Dark days 17/03/20...

Utafikiri ana biashara[emoji1787][emoji1787][emoji706][emoji706][emoji706]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mbona magaidi waliingia na kuishi hapa mkuu kama tuko vzr hivyo kaa maelezo yako
Magaidi kuingia ni jambo moja, magaidi kuleta madhara Kwa Taifa ni jambo lingine.

Vyombo vipatapo taarifa juu ya uwepo wa viashiria vya kuhatarisha USALAMA Huwa hawakurupuki, wanaachwa Ili kujua nguvu waliyonayo,idadi, wanamfanyia KAZI nani,silaha walizonazo nk.

Ile ni intelligentsia, pia vyombo vya juu kiusalama vipatapo taarifa hizo hushusha taarifa Kwa vyombo vya chini kimamlaka huku wakifuatilia Kwa ukaribu.

Masuala ya ndani sana hayakuhusu bt itoshe kusema uamkapo salama na kufanya shughuli zako Kwa amani, Mshukuru Mungu pia jua ya kuwa wapo wasiolala Kwa ajili Yako. Amen
 
Na kubadili somo la history awe yeye. Idiot kbs.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
why are you using excessive energy to defend these killers? looks like you have assumed the role of yoga
 
Kumekuchaaaaaaaaaaah,

Born town akishinda hii Battle ntasema baas, Jah ndo ataamua ni lini achukue oxxgen yake.

Nataman alazwe foot 6 mapema mno, mbna yeye kalaza wenzie. Khaaaah nachukia mie.
Shida ni Huyo paka kuja kukaa sebuleni kwetu.born town ashinde tu
 
Vasco haweki kukaa pembeni unless he's eliminated. Ana power kubwa sana, ameweza kuiweka kampuni kwenye kiganja. Awe eliminated tu, sema dhambi ya kueliminate maceo huwa ni endelevu, ukimmaliza huyu, anayekuja anakumaliza.
 
pk has killed many Rwandese in foreign lands suspected of opposing his style of leadership, if not dealt with properly, he could extend his evil hands in our company.
 
Naamini huandiki haya kwa bahati mbaya. Niishie hapo
Ni kweli kabisa. Sababu kuu ni Uzalendo uliotukuka juu ya Kampuni yetu iiyojaariwa watu mahiri, hodari, wepesi wa kung'amua mambo, wapole kama fufutende, wenye ukarimu na upendo na Wazalendo haswaaa.

Ni mapenzi tu ndg yangu.
 
Wale marasta achana nao wanamafunzo ya cdo pia wako vizuri kukusanya na kuchambua taarifa za ujasusi. Kuna mmoja alijiunga nao kilichofata ni msiba
Alijichomeka kwenye kundi Lao akiwa amevaa rasta bandia nini mkuu?
 
Magaidi wanaingia na kuishi marekani na ulaya ww unashangaa kuingia na kuishi Tanzania!?
Mwanzo nilitafuta jibu la kujibu nikaona ninyamaze maana nitaandika Gazette, umejibu kwa kifupi sana lakini kwa kueleweka.

Ahsante kwa kujibu Kizalendo. Ubarikiwe sana.
 
Watu wengi hawapendi kuishi kwenye mishahara yao utafikiri wakati wanaomba hizo kazi hawakujua watalipwaje.

Hawa ndio nimewazungumzia wanataka kutoka kwa mwaka 1 awe tayari anamiliki kila kitu.

Watafutwe wote hawa wapelekwe mahali wafundishwe Uzalendo wakiwa wamevaa sare, mpaka watoke huko watakuwa wamepata somo la kweli na maarifa ambayo watawapatia watoto wao ili wasije wakaiga matendo ya wazazi wao.
 
There you are my sister. Am always on your side.Ziko njia nyingi sana,leo hii tunaweza tusione madhara ya damu lakini vizazi vijavyo vikajikuta vinakutwa na misuko suko na wakitafuta chanzo wanaambiwa baba zenu na babu zenu walimwaga damu za watu wengi sana,watajisikiaje?
 
Kama waliingia na kuishi, sasa hivi wako wapi, bado wanasumbua?

Umemjibu vizuri sana, wazee wa kazi walishawashughulikia kitambo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…