Captain 666
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 660
- 1,236
hyu wa saizi mi hata sielewi anaxhoandika kwa kweli. cjui we mwenzetuAngalia vizuri kuna utifauti mkubwa yoga wa mwanzo na wa sasa hata ladha inapungua
Hio utifauti na anaxhoandika mmechapia au Mimi ndo siwaelewi?hyu wa saizi mi hata sielewi anaxhoandika kwa kweli. cjui we mwenzetu
Ndo Ivo,kikulachoNasikia ata waliokuwa wanamsifia boss aliepita wameanza kumgeuka. Hakuna watu wanafiki kama wafanyakazi wa chini kwenye kampuni.
Huu ndiyo ukweli wenyewe,hakuna mtu smart kwa Sasa ndani ya KAMPUNI wa kumuweza PAKA zaidi ya MR BON TOWN,akifa Mr Born Town Nchi itakuwa rasmi koloni la PK.
Unafollow closely hapa JF? Wewe ni hopeless creature, attention seeker.Akili zenu ni ndogo sana kufikiria. Na wewe Yoga, you should be careful na hii misleading and manipulating story. We are following up closely .
Take care !
Wewe utakuwa hauko sawa..umeambiwa hii ni riwaya unaanza kuleta mihemuko.Akili zenu ni ndogo sana kufikiria. Na wewe Yoga, you should be careful na hii misleading and manipulating story. We are following up closely .
Take care !
Na hiki ndiyo kitu kinatufanya tuonekane hatujielewi kabisa, tunabweteka mnooo!Ukienda wizara ya Maliasili na Utalii kuna jamaa anaitwa Kalamaga pale Dodoma ni Mnyarwanda kamili lakini Boss wa Kitengo Tanzania,Akipata likizo anarudi zake Rwanda anajifanya ni muhangaza toka Ngara.
Huko tandika wamejaa kibao,achilia mbali Jeshini na sehemu Nyingine nyeti.
Kitunda kuna Kanisa la kilokole mchungaji wao anafuga wahamiaji haramu toka Kenya na wanaishi fresh tu hawana hata vibali vya Siku 2 lakini wana miaka na miaka hapa Bongo.
sema mzee unapenda sana atention,,unawish ungekua Yoga sio😂,,Unaongea sana mzee,ebu ongeaga kidogo na mafact asee,,bnafsi unanichosha unavyojikuta...Punguza shobo kwny thread za watu,fanya yako[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Ohhh! Pole sana sikukusudia kukuchosha maana nilikuwa sijui kama ninayoandika yanakugusa. Niwie radhi tafadhali. Unasema niandike na kuongea tena kidogo wakati hapo hapo unachoka, huoni kama nitaendelea kukuchosha, au unapenda kuchoshwa huku ukilalamika?sema mzee unapenda sana atention,,unawish ungekua Yoga sio[emoji23],,Unaongea sana mzee,ebu ongeaga kidogo na mafact asee,,bnafsi unanichosha unavyojikuta...Punguza shobo kwny thread za watu,fanya yako
Paka anatumika tu kwenye game lakini likiisha hana chake. Usidhani new CEO mjinga kiasi hicho.Kama PK yuko ndani ya hii game,basi mimi nimeamua tu kuwa team born town kwa sasa sitaki born town auwawe..nataka afe natural death tu.
Mkuu yoga, una kipaji adimu sana cha story telling, ukifika last episode, compile this into manuscript na ku publish kitabu, kitakiwa #Best Sale!.Hope tuta maliza two last epsode soon!!
another idiot, una akili gani we mbuzi hadi uwaone wengine wana akili ndogo? stop your idiotic threat, kamtishie mamako mbwa weweAkili zenu ni ndogo sana kufikiria. Na wewe Yoga, you should be careful na hii misleading and manipulating story. We are following up closely .
Take car
Kwayo Mohamed anakalishwa na yoga vzr tuMkuu yoga, una kipaji adimu sana cha story telling, ukifika last episode, compile this into manuscript na ku publish kitabu, kitakiwa #Best Sale!.
Keep up this good work, nadhani tukifanya mashindano ya story telling, you are the best, umetengeneza hii fiction story which is so real hadi mtu kuamini it's a non fiction!. Mzee wetu Mohamed Said
atasubiri.
P
Attention seeker.Akili zenu ni ndogo sana kufikiria. Na wewe Yoga, you should be careful na hii misleading and manipulating story. We are following up closely .
Take care !
Hahahahaha hahahah #MGOTEMkuu yoga, una kipaji adimu sana cha story telling, ukifika last episode, compile this into manuscript na ku publish kitabu, kitakiwa #Best Sale!.
Keep up this good work, nadhani tukifanya mashindano ya story telling, you are the best, umetengeneza hii fiction story which is so real hadi mtu kuamini it's a non fiction!. Mzee wetu Mohamed Said
atasubiri.
P
Jazia nyama miss Pablo Escobar alizulumiwa nn[emoji16]Aliyemzulumu jiwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwa kila nikikumbuka hili nacheka
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app