ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
[emoji23][emoji23]Acha uongo.
Kuna mtu mmoja tu akipotea hii nchi itaanza kuhema vzurkijana wa mr culture ameniuma utadhani nilimzaa mimi....
ukifatilia utasema ni movie...kumbe yanatokea kwenye inchi hii hii mwe...
[emoji23] Alilia Sana, Akakomaa nipo ofithini nafanya kadhi mheshimiwaKuna huyu assistant wa sasa wa CEO aliugua sana mpaka akazushiwa amekata kamba, hiki kipindi ilikuwa kwenye february last year, wakati huu watu wa karibu wa the late walikuwa wanapotea hovyo.
Jamaa mpaka alilia kwenye press, sasa sijui alilia nini, au na yeye alishika zile dokuromenti?
Lakini kama aligusa dokuromenti kwa kitu kilichowekwa pale ilikuaje akashinda umauti?
Halafu inaonekana kulikuwa kuna team tayari inajua hachomoi, kwa maana habari zilizagaa balaaa kwamba jamaa he is no longer with us... Mkuu hebu tujulishe hii imekaaje..?
Halafu alionekana amedhoofu na alikua anakohoa ovyo.
Nasubiri na hili utufafanulie kidogo..
Tuelezee huo ujumbe uliofichwa bossKibaya ni kwamba ujumbe mkubwa umeuficha kwenye elimination proccess ya CEO. Ingawa kwa uangalifu mkubwa sana umekwepa kuhusu uhusika wa bwana ngozi mwenye kijiwe chake kipya pale mji kasoro bahari.
Tumekumiss!!Hellow guys and Sorry pia!! Kuna kiubz flan kilipita but mambo yako vizuri sasa!! Dont miss the last two epsode next week!! Aisee hamtojutia!! .....tchaooo!
Fanya mpango Yoga umalizie storiHellow guys and Sorry pia!! Kuna kiubz flan kilipita but mambo yako vizuri sasa!! Dont miss the last two epsode next week!! Aisee hamtojutia!! .....tchaooo!
tchaoooππHellow guys and Sorry pia!! Kuna kiubz flan kilipita but mambo yako vizuri sasa!! Dont miss the last two epsode next week!! Aisee hamtojutia!! .....tchaooo!
Hellow guys and Sorry pia!! Kuna kiubz flan kilipita but mambo yako vizuri sasa!! Dont miss the last two epsode next week!! Aisee hamtojutia!! .....tchaooo!
hahahahaha.hope utagusia jinsi kaka anayeondoka kwa kustaafu june.alivyofanya yake kuokoa jahazi la kampuniHellow guys and Sorry pia!! Kuna kiubz flan kilipita but mambo yako vizuri sasa!! Dont miss the last two epsode next week!! Aisee hamtojutia!! .....tchaooo!
FilimaniNaomba code ya Mr new culture
Shenzi zao kabisa πkuna watu mnaharibu uzi kwa majibizano ya kijinga.
mtu unatoka huko unakuta mipage mitatu imeongezeka kwashauku unakuja balu unakuta funza tupu.
mwende chumbani kwenu huko au mtoke nje kbsπππ
Ile project aliikuta Ipo planned kabla hata hajaingia Madarakani, tunaoishi dar tulikuwa tukiyaona mabango ya kuanza Kwa ule mradi tangu jk alipokuwa ana tawala ,Kila nikipita daraja la Kijazi nasema hakika Dkt Magufuli was a visionary leader, hata wamchafue kwa maneno ya kuzusha Dkt Magufuli is still in our heart, na wote tutakufa hata huyo Rungwe he will definitely die and everyone else will die. Kwa hiyo Mama Samia tuna uhakika sasa ni yeye ndiye anayetuma watu kumdhihaki Dkt Magufuli, letβs see the end
Customers tufanyeje sasa maana tumechoshwa na mienondo ya haya makampuni, msaada plz.Dunia inatabu sna hii bt kwa ufupi hapa bongo hakunaga upinzani wa kweli wote lao ni moja na wanajuana na mipango yao wanapanga wote
Yoga hajataja upinzani hapa, naomba uwe unasoma kwa makini usijaribu uzi wetu pendwa.Kazi ya luckyline kwenye huu uzi ni kuaminisha kwamba upinzani wote ni useless. Ninaamini wasaliti wapo lakini sio kwa mtazamo wa huyu mtu.
Kumbuka hii ni riwaya tu.