Dark days 17/03/20...

Kumekuchaaa
 
Ukiwa mbabe sana una hatari kubwa ya kutengeneza watu waoga na wasio na umakini na weledi pembeni yako na kushindwa kung'amua jambo mbeleni
Alizungukwa na watu vilaza mtu kama makonda, na sabaya, mnyeti wana usmart gani ndo washauri wakubwa wa jiwe au mtu kama bashiru na polepole hawajawah involved direct kwenye politics ndo washauri wako lazima ufail
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…