Dark days 17/03/20...

Msinisahau n mimi huko nawahi seat.
 
Uongo mtupu, mbna born town alishindwa wakat akiwa CEO? jidanganye hivyo hivyo, yule ni mafia haswaa.
 
Naam...
Umesema kwa kiasi flani... unajua hii simulizi ya Yoga haipo direct kuna mambo anayajua anayakwepesha au hayajui kabisa..
Kampuni yetu moja ya majukumu makubwa ni usalama wetu..
Kuna usalama huu wa kawaida tunauona kila siku ..
Kuna usalama wa mipaka na kijeshi..
Pia kuna usalama wa ndani ambao hatuujui..

USALAMA WA NDANI
Usalama huu kwa kampuni yetu wengi hatuujui...
Kiongozi wa kampuni anapochaguliwa hupewa info za hapa na pale na baadhi ya majukumu ya siri sana wanayofanya humo ndani...
Usalama huu pia humlinda Kiongozi wa Juu wa Kampuni pamoja na kumpa baadhi ya masharti katika uongozi wake..
Huko kwenye usalama kuna watu wa information na action to be taken basi.

Sasa kwa uongozi wa late CEO alichezea hii system ya usalama wa ndani pamoja na operations zake...
Late CEO alijaribu pia kuweka watu wa PAKA humo ndani na hilo lilileta balaa sana mpaka LEO HII wanajaribu kuclear ..

PAKA aliweka system flani ya kulinda late CEO pamoja na mambo mengine ya siri za kampuni...

Kilichotokea March 2021 mpaka leo PAKA na watu wake hawaamini kilichotokea na hawajui late CEO alichomokaje kwenye huu mzunguko wa sayari ya tatu kutoka juani... Kwa ulinzi waliokuwa wanampa

Baadhi ya watu wa PAKA wapo sehemu salama.. Just tuu kuhakikisha wanajua nini na hawajui nini.. Na extent ya info walizotuma kwa PAKA..
Lengo ni kuhakikisha kampuni inabaki salama.. Kwa kiasi flani..
 
Uongo mtupu, mbna born town alishindwa wakat akiwa CEO? jidanganye hivyo hivyo, yule ni mafia haswaa.
Hawaez jua watoto waliozaliwa miaka ya 2000. Enzi zile mtu aliemaliza darasa la nane tu alikuwa na uelewa zaidi ya form 6 wa miaka hii, ELIMU imeshuka sana.
 
Wengi sana hawaijui Nchi Yao, IPO haja mitaala yetu yarudishwe masomo ya kuimarisha uzalendo.

Hawaijui Nchi hii vizuri, Juzi tu ndo wengine wamekuja jua hata Putin aliishi hapa kwetu kujiimarisha kimafunzo na kushare ideas.
 
Ahsante sana mkuu. Tumeenda sawa sawa kabisa. Watu wengi hatuyajui haya mambo kiufasaha. Kule juu nilisema ukipewa ushauri na watu unaowaona wadogo au umewazidi cheo, akili ushauri wao ufanyie kazi lakini ukijifanya unajua kila kitu inakula kwako mazima.
 
Asante kwa kuisoma comment yangu
Plz fanya hvyo kwa ss ambao kingereza Ni tatizo fln HV la kuridhi embu dondosha kwa kiswahil uone Wana watakavyotiririka hii kipande ulicholeta kwa kingereza Ni Kali Seema kingereza imezidi sana

Hahaha haya ndio masharti sasa
Ili kupunguza wengi lazima lugha ibadilike Halafu wachangiaji wachangie kidogo
Ila kujua lugha nyingi raha sana
 
Hizi ni akili za kuvaa ndomu za Mataga na Sukuma Gang, huyo mtu mbona hakuzuia Kayafa mungu mtu wenu asife? Born town yupo sana na ataendelea kuwapumulia visogoni nyie wafuga Ng'ombe wa Chato.
Naona kuna msukuma alikumwagia uji uji hapo nyuma ndo maaana unawashwa washwa kaoshe kijambio ukalale sio kila kabila ni la kutukana ..kenge ww
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…