Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Mkuu
Kama wewe ndie

Niambie ni ku pm angalau na mimi nihusike kuiandaa Tanzania mpya kwa mstakabali wa vizazi vijavyo!!!

Nina wasiwasi kuwa I'd unayo Tumia itapotea Baada ya ukamilifu wa hayo uyaandikayo!!!!

I.d ya kimkakati Hii nina hisia imebeba mikate ya wengi hapo MBELENI Baada ya utimilifu wa HAYO!!
Asante
Ndugu mm ni mzalendo tu wa Nchi yangu. Natumia AKILI nilorithi Kutoka waasisi wa Nchi yetu. Nchi hii ni TAJIRI sana.

Mali inapatikana SHAMBANI, tuwekeze ktk KILIMO Cha kisasa. Viongozi waache roho mbaya ya kujiangalia wenyewe.

Naipenda sana TANZANIA yangu, naiombea sana sana. Amen.
 
Ninaweza kukubaliana na wewe kwa baadhi ya mambo ambayo majeshi yetu huyafanya pasipo watu wengine kujua. Tanzania imefanya operations nyingi sana na zenye mafanikio makubwa. Hata hili la kumuonyesha bwana Paka ni mjanja wa Intelijiensia lina sababu zake na kwa maksudi maalumu.

Kipindi kile cha 2014 alivyojifanya kwamba anaweza kuipiga kampuni yetu, watu wetu wa kazi waliweka mitambo kwenye kakichuguu na wakawa wanaichungulia kampuni yake.

Wakati anawaza kuipiga kampuni yetu tayari vijana wetu wa kazi walishahamisha baadhi ya watu wetu na kutengeneza shelters ili akirusha tu hakuna raia hata mmoja, sasa ushangae kule kwake hakuwa amejipanga hivyo, so angeleta madhara makubwa kwa wananchi wake na kampuni yake.

But thanks God alipigwa kwa diplomasia tu.Jamani fuatilieni historia ya nchi yetu, ni nzuri sana n ya kusimumua, ukiijua mtu hawezi kukudanganya kwamba tu dhaifu. Tuko imara sana.

Kitu kingine ambacho hakujua alidhani infos alizonazo zimemtosha kuijua kampuni yetu, kumbe hakuwa anajua kama alivyojiaminisha, alijua vichache huku vijana wa kampuni yetu wakijua mengi ya kwake.

Kampuni yetu siyo hivyo jinsi ilivyo madhaifu yetu ya ndani haina maana kwamba hata huko nje ndivyo tulivyo. Siyo kila mlevi amelewa. Mambo mengi huachwa hivyo hivyo kwa maksudi.

Kule porini kuna mambo nyinyi acheni kabisa, mmewahi kusikia pango la wanyang'anyi ambalo lilikuwa likifanya uharamia? Linavamia watu linaiba mbuzi,ng'ombe, kuku, bata mpaka nafaka kisha wanatumwa wazawa kwenda kusaga halafu wanawapelekea kwa kuogopa kuuawa?

Hili genge lilijiona untouchable wakati huo, walikuwa ni wengi kama kijiji, kuna wake, watoto na watu wengine kibao wanaoshirikiana nao, mnajua walifanywa nini?

Saa 2 za usiku ,walijikuta wamefukiwa pasipo kusema hata kwaheri, na mnajua kwanini ilikuwa ni saa 2 za usiku? Kwasababu ulikuwa muda wa msosi wa usiku wamekusanyika pamoja.

Kisa kingine huko huko,majambazi yalikuwa yamejificha porini na yameleta usumbufu mkubwa sana, kila yakitafutwa hayaonekani lakini utekaji unaendelea.

Akatumwa Komandoo mmoja kutoka JWTZ wakamdrop porini akaanza kuwatafuta, ghafla hawa hapa, akawasoma na kujua idadi yao, nao bwana vile vile wanaota moto wamejikusanya. Alipiga risasi moja kwenye ule moto si mnajua baruti na moto. It was the end.

Watanzania wenzangu JWTZ, TISS na POLISI ni vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ambavyo viko imara sana hizi changamoto za ndani zisitufanye tukose navyo amani, vinafanya kazi nzuri sana ila kwa kuwa hazitangazwi si rahisi kujulikana. (Hawa wachache wanaoharibu ndio waondolewe)

Mambo yao ni mengi hapa nimeandika kwa ufupi tu. Kama nilivyosema huyu mtu huenda anapaishwa tu lakini kwamba ana nguvu kiasi cha kutupangia cha kufanya sidhani kwa jinsi ninavyoijua na ninavyoielewa nchi yetu kwa historia yake.
Duh kumbe kuna mambo yanafanyika kimyakimya bila raia kifaham , sikuwa nafahamu haya ulioyaeleza.
 
Ndugu mm ni mzalendo tu wa Nchi yangu. Natumia AKILI nilorithi Kutoka waasisi wa Nchi yetu. Nchi hii ni TAJIRI sana.

Mali inapatikana SHAMBANI, tuwekeze ktk KILIMO Cha kisasa. Viongozi waache roho mbaya ya kujiangalia wenyewe.

Naipenda sana TANZANIA yangu, naiombea sana sana. Amen.
Mkuu
Sio Mali pekee kuna zaidi ya Hayo

Sawa

Japo Magamba Matatu analima Sana na analima migomba mimi nalima miti tu hasa mipaina na milingoti hukooo njombe!!!
 
Hahaa, kwamba Si Kila mlevi amelewa!!

Ni Kweli Makampuni ya magharibi yameweka rada zake pale kupitishia mambo Yao kuhujumu Afrika. Bt hatujalala tupo macho.
Kabisa mkuu. Pombe si chai kwa raia ila kwa makamanda wetu ni maji yenye harufu tu, shida ya vijana wetu hawajui haya mambo.

Kuna siku ka kampuni fulani kakatangaza eti kataipiga Kampuni yetu kakaelekeza vifaru John na Rajabu vikiwa vingi kuelekea uwanjani mwa kampuni yetu.

Bwana bwana haijulikani ni muda gani mashimo yakafunguka mchwa ukatoka juu, jioni tarumbeta la parapanda likalia, tukaona malaika wanashuka kutoka mjini wakielekea makao makuu wamebeba nguo,viatu, mikanda begani, wengine wako peku, malapa, mwenye pensi, kifua wazi hao mbiooo.

Muda si mrefu msafara wa bibi harusi umefunikwa maua ya miti unaelekea kwenye sherehe tunauliza bibi harusi yuko wapi hatujibiwi ni kimya kimya tu,hakuna nyimbo wala chereko, kimya kimya tu.

Muda mfupi wakafika kwenye mstari, wakamwambia jirani, ebu washa dish lako uone uwanjani kwetu karibu na kwako kuna nini, eheee! Kihoro mtu kimempata,akaulizwa umeona siyo.Kwa upole Ndiyo akajibu.

Akaambiwa chagua moja, ubadili uelekeo uelekeze kwako na kuondoka au kampuni yako ndani ya saa 24 iwe imefutika. Dakika sifuri akakubali sharti la kwanza.

Baada ya hapo harusi ikaisha, wakarudi nyumbani, cha kushangaza yale yale mashimo yaliyokuwa yamewaficha akina faru John na Rajabu hatukuyaona yakifunguka ili yawarudishe tena,na hatukujua yamerudije. Unaweza kuona umakini huo wa hali ya juu ulivyofanyika.

Unaweza kusema hawa mabaka mabaka hamna kitu nilimzingua au niliwazingua lakini ili ujue kazi yao vizuri nenda kwenye medani zao ndipo utajua unaweza kumzingua au lah. Mmoja mmoja unaweza ili kiujumla wako vizuri sana.Nawapa salute popote mlipo. Kanuni yenu ya kujitoa roho kwa ajili ya nchi haiwezi kulipwa kwa mshahara tu bali kuheshimu uzalendo wenu kwa mapenzi ya nchi yetu na mipaka yake.

Hii ni story nilisimuliwa na nilivyododosa nikaambiwa ni kweli zaidi ya mtu 1,napenda kujua historia ya nchi yangu ndio maana nashare na wenzangu japo kiduchu. Huwa najisikia vibaya ninapoona mtu anaipondea serikali yetu na kusema haijui na haijawahi kufanya kitu wakati imefanya mambo mengi yaliyotukuka.
 
Kama PK yuko ndani ya hii game,basi mimi nimeamua tu kuwa team born town kwa sasa sitaki born town auwawe..nataka afe natural death tu.
Nmerudia kusoma mara 6, story imestick kichwan mpaka nataman nikutane na yoga nipate info nnazoona amezificha hapo kati..

Anayway nashawishika kuwa na matamanio kama yako, asepe KP, then the man afuate..ceo kitabu kimsulubu mamho yaendelee
 
Duh kumbe kuna mambo yanafanyika kimyakimya bila raia kifaham , sikuwa nafahamu haya ulioyaeleza.
Mkuu ni mengi huwa hayasemwi na ukiona mpaka mtu amekwambia ujue amekuamini wewe siyo lopo lopo unaweza kutunza siri. Wengine huwa wanatukana pasipo kujua sasa mimi huwa ninaumia sana kwa kile kidogo ninachokijua baada ya kusimuliwa.

Me nashauri mambo mengine wawe wanatoa intro tu kidogo ili vijana waelewe nini kinafanyika na uimara wa TAASISI zetu uko vipi ili wasije wakapotea kwa kushawishiwa kuasi.
 
Mkuu
Sio Mali pekee kuna zaidi ya Hayo

Sawa

Japo Magamba Matatu analima Sana na analima migomba mimi nalima miti tu hasa mipaina na milingoti hukooo njombe!!!
Kumbe hata wewe unalima, mimi ninalima pia nafaka na migomba. Sote tu wakulima. Kilimo ndio uti wa mgongo na hivi wameongeza bajeti itapendeza sana,naiona Tanzania ikiwa levels nyingine.
 
Ninaweza kukubaliana na wewe kwa baadhi ya mambo ambayo majeshi yetu huyafanya pasipo watu wengine kujua. Tanzania imefanya operations nyingi sana na zenye mafanikio makubwa. Hata hili la kumuonyesha bwana Paka ni mjanja wa Intelijiensia lina sababu zake na kwa maksudi maalumu.

Kipindi kile cha 2014 alivyojifanya kwamba anaweza kuipiga kampuni yetu, watu wetu wa kazi waliweka mitambo kwenye kakichuguu na wakawa wanaichungulia kampuni yake.

Wakati anawaza kuipiga kampuni yetu tayari vijana wetu wa kazi walishahamisha baadhi ya watu wetu na kutengeneza shelters ili akirusha tu hakuna raia hata mmoja, sasa ushangae kule kwake hakuwa amejipanga hivyo, so angeleta madhara makubwa kwa wananchi wake na kampuni yake.

But thanks God alipigwa kwa diplomasia tu.Jamani fuatilieni historia ya nchi yetu, ni nzuri sana n ya kusimumua, ukiijua mtu hawezi kukudanganya kwamba tu dhaifu. Tuko imara sana.

Kitu kingine ambacho hakujua alidhani infos alizonazo zimemtosha kuijua kampuni yetu, kumbe hakuwa anajua kama alivyojiaminisha, alijua vichache huku vijana wa kampuni yetu wakijua mengi ya kwake.

Kampuni yetu siyo hivyo jinsi ilivyo madhaifu yetu ya ndani haina maana kwamba hata huko nje ndivyo tulivyo. Siyo kila mlevi amelewa. Mambo mengi huachwa hivyo hivyo kwa maksudi.

Kule porini kuna mambo nyinyi acheni kabisa, mmewahi kusikia pango la wanyang'anyi ambalo lilikuwa likifanya uharamia? Linavamia watu linaiba mbuzi,ng'ombe, kuku, bata mpaka nafaka kisha wanatumwa wazawa kwenda kusaga halafu wanawapelekea kwa kuogopa kuuawa?

Hili genge lilijiona untouchable wakati huo, walikuwa ni wengi kama kijiji, kuna wake, watoto na watu wengine kibao wanaoshirikiana nao, mnajua walifanywa nini?

Saa 2 za usiku ,walijikuta wamefukiwa pasipo kusema hata kwaheri, na mnajua kwanini ilikuwa ni saa 2 za usiku? Kwasababu ulikuwa muda wa msosi wa usiku wamekusanyika pamoja.

Kisa kingine huko huko,majambazi yalikuwa yamejificha porini na yameleta usumbufu mkubwa sana, kila yakitafutwa hayaonekani lakini utekaji unaendelea.

Akatumwa Komandoo mmoja kutoka JWTZ wakamdrop porini akaanza kuwatafuta, ghafla hawa hapa, akawasoma na kujua idadi yao, nao bwana vile vile wanaota moto wamejikusanya. Alipiga risasi moja kwenye ule moto si mnajua baruti na HAKUNA KITU PALEmoto. It was the end.

Watanzania wenzangu JWTZ, TISS na POLISI ni vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ambavyo viko imara sana hizi changamoto za ndani zisitufanye tukose navyo amani, vinafanya kazi nzuri sana ila kwa kuwa hazitangazwi si rahisi kujulikana. (Hawa wachache wanaoharibu ndio waondolewe)

Mambo yao ni mengi hapa nimeandika kwa ufupi tu. Kama nilivyosema huyu mtu huenda anapaishwa tu lakini kwamba ana nguvu kiasi cha kutupangia cha kufanya sidhani kwa jinsi ninavyoijua na ninavyoielewa nchi yetu kwa historia yake.
hakuna kitu pale, uliza
 
Nimesoma riwaya Hii mpaka kipande kile cha mwisho kabla ya hik cha Leo na nikapata kuelewa harakati zote za Mr born town na mipango yake na jins anavyoindesha hii kampuni lakin sikufurahishwa na mipango yake yote nikasema vyovyote itakavyokuwa ni sawa kama jamaa wameamua wamtangulize basi hakuna shida .Lakin niloposoma kipande hiki cha Leo na kuonekana PAkA naye anaharakati za kumtanguliza Mr B town nikapatwa na hasira japo ni riwaya hii.Hvi huyu PAKA akifanikisha hii mission sasa hii kampuni itkuwa kama yake maana hakutkuwa na mtu wa kumdhibiti kwa hapo mbele au nyie wadau mnaonaje na je hakuna harakat zozote za kumtanguliza huyu jamaa?
Ili hii nchi iendelee huyu born town anatakiwa aondoke,japo binafs ntaumia sana.
 
Ndugu mm ni mzalendo tu wa Nchi yangu. Natumia AKILI nilorithi Kutoka waasisi wa Nchi yetu. Nchi hii ni TAJIRI sana.

Mali inapatikana SHAMBANI, tuwekeze ktk KILIMO Cha kisasa. Viongozi waache roho mbaya ya kujiangalia wenyewe.

Naipenda sana TANZANIA yangu, naiombea sana sana. Amen.
Na iwe hivyo nchi yetu ni nzuri sana na ya kutamanika na wengi. Hatuna wajibu kuiombea kwa kufunga na kusali kila wakati ili iendelee kuwa tulivu.
 
Wewe ulikuwa na maono kama yangu.Ila tangu zamani huwa ninamuona Mr.Born town ni mtu makini sana kwenye suala la Kampuni na huwa anamuweza sana huyu Paka, kwahiyo pamoja na mambo yake ila kiukweli namkubali ile advertise aliyomfanyia kule kanda ziwa hasa Kagera na Kigoma ilitosha kusema jamaa yuko vizuri. Hii riwaya mpaka ifike mwisho Fanani atakuwa ametupatia mwisho mzuri na picha halisi ya nini kinaendelea. Tuendelee kuchambua pasipo mihemko maana huko mbele hatujui nini kinakuja.
Born town ana mapungufu mengi sana,ila kwa swala la kuhumshughulikia kp yuko vizuri sana[emoji1787][emoji1787]
 
Kwa taifa hili hio michezo ilianzia toka zama za F.O.N aka Faza ov Ze Neshen!

Nae alikuwa na roho ya kigiriki akamshaya Soko Soko. Thats where the games began na vijana wake wakasandia formula.

Ilifikia turn yake nae akaendaa mamtoni wakamfix ikismekana ni master plan ya Nigga from Lupaso state. Mwisho akapigwa 6ft Booty Hammer mchezo ukaisha. Lupaso empire was into Regime ikafanya reforms ndio kutuletea Mr. born town by the End!

Born town kafyeka Lupaso Empire na Chattle Empire kabakia yeye kama Master of the Game now.
Watu wanalalmika tuu,hawajui hii michezo imeanza before hawajazaliwa.
 
Back
Top Bottom