Dark days 17/03/20...

Yoga, salute, you are a subtle orator. tangu niinge ofisini sijafanya kazi inayoniweka mjini, nilikuwa nasoma huu uzi. Nchi ya wauaji
 
Daaah!!! Huwa najiona na miakili sana, kumbe me mdogo wapo wenye maakili yao, yoga ni miongoni mwao.
Hajaiandaa pekee yake kabla haijaletwa!!inaandaliwa na wenye malengo yao Wana edit hadi wanaporidhika ndio wanaileta!!hofu yangu ni kuwa hii story isije ikaenda na watu humu jukwaani HASA tunaokomenti humu!!tusitaje majina ya watu!!!lengo la story ni kumfanya new CEO asiaminike na memba wa the late CEO Ili wasiungane team MOJA na kumdhuru old CEO au Born town!!yaani wanataka wafitinike na kuwa team tatu tofauti halafu state itaamua ipi ni team ya kufurusha kwenye kampuni na kuiangamiza kabisa isichipue tena huko MBELENI!!halafu ile team ya late CEO ndio yenye uafadhali KWA mstakabali wa kampuni kama watapata member mmoja anae shaurika na mzalendo Ili kuendeleza kampuni!!kwani inawezekana wenye kampuni wameona kuwa new CEO na old CEO wataharibu kampuni huko MBELENI hivo wanataka uelekeo mpya KWA kumpata member Mwenye hulka ya late CEO anaeshaurika Ili kampuni isonge!!!!!wenye kampuni wanataka kuua nguvu ya hizo kambi tatu Ili walleye yule waliemkusudia aongeze kampuni KWA digiti 12 ambazo ni nyakati 12 zijazo hadi 2035!!! NADHANI heshimuni uzi acheni kubwabwaja majina ya watu!!!Haya ni mawazo yangu huru tu sijatumwa na yeyote!!!!siioni afya ya kudumu ya old CEO huko MBELENI na ya new CEO!!!walitumika ipasavyo na Muda wao wa kuwekwa dust bin umekaribia!!lazima wenye kampuni watafanya hivyo Ili tuwe na kampuni iliyozaliwa upya yenye ustaarabu mpya!!!!hakuna atakae pona the new and the old CEOs must go for the sake ya ustawi wa kampuni mpya na mwanzo mpya na sera mpya lazima kafara itolewe ya damu KWA ajili ya utakaso wa kampuni Baada ya maovu YOTE Ili waneemeke wajukuu na vilembwe wa kampuni hii!!!!!MAWAZO HURU HAYA!!!
Kwasababu wakiacha team moja Kati ya hizo tatu itasumbua Sana mteule mpya ajaye kwa kuwa na influence ya ndani ya kampuni na kufanya kampuni iwe ngumu kuiendesha!!!pia NADHANI new CEO anamtumia retired CEO wa kule visiwani kufanikisha akisaidiana na kaka yake ambaye ni active CEO kule visiwani Hadi Sasa Ili Kuvuka ukomo wa Muda aliowekewa kuiongoza kampuni ambayo imekua Tamu mdomoni!!hofu yangu ni kuwa project ya kumtoa new CEO isije ikala uhai Hadi wa retired CEO wa visiwani ambaye Sina uhakika Kama alishaachia kijiti cha uenyekiti wa nembo ya uwakilishi wa u UCEO!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…