Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Huu ndiyo ukweli wenyewe,hakuna mtu smart kwa Sasa ndani ya KAMPUNI wa kumuweza PAKA zaidi ya MR BON TOWN,akifa Mr Born Town Nchi itakuwa rasmi koloni la PK.

Akili zenu ni ndogo sana kufikiria. Na wewe Yoga, you should be careful na hii misleading and manipulating story. We are following up closely .

Take care !
 
Akili zenu ni ndogo sana kufikiria. Na wewe Yoga, you should be careful na hii misleading and manipulating story. We are following up closely .

Take care !
Wewe utakuwa hauko sawa..umeambiwa hii ni riwaya unaanza kuleta mihemuko.

Ukikatch feelings kunywa gahawa na kashata ulale.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukienda wizara ya Maliasili na Utalii kuna jamaa anaitwa Kalamaga pale Dodoma ni Mnyarwanda kamili lakini Boss wa Kitengo Tanzania,Akipata likizo anarudi zake Rwanda anajifanya ni muhangaza toka Ngara.

Huko tandika wamejaa kibao,achilia mbali Jeshini na sehemu Nyingine nyeti.
Kitunda kuna Kanisa la kilokole mchungaji wao anafuga wahamiaji haramu toka Kenya na wanaishi fresh tu hawana hata vibali vya Siku 2 lakini wana miaka na miaka hapa Bongo.
Na hiki ndiyo kitu kinatufanya tuonekane hatujielewi kabisa, tunabweteka mnooo!
Inawezekanaje mtu atoke nchini kwao huko anakuja hapa na kujiachia tu bila kufuata sheria zetu?
 
sema mzee unapenda sana atention,,unawish ungekua Yoga sio[emoji23],,Unaongea sana mzee,ebu ongeaga kidogo na mafact asee,,bnafsi unanichosha unavyojikuta...Punguza shobo kwny thread za watu,fanya yako
Ohhh! Pole sana sikukusudia kukuchosha maana nilikuwa sijui kama ninayoandika yanakugusa. Niwie radhi tafadhali. Unasema niandike na kuongea tena kidogo wakati hapo hapo unachoka, huoni kama nitaendelea kukuchosha, au unapenda kuchoshwa huku ukilalamika?
 
Asomae na afahamu. Alitabiriwa kufa na wakasema atakufa nchi itakombolewa.
Screenshot_20220603-064957.jpg
JamiiForums-1496351819.jpg
 
Komando H uko wapi? Mzalendo halisi sijawahi kukuhofia. Usilale komando. Unategemewa sana na wanyonge wa nchi hii.

Uko mdogo wangu, piga kazi utuokoe.
 
Hope tuta maliza two last epsode soon!!
Mkuu yoga, una kipaji adimu sana cha story telling, ukifika last episode, compile this into manuscript na ku publish kitabu, kitakiwa #Best Sale!.

Keep up this good work, nadhani tukifanya mashindano ya story telling, you are the best, umetengeneza hii fiction story which is so real hadi mtu kuamini it's a non fiction!. Mzee wetu Mohamed Said
atasubiri.
P
 
Mkuu yoga, una kipaji adimu sana cha story telling, ukifika last episode, compile this into manuscript na ku publish kitabu, kitakiwa #Best Sale!.

Keep up this good work, nadhani tukifanya mashindano ya story telling, you are the best, umetengeneza hii fiction story which is so real hadi mtu kuamini it's a non fiction!. Mzee wetu Mohamed Said
atasubiri.
P
Kwayo Mohamed anakalishwa na yoga vzr tu
 
Mkuu yoga, una kipaji adimu sana cha story telling, ukifika last episode, compile this into manuscript na ku publish kitabu, kitakiwa #Best Sale!.

Keep up this good work, nadhani tukifanya mashindano ya story telling, you are the best, umetengeneza hii fiction story which is so real hadi mtu kuamini it's a non fiction!. Mzee wetu Mohamed Said
atasubiri.
P
Hahahahaha hahahah #MGOTE
 
Back
Top Bottom