Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Again... naona ukanda na uchuki umetawala..
Mr. Born town is smart. Na atashinda na nameombea ashinde. Sijui imekuaje hawa warwandese wameachwa hivi mpaka kwenye kampuni. I hate PAKA with passion. Uzuri mr. Born town anamjua kimbwa mbwa. Najua born town atawanyooshaaa. Kitu ambacho hamhakifikiria ni, born town leo hii akasepeshwa mmewaza ya Congo? Huyu paka anataka kututawala huu ukanda wote? Haiwezekani. Born town dont let us down. Kama hii code ni ya kweli wanyooshee. Na huyu bi kidude anaingia vipi kwenye vita na born town? Amemkosea nini? Mbona hata yeye hayuko salama? Shenzi kabisa. Anafikiria akimmaliza born town ndo atakua salama kwa huyo pakarapa? Ila jiwe alaaniwe sana boya yule. Aliruhusu huyu fala akawa na access zote mjini. Tz tumepatikaba

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Paka access hakuipata kwa late CEO, kipindi cha lile vuguvugu aliwahi kusema anajua hadi shuka analolalia born twn, unakumbuka?
 
Wee sahivi born town hayuko ktk kampuni, hawezi kupambana na PK mwenzie yuko ktk kampuni, lazima born town apatikane.
Hahahah. Analo huu mwaka.
My dear. Thats not even working. He had made lots of. Watch this game closely. Nashangaa sana unakua proud na paka ambaye ni mshenzi. Mtu amemdhulumu mpk jiwe ni mtu huyo? Kama taarifa tu zinaleak hv unategemea born town kolo.? Kama pk anavyomsaidia bibie na ile gang na born town ane huyo wa democracy pia. Ila bi kidude is not even safe... afikirie twice

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Natamani sana kujua huyu fanani wetu yuko timu ipi kati ya hizo timu 5 zilizopo kwenye hadithi hii tamu! Au kuna timu nyingine nje ya pazia?

Boss wamemchukua kijana as we thought

Okey so it realy KP?

yes!! Its him indeed!! Tume scan na laptop, Hii software waliyoweka humu kwenye hii laptop ndio ile ile!

Mnaweza kutrack kijana anaonekana kapelekwa wapi?

Yes! Hatuja switch on ile tracker maaana watamscan kuona kama ana anytracking device!

Good! Enedeleni kunijulisha kila hatua!

Sawa boss!!

This guy!!! He always admire my company!! This time tunakula sahani moja

Boss anachukua simu na kumpigia curent CEO, i need to talk to you nakuja hapo!! Then anakata simu!

Born town haraka sana na convoy yake wanaanza safari kuelekea makao makuu ya kampuni, baada ya saa mbili hivi anafanikiwa kufika mpaka makao makuu ya kampuni bila tabu maanaa pale nikama kwake


Anakwenda moja kwamoja kwa mwenyeji wake anaingia ofisini kwake nakukaa kumsubiri! Akiwa pale anaendelea kuzitizama picha za other CEO waliopita ikiwemo ya kwake zilivyo pangwa kwa mpangilio kuanzia CEO wa kwanza mpaka wa sasa! Macho yake yanapofika kwa late CEO, anasmile kidogo!! Anajisemea this guy........

Then five minutes curent CEO anaingia nakuketi!!

Shkamoo boss!!

Marhaba!! Naona ume update furniture last time nimekuja sio hizi!

Hahaha, Nikweli Mkuu! Mtu wa decoration alinishauri tuzibadili and i thought it was a good idea!!

Ohoo! Okey!!

Sawa, Karibu boss! Simu yako imenishtua!

Yes! Nimekuja tena this is the second time na kuja hapa un-ivated so samhani kwa hilo! Ntakwenda moja kwa moja kwenye hoja maaana najua una bizy schedule

Usjali hapa kwako mkuu!!

Hivi Ulipopitia mafile ya kampuni yetu baada ya kupewa hii ofisi, ulipata nafasi ya kupitia file la KP ?

Sorry? Who? (Ceo anashtuka na blood pesure inaanza kuwa juu)

Dont act like ujanielewa, umesha pata kujua what KP wanted from us and how nilimshughulikia?


Boss, hapana sijapitia chochote kinacho husu KP

Sasa nimefunga hii safari mwenyewe kuja kukujuza tu kuwa you need to task your people wakupe file la K.P there issues in there you need to know kabla yakuendelea na ujinga wako na mzee kuunda umoja wa kudeal na mimi!!

And by the way tell mzee namheshimu sana he is still my guy!! Mwambie i can smell an enemy as far as i can!! Na kama huna ilo file bas take this flash!

Born town anampa flash CEO yenye details about what KP did!

Then akiwa anatoka anamwambia, msalime sana KP mwambie this time niko free zaid as he thinks! CEO anaitazam ile flash akiwa anatetemeka

Then born town anarudi kidogo!!

Nilikua nataka kusahau, kule mbugani ile pesa imeshaingia tuna hitaji ilo eneo as soon as possible!! Na nnakukumbusha unapaswa kwenda kule ulikonichafua ukanisafishe tena kama tulivyo kubaliana last time nikiwa hapa I need my investors back, especially from USA! Anasmile kidogo as usual antoka

Current CEO alipo pata taarifa ya born town kuwa ana kuja, alimjulisha mzee then mzee akaplant audio divices kwenye ofisi ya CEO ready to listen to why born time alikuwa pale!

Baada yakusikia kilichosemwa pale evryone was in shock ....

Ceo alirudi haraka ndani and opened her laptop na kuweka ile flsh!!

Then a small folder with 26 GB kwenye flash inajidispaly usoni kwake!!

Ana oppen ile folder anakutana folder lenye title "Oparation +250 Bingo "

pdf files , picture na audio clip na video clip zenye title mbalibali ......


So what happen between KP and born town??



Hope tuta maliza two last epsode soon!!



Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Unamalizia stor vizurrr, umefuta hatua zote. Wote wamepotea.
 
Boss wamemchukua kijana as we thought

Okey so it realy KP?

yes!! Its him indeed!! Tume scan na laptop, Hii software waliyoweka humu kwenye hii laptop ndio ile ile!

Mnaweza kutrack kijana anaonekana kapelekwa wapi?

Yes! Hatuja switch on ile tracker maaana watamscan kuona kama ana anytracking device!

Good! Enedeleni kunijulisha kila hatua!

Sawa boss!!

This guy!!! He always admire my company!! This time tunakula sahani moja

Boss anachukua simu na kumpigia curent CEO, i need to talk to you nakuja hapo!! Then anakata simu!

Born town haraka sana na convoy yake wanaanza safari kuelekea makao makuu ya kampuni, baada ya saa mbili hivi anafanikiwa kufika mpaka makao makuu ya kampuni bila tabu maanaa pale nikama kwake


Anakwenda moja kwamoja kwa mwenyeji wake anaingia ofisini kwake nakukaa kumsubiri! Akiwa pale anaendelea kuzitizama picha za other CEO waliopita ikiwemo ya kwake zilivyo pangwa kwa mpangilio kuanzia CEO wa kwanza mpaka wa sasa! Macho yake yanapofika kwa late CEO, anasmile kidogo!! Anajisemea this guy........

Then five minutes curent CEO anaingia nakuketi!!

Shkamoo boss!!

Marhaba!! Naona ume update furniture last time nimekuja sio hizi!

Hahaha, Nikweli Mkuu! Mtu wa decoration alinishauri tuzibadili and i thought it was a good idea!!

Ohoo! Okey!!

Sawa, Karibu boss! Simu yako imenishtua!

Yes! Nimekuja tena this is the second time na kuja hapa un-ivated so samhani kwa hilo! Ntakwenda moja kwa moja kwenye hoja maaana najua una bizy schedule

Usjali hapa kwako mkuu!!

Hivi Ulipopitia mafile ya kampuni yetu baada ya kupewa hii ofisi, ulipata nafasi ya kupitia file la KP ?

Sorry? Who? (Ceo anashtuka na blood pesure inaanza kuwa juu)

Dont act like ujanielewa, umesha pata kujua what KP wanted from us and how nilimshughulikia?


Boss, hapana sijapitia chochote kinacho husu KP

Sasa nimefunga hii safari mwenyewe kuja kukujuza tu kuwa you need to task your people wakupe file la K.P there issues in there you need to know kabla yakuendelea na ujinga wako na mzee kuunda umoja wa kudeal na mimi!!

And by the way tell mzee namheshimu sana he is still my guy!! Mwambie i can smell an enemy as far as i can!! Na kama huna ilo file bas take this flash!

Born town anampa flash CEO yenye details about what KP did!

Then akiwa anatoka anamwambia, msalime sana KP mwambie this time niko free zaid as he thinks! CEO anaitazam ile flash akiwa anatetemeka

Then born town anarudi kidogo!!

Nilikua nataka kusahau, kule mbugani ile pesa imeshaingia tuna hitaji ilo eneo as soon as possible!! Na nnakukumbusha unapaswa kwenda kule ulikonichafua ukanisafishe tena kama tulivyo kubaliana last time nikiwa hapa I need my investors back, especially from USA! Anasmile kidogo as usual antoka

Current CEO alipo pata taarifa ya born town kuwa ana kuja, alimjulisha mzee then mzee akaplant audio divices kwenye ofisi ya CEO ready to listen to why born time alikuwa pale!

Baada yakusikia kilichosemwa pale evryone was in shock ....

Ceo alirudi haraka ndani and opened her laptop na kuweka ile flsh!!

Then a small folder with 26 GB kwenye flash inajidispaly usoni kwake!!

Ana oppen ile folder anakutana folder lenye title "Oparation +250 Bingo "

pdf files , picture na audio clip na video clip zenye title mbalibali ......


So what happen between KP and born town??



Hope tuta maliza two last epsode soon!!



Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
Born town ize byuldinnn[emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Iri iz wari iri iz[emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Born town kipenzi ya watu anaonyesha kuwa ni kijana hodari aliyekula sahani moja na vigogo wote wanne wa nchi hii. Kwa sasa anabakia kuwa state man wa kampuni na tunaendelea kumuombea kila la kheri.
Show zake za kibabe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91] smart ass

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kabisaa. Tunaipenda nchi yetu na tunaitakia amani. Paka asitusogelee kabisa huyu mpumbavu

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Tukiongea hapa watu wanadhani tuna chuki binafsi na Paka how ? Mambo yake siyo, hana uchungu na nchi yetu,hatupendi watanzania, shida yake kubwa ni rasilimali za nchi yetu. Atuongoze kwani sisi hatuwezi kujiongoza, sisi siyo wajinga kiasi hicho.

Mbaya zaidi hata watu wake wana dharau sana akija kwako anataka kukutawala, anakupangia nini cha kufanya, dharau kama zote anaweza kukutemea mate usoni. Ni wachafu hawa watu,wawachunguze vizuri. Sisi tuliowahi kuishi karibu nao ndio tunawajua na hatunaga shobo nao kabisa.
 
Kwa nn hawa watu huwa wanaua afu wanatupa maiti kwny maji?? Huwa wanashindwa kufukia au kutumia njia nyngne ili maiti zisionekane?
Ili miili ipelekwe na mto mpaka ziwani halafu maiti zionekana ziko kwenye kampuni yetu kwahiyo ushahidi kwao haupo. Ziwa huwa halikai na uchavu lazima liusukumize pembeni, sasa nyinyi mkiona maiti si lazima mtawasitiri?

Kwahiyo yeye hataki wazikwe kwenye ardhi yake, kupoteza ushahidi wa kutambulika na dharau tu kwamba hawastahili kuzikwa kwao, pia kwamba uchafu uje kwenye kampuni yetu,dharau hizo hizo za kijinga kujiona wao ni watu bora kuliko waungwana na watu wapole.
 
Tukiongea hapa watu wanadhani tuna chuki binafsi na Paka how ? Mambo yake siyo, hana uchungu na nchi yetu,hatupendi watanzania, shida yake kubwa ni rasilimali za nchi yetu. Atuongoze kwani sisi hatuwezi kujiongoza, sisi siyo wajinga kiasi hicho.

Mbaya zaidi hata watu wake wana dharau sana akija kwako anataka kukutawala, anakupangia nini cha kufanya, dharau kama zote anaweza kukutemea mate usoni. Ni wachafu hawa watu,wawachunguze vizuri. Sisi tuliowahi kuishi karibu nao ndio tunawajua na hatunaga shobo nao kabisa.
Paka hata kwa sura tu aanaonekana roho mbaya. Ngoja sasa born town ameamka. Acha awanyoosheee. Kuliko paka aje bora tubaki na born town wetu. Huyo paka anyooshweee. Yaan anatamani kweli tz ingekua yake. Ama tuwafanyie kama russia kwa ukraine?[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Hahaha na bandari... balaaaaa[emoji91][emoji91][emoji91]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ila kipindi kile alikuwa amezidi aisee, maneno ya shombo shombo tu halafu wakakaa kimya akaona dhaifu haw waungwana, alivyojibiwa kidogo tu,busara,hekima, diplomasia zikaombwa zitumike. Angeendelea tuone umwamba wake.

Unajua kuna vitu vinatia hasira unajifikiria kama ungekuwa ni wewe tayari muda mrefu tembo ulishalitia maji, halaaa, nani anataka ujinga?[emoji2955][emoji2955][emoji2955][emoji2955]
 
Paka hata kwa sura tu aanaonekana roho mbaya. Ngoja sasa born town ameamka. Acha awanyoosheee. Kuliko paka aje bora tubaki na born town wetu. Huyo paka anyooshweee. Yaan anatamani kweli tz ingekua yake. Ama tuwafanyie kama russia kwa ukraine?[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Me naona ndio muda wake amuonyeshee kwamba niko pembeni ya uskani lakini gari litafika mpka mlangoni kwako, sasa hapo nani zaidi?

Yaani hata kama atatokea mwingine kutawala as long as ana alama kwenye bega la kulia hatuna shida.Yaani eti jirani yangu aje akae sebuleni kwangu ajifunge msuli awashe tv, amwambie mke wangu na watoto kuanzia leo mimi ndiye baba wa hii nyumba kwasababu baba yenu ni dhaifu kazi yake ni kutabasamu tu,eti nimuache, never, muda wa ku-act ni sasa...ukimchekea nyani utavuna mabua..!!
 
Again... naona ukanda na uchuki umetawala..
Mr. Born town is smart. Na atashinda na nameombea ashinde. Sijui imekuaje hawa warwandese wameachwa hivi mpaka kwenye kampuni. I hate PAKA with passion. Uzuri mr. Born town anamjua kimbwa mbwa. Najua born town atawanyooshaaa. Kitu ambacho hamhakifikiria ni, born town leo hii akasepeshwa mmewaza ya Congo? Huyu paka anataka kututawala huu ukanda wote? Haiwezekani. Born town dont let us down. Kama hii code ni ya kweli wanyooshee. Na huyu bi kidude anaingia vipi kwenye vita na born town? Amemkosea nini? Mbona hata yeye hayuko salama? Shenzi kabisa. Anafikiria akimmaliza born town ndo atakua salama kwa huyo pakarapa? Ila jiwe alaaniwe sana boya yule. Aliruhusu huyu fala akawa na access zote mjini. Tz tumepatikaba

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Jiwe alikuwa ni zaidi ya tatizo !!
 
Back
Top Bottom