Dark days 17/03/20...

Polonium 210 una homa wewe
 
Kwahiyo Mkuu kabla ya december riwaya itakua imefika mwisho?
Halafu pia mkuu!ujue hata kama Born town katumika kwenye mission Sio yeye binafsi kama yeye!!Bali wenye nchi watakua wamemshirikisha mchongo HUO!!Tumia akili anaandika kuwa the state has no feelings towards individual but Loyal to the nation!!!Pia kama Late CEO angekuwa na backing ya the state Nadhani asinge be eliminated ni kwasababu alihatarisha usalama wa jamuhuri!!!Nadhani Mzee wa Sawa sawa ali be eliminated kisa Laana ya Abdu jumbe ndio màana wenye state hawakutaka atangazwe mshindi kwa miaka mingi Sana ya ushindi wake wa chaguzi!!Pia ile dokumenti ambayo ilikuwa sealed aliopewa na mzee wa sawa sawa haikutoka kwa Born town coz asingeweza kuifanya attractive vile kum impress Mzee wa Sawa sawa bali state yenyewe!!!Mawazo huru tu hayo wala nisitiliwe shaka!!!!
 
Story inasisimua imeandikwa kisomi kweli kweli imenibidi nirudie mara mbili ili nielewe hakika jf ina watu, tusomeshe watoto wajameni.
Usinambie hii kitu ndo unaijuwa kwa mara ya kwanza? Duniani hakuna siri watu wake wa karibu na the late ceo walivyoanza kufa siri ndo zikaanza kutoka hata huku mitaani baadhi ya watu tulijua hii mipango lakini ndo hivyo huna cha kufanya unamwambia nani? Mtu anakwambua mapema ceo kafa meza pin.

Kama mimi nilijua mapema ceo kafa wiki kabla ya tangazo , nikiingia humu jf watu wanauliza ceo yuko wapi? Nashindwa kusema maana ilikuwa ni hatari kusema. Hakuna siku zilizonitesa kama hizo wiki mbili ceo kashakufa watu hawana taarifa.
 
Kuna makundi humo kwenye kampuni na Kuna hatari kubwa, Ila sisi wengine tunafurahi maana wakitakaga hayo madaraka hufanya ukatili mkubwa sana kwa wengine. Wacha wamalizane, pengine tunaweza fika sehemu nzuri Kama nchi
Hatuwezi kufika sehemu nzuri kwani wakati hayo yanaendelea kampuni huharibiwa na nyani. Kisha kama hivi bei za vitu zinakwenda juu na hakuna wa kucontrol.

Halafu ukumbuke ni haohao ndo wamiliki wa mashirika ya uzalishaji na biashara kwenye hiyo kampuni, so wanajifanyia wapendavyo coz CEO yuko bize to maintain position.

Kifupi the old CEO alipeleka kampuni pabaya na bado anaihangaisha kampuni hiyo usiku na mchana kwa kuweka viongozi anaowataka na atawaua wasiomtii.
 
Katika maisha kuwa makini Sana na vitu unavyo kula .
Ila Old CEO ameipenda Sana Dunia akidhani ataishi milele .
Vyakula ni hatari sana ila the late ceo na team yake walimalizwa na powder ilowekwa kwenye zile documents. Kumbuka late ceo hawezi zisoma peke yake lazima na watu wake wa karibu wakaondoka kwa mgongo wa corona.

Inshort hii movie ilibidi ichezwe kwenye kipindi cha corona ili watu waamini kuwa ni Corona, ni mipango tu.

Corona ni mpango wa mataifa makubwa kutimiza matakwa yao. Kwenye hii vita ya urusi na Ukraine unaisikia corona tena?
 
Lovely
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…