myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Mfumo umejengwa...mfumo umesimama.Iwe kujua au kutojua, nayeye born town alambe udongo, afu historia ianze upya.
Nakubali mwambaWewe ninajua unataka niongee sana.Alivyopiga ile risasi ulitokea mlipuko wakatahayarika wasijue wafanye nini akawashoot mmoja mmoja. Umeelewa sasa nilichokimaanisha. Wakati mwingine mtu akiongea kitu soma mistari 2 yenye ujumbe nyingine ni kunogesha stori tu.
Hapa ndio ninaishia kama utataka nyongeza sina zaidi siwezi kukuongopea, ila kama usipoamini soma na kuacha kama ilivyo tangu mwanzo ni mwendo wa hadithi, siyo kila hadithi inaleta picha ya uhalisia uitakayo wewe.
Karibu mkuu!!
Mkuu watu wanamnyooshea kidole kwa kufuata mkumbo...Baada ya kifo cha lete CEO na mr bown town kuona vidole vyote ananyooshewa yeye akaamua kujisafisha kijanja kwa KUAMUA KUJIFANYA ETI ANAWINDWA MPAKA NA PK(baada ya kuona watanzania wengi wenye akili finyu hawampendi pk)
Najua baada ya kipande cha leo watu wengu wataanza kumuona Bown town kama mkombozi wao eti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji4][emoji4][emoji4]
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Unajua binafs nlikua simuamin sana born town,lkn kuna kipindi nlifuatilia history kidogo nlimuona born town akiwa anampokea kwenye ziara za our late muanzilishi wa kampuni yetu,kipindi hiko born town alikua nadhan na umr wa 30 au below hapo,sasa kama mtu yupo kwenye system kuanzia miaka ya mwenye kampun mpaka kipindi hiki inapaswa tujue anajua mbivu na mbichi anaijua nje ndani system yetu,so tumsimchukulie poa huyu mzee wa tabasam,Kabisa mkuu, ndio maana baadhi ya watu wake wanamchukia sana Mr.born town.
Anatakiwa aondoke PAKA kwanza then huu ukanda uwe salama alafu si unasikia purukushani zinazoendelea kule kongo sasa hvIli hii nchi iendelee huyu born town anatakiwa aondoke,japo binafs ntaumia sana.
Nakuunga mkono mkuu,tatzo late CEO aliingia bila kutarajia kwenye system hakua anatambulika,thus y alikua mgeni na kila kitu.Naam...
Umesema kwa kiasi flani... unajua hii simulizi ya Yoga haipo direct kuna mambo anayajua anayakwepesha au hayajui kabisa..
Kampuni yetu moja ya majukumu makubwa ni usalama wetu..
Kuna usalama huu wa kawaida tunauona kila siku ..
Kuna usalama wa mipaka na kijeshi..
Pia kuna usalama wa ndani ambao hatuujui..
USALAMA WA NDANI
Usalama huu kwa kampuni yetu wengi hatuujui...
Kiongozi wa kampuni anapochaguliwa hupewa info za hapa na pale na baadhi ya majukumu ya siri sana wanayofanya humo ndani...
Usalama huu pia humlinda Kiongozi wa Juu wa Kampuni pamoja na kumpa baadhi ya masharti katika uongozi wake..
Huko kwenye usalama kuna watu wa information na action to be taken basi.
Sasa kwa uongozi wa late CEO alichezea hii system ya usalama wa ndani pamoja na operations zake...
Late CEO alijaribu pia kuweka watu wa PAKA humo ndani na hilo lilileta balaa sana mpaka LEO HII wanajaribu kuclear ..
PAKA aliweka system flani ya kulinda late CEO pamoja na mambo mengine ya siri za kampuni...
Kilichotokea March 2021 mpaka leo PAKA na watu wake hawaamini kilichotokea na hawajui late CEO alichomokaje kwenye huu mzunguko wa sayari ya tatu kutoka juani... Kwa ulinzi waliokuwa wanampa
Baadhi ya watu wa PAKA wapo sehemu salama.. Just tuu kuhakikisha wanajua nini na hawajui nini.. Na extent ya info walizotuma kwa PAKA..
Lengo ni kuhakikisha kampuni inabaki salama.. Kwa kiasi flani..
Tatzo sio watu hatuijui nchi yetu,tatzo n hawa wanasiasa ambao wakipata nafasi wanatuona sisi hatuna maana,Wengi sana hawaijui Nchi Yao, IPO haja mitaala yetu yarudishwe masomo ya kuimarisha uzalendo.
Hawaijui Nchi hii vizuri, Juzi tu ndo wengine wamekuja jua hata Putin aliishi hapa kwetu kujiimarisha kimafunzo na kushare ideas.
Mkuu mungu syo masikin hebu shusha vtu tulishe ubongo nahis kama kuna ktu umetaka kuandika na ukasita
Usihukumu raia mkuu,hukumu na hawa viongozi wanaotugawa,leo anasimama kiongozi anasema vijana wote wamepatiwa mkopo,ambae hajapatiwa huenda sio mtanzania,hivi huyu anaeza kukuimbia neno uzalendo ukamuelewa??Ni kweli kabisa ndg. Wengi hawajua nchi yao imetoka wapi na mpaka hapa ilipo nini kimefanyika.
Time will tellWacha tusubiri tuone bas.
Igweeeee... adumu milele. Na wadau wake tupoo. Wasitake kutuletea matatizo kabisa. Huyu bi kidude vipi huyu?Born town adumu sana
Wadau hawalifikirii kabisa hili aisee. Huyu paka ikibidi asafirishwe. Awahiwe yeyeIla tuwe makini na pk s umeona jirani haitawaliki pere nkurunziza wamesepeshwa
DRC inateseka mno. Hata vijana wetu tumewapoteza sana sana sana. Roho inaniuma kweli vijana wetu huko congo.Unaonekana unajua mengi sana bt binafs moja ya watu nawachukia ni huyu PAKA
maana DRC inahustle sababu ni huyu so namuhofia sana jamaaa japo sipo kweny hayo masistimu
Binafs nilielewa mkuu,Wewe ninajua unataka niongee sana.Alivyopiga ile risasi ulitokea mlipuko wakatahayarika wasijue wafanye nini akawashoot mmoja mmoja. Umeelewa sasa nilichokimaanisha. Wakati mwingine mtu akiongea kitu soma mistari 2 yenye ujumbe nyingine ni kunogesha stori tu.
Hapa ndio ninaishia kama utataka nyongeza sina zaidi siwezi kukuongopea, ila kama usipoamini soma na kuacha kama ilivyo tangu mwanzo ni mwendo wa hadithi, siyo kila hadithi inaleta picha ya uhalisia uitakayo wewe.
Haya mambo haya,tatzo jiwe alikua anaropoka sana,usikute katele4n nae kahusika kwa namna moja au ingineMkuu watu wanamnyooshea kidole kwa kufuata mkumbo...
Hii simulizi yetu ya Yoga ina twist nyingi sana...
EMBU TUJIULIZE KAMA NI KWELI HII SIMULIZI JE....
BORN TOWN kama aliamua kujiokoa asichomoke akamuwahi mwenzake Late CEO?
...JE kama kuna vitu havisemwi...?
UNA HABARI BORN TOWN alikuwa anaviziwa na Late CEO amchomoe...
Je... Unafamamu.. Born Town akaambiwa ukikaa vibaya unachomoka... JIWE linakuvizia.... Born Town akaingia kazini kujiokoa...?
..HIVI MKUU MLIKUWA MNAMJUA JIWE VIZURI? AU TUNAMJUA KWA KUANGALIA TV.?
Jiwe lilikuwa linapiga sigara kidogo siku moja moja... Likitoka huko.. Watu wote wanajua leo tumeisha....
Hivi unajua Secretary wa Jiwe aliyeondoka kabla ya mwenyewe kuondoka.. alikuwa anamtuliza sana JIWE asimuondoe KATELEPHONE madarakani... kila mwezi Jiwe likivuta sigara linasema.. natamani aondoke.. wakati ndiye mtendaji bora..
Anyway... Natania.. ..JIWE alikuwa poa..
Tuishie hapa
Nazisikia,huyu tatzo la paka nae n smart sana kichwanAnatakiwa aondoke PAKA kwanza then huu ukanda uwe salama alafu si unasikia purukushani zinazoendelea kule kongo sasa hv
Broo ficha code mkuu,Again... naona ukanda na uchuki umetawala..
Mr. Born town is smart. Na atashinda na nameombea ashinde. Sijui imekuaje hawa warwandese wameachwa hivi mpaka kwenye kampuni. I hate PAKA with passion. Uzuri mr. Born town anamjua kimbwa mbwa. Najua born town atawanyooshaaa. Kitu ambacho hamhakifikiria ni, born town leo hii akasepeshwa mmewaza ya Congo? Huyu paka anataka kututawala huu ukanda wote? Haiwezekani. Born town dont let us down. Kama hii code ni ya kweli wanyooshee. Na huyu bi kidude anaingia vipi kwenye vita na born town? Amemkosea nini? Mbona hata yeye hayuko salama? Shenzi kabisa. Anafikiria akimmaliza jk ndo atakua salama kwa huyo pakarapa? Ila jiwe alaaniwe sana boya yule. Aliruhusu huyu fala akawa na access zote mjini. Tz tumepatikaba
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app