Dark days 17/03/20...

nimejua ni kwanini TISS yetu inadharauliwa na majirani
May be they have negative chadema obsession.

Wakati kuna watu wanafanya

Economic sabotage and espionage.

Wengine wapo humu humu nchi hasa asians na baadhi ya viongozi mafasadi.

TISS dhaifu na uchumi dhaifu TISS imara na uchumi imara.

Politicians ni worms wanaimaliza nchi
 
Kaka umemaliza
 
Hata mimi namuona muuaji,mwizi na muongo. Maisha ni mwandiko, unaandika,wanaokuzunguka wanakusoma.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Duh Bora Mwendazake katangulia huko jehanamu hata mkaa wake hsubski, kaua sana, alikua hataki hata kukosolewa, atakuondoa tu.
Mama kapiga mwingi na juzi katunikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…