Dark days 17/03/20...

Au ndio maana kuna mabadiliko ya ulinzi kule msogani...😂😂 hii ngoma kama ni kweli😂😂😂
 
Au ndio maana kuna mabadiliko ya ulinzi kule msogani...😂😂 hii ngoma kama ni kweli😂😂😂
Kumbe mzee kaimarisha mfumonwa ulinzi!!? Naamini hii story ni ya siku nyingi kidogo na sio ya juzi inafanywa kuwa ya juzi ILI kupoteza maboya wengi wetu!!!hakuna mission inayowekwa wazi KWA space ya muda mfupi hivi!!!INAWEZEKANA MISSION ISHAKAMILIKA ZAMAAANI SANA WANATAFUTA NAMNA YA KUTUTANGAZIA HITIMISHO KUU LA MISSION YENYEWE NA TUNAANDALIWA KISAIKOLOJIA KWA HAYO YOTE!!!
 
Kwako wewe ni ngumu. Ila kea wenye mipango,hata ukikaa mwenyewe na ukatoka hadharani,kabla hujaongea jambo wanakuwa wameshakusoma.
 
Kila nikipita daraja la Kijazi nasema hakika Dkt Magufuli was a visionary leader, hata wamchafue kwa maneno ya kuzusha Dkt Magufuli is still in our heart, na wote tutakufa hata huyo Rungwe he will definitely die and everyone else will die. Kwa hiyo Mama Samia tuna uhakika sasa ni yeye ndiye anayetuma watu kumdhihaki Dkt Magufuli, let’s see the end
 
He was a visionary killer. Hayo mengine ni mbwembe zako na ujinga
 
Mkuu inabidi ufanye kama alivyosema zitto.
 
Unateseka ukiwa wapi? Kwanini usiache kuisoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…