Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Kuna huyu assistant wa sasa wa CEO aliugua sana mpaka akazushiwa amekata kamba, hiki kipindi ilikuwa kwenye february last year, wakati huu watu wa karibu wa the late walikuwa wanapotea hovyo.

Jamaa mpaka alilia kwenye press, sasa sijui alilia nini, au na yeye alishika zile dokuromenti?
Lakini kama aligusa dokuromenti kwa kitu kilichowekwa pale ilikuaje akashinda umauti?

Halafu inaonekana kulikuwa kuna team tayari inajua hachomoi, kwa maana habari zilizagaa balaaa kwamba jamaa he is no longer with us... Mkuu hebu tujulishe hii imekaaje..?

Halafu alionekana amedhoofu na alikua anakohoa ovyo.

Nasubiri na hili utufafanulie kidogo..
[emoji23] Alilia Sana, Akakomaa nipo ofithini nafanya kadhi mheshimiwa
 
yoga umefuruga akili kweli. Mchezo hauhitaji mkurupuko. Ukiisoma riwaya akili inakunong'oneza oanisha na kampuni halisi, kama kweli vile. Majabinazo yanaanza wewe na liakili lako, ukibishana na akili ina factory reset to its default.
 
Kila nikipita daraja la Kijazi nasema hakika Dkt Magufuli was a visionary leader, hata wamchafue kwa maneno ya kuzusha Dkt Magufuli is still in our heart, na wote tutakufa hata huyo Rungwe he will definitely die and everyone else will die. Kwa hiyo Mama Samia tuna uhakika sasa ni yeye ndiye anayetuma watu kumdhihaki Dkt Magufuli, let’s see the end
Ile project aliikuta Ipo planned kabla hata hajaingia Madarakani, tunaoishi dar tulikuwa tukiyaona mabango ya kuanza Kwa ule mradi tangu jk alipokuwa ana tawala ,
 
M
Kazi ya luckyline kwenye huu uzi ni kuaminisha kwamba upinzani wote ni useless. Ninaamini wasaliti wapo lakini sio kwa mtazamo wa huyu mtu.
Kumbuka hii ni riwaya tu.
Yoga hajataja upinzani hapa, naomba uwe unasoma kwa makini usijaribu uzi wetu pendwa.

Kama unashida ktk kufungua code usisite kuomba msaada, utasaidiwa 😁
 
Back
Top Bottom