Dark days 17/03/20...

Binafsi natamani "BornTown" ashinde game hii dhidi ya kundi la "Mamluki"
 
Tumegee kwa code ni Nan huyo kaushikilia?
 
yoga please uwe unakuja kunisalimia specifically ntakumiss sana.
 
Unauhakika ni yeye kaka, hii ni tamthilia tu halijatajwa jina kama hilo ukiambiwa uhakiki kama vinahusiana na yeye unaweza kujieleza..? Mana hakuna mahali wametaja hao watu...
Kuna watu wana vimbelembele we waache

Kama unaijua kaushs we unadhani nasi wajinga kwamba hatuzajipata hizo code.

Wanaofungua code za nyuzi ni wajinga na wapumbavu
 
Nimesoma riwaya Hii mpaka kipande kile cha mwisho kabla ya hik cha Leo na nikapata kuelewa harakati zote za Mr born town na mipango yake na jins anavyoindesha hii kampuni lakin sikufurahishwa na mipango yake yote nikasema vyovyote itakavyokuwa ni sawa kama jamaa wameamua wamtangulize basi hakuna shida .Lakin niloposoma kipande hiki cha Leo na kuonekana PAkA naye anaharakati za kumtanguliza Mr B town nikapatwa na hasira japo ni riwaya hii.Hvi huyu PAKA akifanikisha hii mission sasa hii kampuni itkuwa kama yake maana hakutkuwa na mtu wa kumdhibiti kwa hapo mbele au nyie wadau mnaonaje na je hakuna harakat zozote za kumtanguliza huyu jamaa?
 

Kuna Mahala nimesoma kuwa vijana wenzetu wa kitanzania watatumia hiyo nafasi kuwabaini vijana wa huyo Mr p ambao wapo haps nchini yaani wanajua alivyo kwahiyo wamachukua tahadhari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…