kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
Mo?Yule jamaa wa kuitwa Buyobe kule twitter anataka kushusha story ya Mo km ilivyo huku.... Stay tuned....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mo?Yule jamaa wa kuitwa Buyobe kule twitter anataka kushusha story ya Mo km ilivyo huku.... Stay tuned....
Old CEO ns Mr. Born town ni watu wawili tofauti....Jamaa analeta stori yenye mwelekeo wa kuwagombanisha awaitao Old CEO (born town) na current CEO.
May be they have negative chadema obsession.nimejua ni kwanini TISS yetu inadharauliwa na majirani
Hutokuja ipate maana walishaswma arterial fillibration.Siku nikiona connection ya Covid na kifo Cha the late CEO, Nitamwamini yoga katika story hii
Wewe mbona uko hai!? Mbona hujafa.Sio ww ni mamilion ya watanzania wapo tayari kufa kwa ajili ya JPM. Hata siku ile ya kumuaga uwanja wa Taifa walikufa watu zaidi ya 40.
View attachment 2236154View attachment 2236155
.Mstaafu ambaye alishastaafu lakini hataki kustaafu 'anastaafishwa'
Wakuu, JAL flight 123, few seconds to impact, kapteni alimwambia co-pilot, "it is the end". Ni maneno ambayo aliniambia mkuu mara baada ya kufika ofisini kwake. Nilijua hapa anao ujumbe fulani hivyo kumwonesha kwamba niko both backdated na updated nikamwambia, "that happened only after the...www.jamiiforums.com
Ultra sound unapiga lini?Mkuu unauliza kuwa kama Jiwe ni muuaji aliniua lini ili hali unajua niko hai, sidhani kama uko serious.
Kaka umemalizaWewe ni mtu wa ajabu sana, huko juu umemsema mwenzako kwamba anatoa lugha za matusi ila cha kushangaza nawewe unanaanza kuwatolea lugha chafu na kuwatukana wenzio badala ya kujibizana kwa Facts.
Personal Values ni mkusanyiko wa mambo yote ambayo mtu fulani anaona kwake ya faida na umuhimu kama vile imani, dini, tamaduni, mila,ideas, nk nk. Kila mtu ana Values zake kwenye maisha basi haina budi kumuheshimu mtu na values zake katika masha.....Haiwezekani kipimo cha akili duniani iwe kuwa mfuasi wa mbowe au chadema.
Na kipimo cha ujinga iwe Kuunga mkono mambo aliyofanya JPM which are of course Superb, never ever in this Crazy world
Mungu alipotuumba kila mtu alimpatia Free Will yaani kila mtu achague mtindo wake aupendao wa kuishi duniani na Mungu mwenyewe anaheshimu kila chaguzi ya anayofanya mwanadamu katika maisha ndio maana hua hatuingilii katika machaguzi na maamuzi yetu ya maisha.
Sasa wewe kwanini uone wenzako ni wajinga,maskini na wapumbavu kisa tu They didn't feed your ego. Heshimu values za na machaguzi watu kama Mungu anavyoyaheshimu sio lazima wote tupende mtu mmoja au kitu kimoja, hiyo ndio demeokrasia amabayo CDM imekua ikiihubiri sasa nashangaa watu wakiifuata mnawadhihaki.. Nashindwa kuelewa mnataka nini nyie binaadamu wenzangu....Kama mtu hujapenda anachokipenda basi wewe waache ondoka zako kama utashindwa kubishana nao kwa hoja.
Lazima tutofautiane mitazamo na preferences hicho ndio kinatufanya tuwe binaadamu na sio robot ambao wapo coded kuExcute a certain Task.
Binafsi kama ingekua ili JPM arudi basi mtu inatakiwa ajitolee uhai wake ningekua tayari kufanya hivyo with proud. I'll love and appreciate JPM Here and Hereafter. On this life or the Next.
Respect, You need to give it out to others. If you wat to receive it
View attachment 2236192
Umesikia habari za huko Ghana!? Mama kapokea tunzo ya JPM, vp unajisikiaje hali yako Sasa!?Mkuu unauliza kuwa kama Jiwe ni muuaji aliniua lini ili hali unajua niko hai, sidhani kama uko serious.
Pole sana kwa kushindwa kuelewa jambo dogo kama hilo, mama ndiye kasema tuzo hiyo angepewa Jiwe. Wewe unasema tuzo ya jiwe [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Umesikia habari za huko Ghana!? Mama kapokea tunzo ya JPM, vp unajisikiaje hali yako Sasa!?
malyenge mpaka leo post zote na riwaya hujajua Old CEO ndiye Born town?Old CEO ns Mr. Born town ni watu wawili tofauti....
Hahahahaa. Watu mna ununda konki.Sawa mkuu, uko sahihi na nakubaliana na wewe. Kuna wengine Jiwe kwetu tunamuona kama muuaji, mwizi na mtu muongo muliko wote, lakini kama ulivyosema siyo lazima kila mtu amwone katika mtizamo huo.
Hata mimi namuona muuaji,mwizi na muongo. Maisha ni mwandiko, unaandika,wanaokuzunguka wanakusoma.Unamuona Jiwe Kama muuaji, alikuua lini!? Mwizi alikuibia nini!? Muongo alikuongopea nini!!?? Kua mkweli usifuate mkumbo!!!
Duh Bora Mwendazake katangulia huko jehanamu hata mkaa wake hsubski, kaua sana, alikua hataki hata kukosolewa, atakuondoa tu.Hata mimi namuona muuaji,mwizi na muongo. Maisha ni mwandiko, unaandika,wanaokuzunguka wanakusoma.
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Lile Kaburi linafanyiwa usafi kweli siku hizi,Allency natamani nimuajiri awe anadeki choo changu cha nje.