Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yoga, salute, you are a subtle orator. tangu niinge ofisini sijafanya kazi inayoniweka mjini, nilikuwa nasoma huu uzi. Nchi ya wauaji.............
Let me introduce to you our new CEO, huyu ni moja wa watu waliohudumu in the company kwa muda mrefu sana!! Aliyemleta kwenye kampuni hii ni mr born town mwenyewe!! Huyu alimtoa pasipo "julikana" na kumuweka kwenye ramani!
Alimtumia kwenye vitengo tofauti tofauti ndani ya kampuni kwa kipindi chake chote cha uongozi!!
Kitu pekee wengi hawakujua, nikuwa huyu CEO under the wing of the old CEO ametumika sana kama agent na informal kwenye zile department zote alizokuwa kapangiwa!!
Alikuwa sent kwenye maeneo hayo simply kuobserve changamoto zilizopo na kusuggest njia za kusolve changamoto zile! So ni mwanafunzi na mhitimu smart aliye aminika sana na the old CEO!
Network yote aliyoijenga mr old CEO huko nyuma ndani ya kampuni, huyu CEO wa sasa anaijua vizuri since yeye mwenyewe alishiriki katika kuijenga!!
She knew the strenght and wekness of the old CEO and she respected how smart he is! Hata yeye kuwa assistant wa the late CEO haikuwa bahati mbaya! The old CEO, alicheza karatazake very smart in a way the late CEO alijikuta anamteua kuwa kama assistant wake!
So anamjua na kumuheshimu sana mr mind on how smart he is! Aliyaelewa VIZURI sana majukumu yake yote toka mwanzo alipoteuliwa kuwa assistant CEO! Alijua kuifanya kazi kama assistant! She never outshine the master! She was a good informer!
Akiwa pale mezani anasoma zile notification, kumbe kuna some members kwenye lile group la "deep company observers" wamechoka na uongozi wa the old CEO!
Why wamechoka? Simply Becouse the old CEO nikama anawatumia tu. investment nyingi ni mali ya familia yaani watoto wake na mkewe !! Wao wanakuwa kama nembo tu! So they want freedom, they want also to be recognised nakupewa heshima kama ambavyo watoto wake wanakuwa recognized na kupewa heshima!!
One of the notification ilitoka kwa mmoja wa hao members!
Just imagin...., haya yote yanaendelea the late CEO hajazikwa! The notification ilikuwa ni kum allet new CEO kuwa one of the members wants to meet her! Na briefly ilieleza areson why! He provided his secret Phone number when she is ready she can call that number!
New CEO Saw that as an opportunity to what she was thinking! So mazishi yakafanyika, the late CEO kazikwa baada ya almost three weeks since he died!
The old team of the late CEO wallikuwa na hasira kali sana moyoni wengi walihisi kilicho kuwa kimetokea lakini walikuwa hawana proof! So they were in hunt for the truth secretly!! And their target is Mr Born town!!
Its like baada ya mazishi na the new CEO kutake position as a CEO the old CEO was much concetrated with securing his projects That were taken by the late CEO
The new CEO Akaanza kufanya mabadiliko in the company according to the old CEO proposal, hii ilimfanya mr born town kuwa happy tena but very carefull! Tenguzi na teuzi zikaanza kuonekana,
wale wa kuu wa idara icons waliosifika sana wakati wa the late CEO wakapigwa chini, meetings na taarifa zikawa zinapokelewa! Under the monitoring of the old CEO!
After two monthes since in power, the new CEO Alianza safari za outside the country in the name of "rebranding the company name" and "calling out for investors"!
This was one of the smartest idea she came with! Why sababu hapa nchini conection za bwana mkubwa zilikuwa hazikwepeki!
Anawatu wake kila kona! Huwezi fanya kitu asijue he is well organized in information collection!!
Lakini kwa nje ya nchi hakuwa na nguvu na connections kubwa kama nyumbani! So the new CEO saw that opportunity, yaani Kulikuwa na kauhuru flani hivi akiwa nje kuliko anapokuwa ndani ya nchi!! So alianza kuplan outside trips ili aweze kupata oportunity ya kujiorganise well for what is comming!
Wafanyakazi wa ndani ya kampuni walipinga sna safari hiz nakuona hazina manufaa, nakuona zitaipelekea kampuni kupata hasara!! kumbe deep down they didnt know what was goin on!!
So trip yake ya pili ya nje ya nchi, alimnotfy kijana wake wakutane huko nje apate updates za kile alicho mwambia afanye!!
kabla ya kuondoka alipokea maelekezo kuhusu branch manager mmoja wakampuni aliyeaminiwa sana na the old CEO kuwa aliwa harass sana investors wa the old CEO kwenye Company branch! Members wanataka hawa held responsible for what he has done!
So maelekezo nikuwa anapaswa kutenguliwa haraka as a branch manager, na kampuni imshtaki kwa matumizi mabaya ya madaraka! Kwa kuisababishia kampuni hasara ya bilions of money! She called the head security and told him to deal with the matter!!
Baada ya maelekezo hayo CEO kachukua flight up to DUBAI, kijana alishatangulia kuhakikisha their meeting is safe and succesfull
Huku nyumbani mr old CEO hakuwa na time ya kufollow up trips za new CEO aliamua kujikita zaid kurudisha investment zake, nakushughulikia all the people who did him dirty during the late CEO!
At the same time the late CEO gang wakiwa na huzuni, hasira na chuki walikula kiapo iwe jua iwe mvua one day watalipiza kisasi, na kwakuwa washamju wanaye pambana naye ni the god father himself mr old CEO waliitaji kuwa smart and carefully!
[emoji23][emoji23]
[emoji117]Haya haya new CEO target wake amekuwa the old CEO, mtu ambae amemfanya awe hapo alipo, mipango inafanyikia nje ya nchi atamuweza?....
[emoji117]Kundi la the late CEO nawao hawako nyuma, target wao ni the old CEO[emoji23] mipango inasukiwa ndani ya nchi watamuweza????
Je MR OLD CEO Atahimili mishale toka nje na dani ya nchi inayokuja??? .....
Je hilo kundi la wafanya biashara linalo lalamika ni akina nanani??
Wanasema umoja ni nguvu utengano ni dhaifu!! [emoji108][emoji108][emoji108][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji1739][emoji1739]
Uko vzuri kwenye kuchunguza kiongozi ,Mkuu umejiunga 2018, lakini fake id yako ina tarehe ya kuondoka mkuu aliye mbele ya haki! Is it coincidence au? Ndio ww masiha au tumsubiri mwingine?
Lengo lake ni nini kiongoziHuu uzi umeletwa kimikakati na wengi hamjajua lengo lake .
don't fool yourself, these are naked truth/facts not a fiction, Now we know them and their roles. What remains is to decode their names and put them here.Huu uzi umeletwa kimikakati na wengi hamjajua lengo lake .
Unatafuta janga wewe, mleta mada kaandika kuwa hii ni hadithi tu wewe majina unayapata wapi kwa hadithi ya kutunga nzuri kama hii???don't fool yourself, these are naked truth/facts not a fiction, Now we know them and their roles. What remains is to decode their names and put them here.
Mkuu, mbona ni kitu cha kawaida, kuna option ya kubadili username yako.. mfano mimo sikuanza na username hii, ila niliomba kubadiliMkuu umejiunga 2018, lakini fake id yako ina tarehe ya kuondoka mkuu aliye mbele ya haki! Is it coincidence au? Ndio ww masiha au tumsubiri mwingine?
Hajaiandaa pekee yake kabla haijaletwa!!inaandaliwa na wenye malengo yao Wana edit hadi wanaporidhika ndio wanaileta!!hofu yangu ni kuwa hii story isije ikaenda na watu humu jukwaani HASA tunaokomenti humu!!tusitaje majina ya watu!!!lengo la story ni kumfanya new CEO asiaminike na memba wa the late CEO Ili wasiungane team MOJA na kumdhuru old CEO au Born town!!yaani wanataka wafitinike na kuwa team tatu tofauti halafu state itaamua ipi ni team ya kufurusha kwenye kampuni na kuiangamiza kabisa isichipue tena huko MBELENI!!halafu ile team ya late CEO ndio yenye uafadhali KWA mstakabali wa kampuni kama watapata member mmoja anae shaurika na mzalendo Ili kuendeleza kampuni!!kwani inawezekana wenye kampuni wameona kuwa new CEO na old CEO wataharibu kampuni huko MBELENI hivo wanataka uelekeo mpya KWA kumpata member Mwenye hulka ya late CEO anaeshaurika Ili kampuni isonge!!!!!wenye kampuni wanataka kuua nguvu ya hizo kambi tatu Ili walleye yule waliemkusudia aongeze kampuni KWA digiti 12 ambazo ni nyakati 12 zijazo hadi 2035!!! NADHANI heshimuni uzi acheni kubwabwaja majina ya watu!!!Haya ni mawazo yangu huru tu sijatumwa na yeyote!!!!siioni afya ya kudumu ya old CEO huko MBELENI na ya new CEO!!!walitumika ipasavyo na Muda wao wa kuwekwa dust bin umekaribia!!lazima wenye kampuni watafanya hivyo Ili tuwe na kampuni iliyozaliwa upya yenye ustaarabu mpya!!!!hakuna atakae pona the new and the old CEOs must go for the sake ya ustawi wa kampuni mpya na mwanzo mpya na sera mpya lazima kafara itolewe ya damu KWA ajili ya utakaso wa kampuni Baada ya maovu YOTE Ili waneemeke wajukuu na vilembwe wa kampuni hii!!!!!MAWAZO HURU HAYA!!!Daaah!!! Huwa najiona na miakili sana, kumbe me mdogo wapo wenye maakili yao, yoga ni miongoni mwao.
The revenge is must.!don't fool yourself, these are naked truth/facts not a fiction, Now we know them and their roles. What remains is to decode their names and put them here.
Ooh babyKwendraaaaaaaa huko nani kamtaja mtu? Embu tueleze mzee wa msoga ndo nani? Nyoooolo[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]