Waweke wazi mkuu, kuwa mzalendoPAKA ana watu wengi bongo.kuna mmoja yupo kwenye mpira.mwingine yupo kwenye habari
Na wewe u miongoni mwao wanaomwona godfather wa nchi hii ni mshindi dhidi ya late old CEO?Mi naomba kujua,kwenye hii riwaya Mr.born town anaonekana ni mwamba kwelikweli sasa yule mzee wa mkono wa baunsa kipindi anamponda ule ujasiri aliupata wapi?mana alikua anamponda kweĺikweli adi tukaamini mr.born town haogopewi kabisa na mkono wa baunsa!
Acha uongo na ujinga havikusaidii kituMkuu elewa kwamba tunasoma simulizi.. Ambazo hatuna uhakika nazo japo.... Kuna ukweli asilimia kidogo.. Pia kuna uongo kidogo ili simulizi hizi zinoge na kuongeza uelewa wa mambo...
Mimi nilibahatika kuonana na mtu mdogo sana.... aliye unga JUHUDI ZA JIWE..... na kwa cheo chake cha chini ni local representative (diwani) ...
Alikaa kimya kwenye juhudi zake... Mpaka siku moja akatoa siri kwamba alidakwa na kuwekwa sehemu ambayo hajui..... Na kupewa masharti makali... Hakununuliwa.... Na hata leo yupo tuu mtaani....
Alisema alijua anayo familia inamtegemea... Na hawezi kurisk maisha yake.... Bora ajiuzuru.. Na kuunga juhudi.... Basi.... Aliambiwa nini mpaka leo ni siri yake...
Huwezi kusema eti kununuliwa.... Kulikuwa na kitu behind The since...
Fanya tafiti kidogo... Utajua.... Eti nchi imechezewa.....? Mkuu acha kabisa.... Wakati ndio nchi alikuwa anaichezea mwenyewe...
Koplo dunia, aliyekuwa mkurugenzi wa habari wa Borntown pale mjengoni , kuna mwingine muuza vitabu rafiki wa marehemu Ole,yeye anajifanya kwao ni Ngara.Waweke wazi mkuu, kuwa mzalendo
Tatizo ccm siku hii chama ikitoka huenda tutapata ahueniHiyo hali kwenye shule zetu iliwahi lini kuwa nzuri? Social service zingine zote tunalipia, maji, umeme , hospital huko pako vizuri?
Huduma za afya tunalipia kwa gharama lakini nenda kwenya mahospital yetu uone Kama pako vizuri.
Tatizo tulilonalo sio kulipia Wala kutolipia huduma. Tatizo letu kubwa ni hatuna UONGOZI. Hata Leo tuanze kulipia kila mwaka mil 1 kwenye elimu, kamaa hatuna UONGOZI BORA ni kazi bure.
Vyuoni tunalipa ada kupitia bodi ya mikopo na wanaolipa wenyewe binafsi. Kaangalie hali za huko Kama ni nzuri
Na mwingine ndiye huyu aliyetupanga hapa ili tuone borntown alivyo fala 😂Waweke wazi mkuu, kuwa mzalendo
Be humble man, yoga kaahidi ataleta kitu amazing ila sio leo, tulia mkuu yoga sio kenzy utaletewa mwendelezoyoga leo huna kipande chochote
Haya mkuu ni kweli waliunga juhudi wenyewe.... hakukuwa na kitu..Acha uongo na ujinga havikusaidii kitu
Asante mkuu unamaanisha Ulimwengu?Koplo dunia, aliyekuwa mkurugenzi wa habari wa Borntown pale mjengoni , kuna mwingine muuza vitabu rafiki wa marehemu Ole,yeye anajifanya kwao ni Ngara.
Tupo pamoja kambi ya FISINa mwingine ndiye huyu aliyetupanga hapa ili tuone borntown alivyo fala [emoji23]
Wale wanaodhani kuwa paka ni boya ndio hao wanaopiga kelele hapa kuwa hii ni story ya uongo, ukiwauliza yoga ni nani hawana jibu, ila wapo hapa wanakodolea macho huu uzi.
Wazee mjue kuwa paka anajua kuongea kiswahili lugha yetu pendwa, ila sisi hatujui kuongea lugha yake pendwa [emoji849]
Akili za kuambiwa changanya na zako, paka ana makambi kila mkoa hapa TZ [emoji23]
We love yoga 😍Tupo pamoja kambi ya FISI
Kumbuka pia kuna nabii wa Mungu allitabiri kuwa mzee wa mamvi atakuwa rais wa 5 wa Tanzania, leo hii tuna rais wa sita anatawala, huyo Mungu aliyemwonyesha huyo nabii ni tofauti na Mungu aliyempa kibali old CEO kuwa kiongozi wa nchi?Kwanini Mungu aliwapa watanzania rais dikteta na muuaji? Au kwanini Mungu aliruhusu rais dikteta na muuaji awatawale nyie malaika msio na dhambi? Hamkumuomba Mungu awape rais mzuri 2015? Kama mlimuomba kwanini Mungu hakuwajibu akawapa muuaji? Na kama hamkumuomba Mungu awape rais mzuri unafikiri kosa ni la nani?
Kwa taarifa Yako Magufuli na mtawala yoyote hapa duniani huwekwa na Mungu. Na Mungu akimkataa mtu asiwe mtawala hatatawala hata iweje
Ukishajua kwa nini hata late CEO aliamua kumpoteza branch manager ili ampate mkono wa baunsa basi hutoangaika na hilo jibu.Mi naomba kujua,kwenye hii riwaya Mr.born town anaonekana ni mwamba kwelikweli sasa yule mzee wa mkono wa baunsa kipindi anamponda ule ujasiri aliupata wapi?mana alikua anamponda kweĺikweli adi tukaamini mr.born town haogopewi kabisa na mkono wa baunsa!
Mvi mana kilichomgharimu ni kuonekana anautaka urais ili kulipa fadhila kwa magenge ya wahuni. Pamoja na ujanja wa mr born town lakini tiss haiwezi kabisa yaani ipo juu yake!Kum
Kumbuka pia kuna nabii wa Mungu allitabiri kuwa mzee wa mamvi atakuwa rais wa 5 wa Tanzania, leo hii tuna rais wa sita anatawala, huyo Mungu aliyemwonyesha huyo nabii ni tofauti na Mungu aliyempa kibali old CEO kuwa kiongozi wa nchi?
Kumbuka mzee wa mamvi anapumulia mashine sasa, ila jiulize kwa nini hajaupata u CEO mpaka wa leo?
tayal kaweka kule twitterJamani leo silali yoga akiweka bandiko jipya mnibip kwa namba yangu ya JF.
Na wewe una uhakika kuwa old CEO aliondolewa na Mungu kwa sababu alikuwa dikiteta?Una uhakika unabii ulitoka kwa Mungu aliyeziumba mbingu na nchi?