Dark days 17/03/20...

[emoji23] Alilia Sana, Akakomaa nipo ofithini nafanya kadhi mheshimiwa
 
yoga umefuruga akili kweli. Mchezo hauhitaji mkurupuko. Ukiisoma riwaya akili inakunong'oneza oanisha na kampuni halisi, kama kweli vile. Majabinazo yanaanza wewe na liakili lako, ukibishana na akili ina factory reset to its default.
 
Ile project aliikuta Ipo planned kabla hata hajaingia Madarakani, tunaoishi dar tulikuwa tukiyaona mabango ya kuanza Kwa ule mradi tangu jk alipokuwa ana tawala ,
 
M
Kazi ya luckyline kwenye huu uzi ni kuaminisha kwamba upinzani wote ni useless. Ninaamini wasaliti wapo lakini sio kwa mtazamo wa huyu mtu.
Kumbuka hii ni riwaya tu.
Yoga hajataja upinzani hapa, naomba uwe unasoma kwa makini usijaribu uzi wetu pendwa.

Kama unashida ktk kufungua code usisite kuomba msaada, utasaidiwa 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…