazi wangu. Ndiyo maana wafusi wake ni dizaini ya watu kama wewe.Wapumbavu ni waliokuleta Duniani. Kwa nini utuktane wanaopenda usichopenda wewe? Punguani mmoja wewe