Dark days 17/03/20...

Born town akilamba udongo mie burudaani, afu tuanze historia upyaa.
 
Hahahaha unajua, born town namkubali sana. Namkubali simply because he is smart na basi. Anajua kuplay cards zake. Paka ana dharau sana. Huwa born town maneno hayamuumizagi[emoji23][emoji23][emoji23] amd i know this. He is a smart ass

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Born town is a diplomat. Na sifa za system tunazijua. Uweze kucope na kila kundi. Yeye kucheka sana wanamuona fala. Haya he is now single and ready to mingle maamaayee[emoji23][emoji23] wacha iwake. Me mwenyewe naenda kupigana mbona... watiachie my wetu

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mmmmh acha zako nawee.
Kuna vitu vingine vinafanyika tena operations kali na haziwekwi wazi, unatambua kua jamaa alifuatwa hadi chumbani kwake na CDO mmoja na kumfunga mdomo na ikawa ndio mwisho wa chokochoko zake ? Nilipokwambia ulimwengu wa kiroho sikumaaanisha kwenye maombi uingie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umenichekesha unaenda front mkuu? Dah,we noma huu ndio uzalendo tunaoutaka kwanini mtu mwingine atufanyie maaumuzi?

Me mwenyewe naenda front sitaki kabisa ujinga, tujiongoze wenyewe hata kama tuna udhaifu wetu.[emoji52]
 
Wewe ni mama
 
Umenichekesha unaenda front mkuu? Dah,we noma huu ndio uzalendo tunaoutaka kwanini mtu mwingine atufanyie maaumuzi?

Me mwenyewe naenda front sitaki kabisa ujinga, tujiongoze wenyewe hata kama tuna udhaifu wetu.[emoji52]
[emoji23][emoji23][emoji23] nina wivu mkubwa sana na Tz. Anapokuja intruder i cant take it. Yaan nakiamsha haswaaaa.. kwann watupande kichwani

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la borntown hajali watanzania anajali maslah yake mfano utaona hali ya kuwaweka vijana wake kwenye kampuni ili maslahi yake kuendelea kulindwa.na pia mkuu wa kampuni wa sasa hivi kupokea maelekezo kutoka kwake kama tunataka kwenda mbele kama nchi Born town aondolewe hata duniani ila pia huyu pk asiruhusiwe kucheza na kampuni yetu.tukiendelea hivihivi kampuni kuwa ya watu wachache aisee kampuni haitaendelea watu wake wataendelea kuwa masikini Kwa sababu keki itaendelea kuliwa na watu wachache.tutaendelea kuwa kampuni masikini.lakini zuieni huyu pk asichezee kampuni yetu.pia kampuni ifike mahali iendeshwe Kwa model ya kiuchumi Kwa sababu Sasa kampuni inaendeshwa kisiasa zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…