Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
You mean old CEO alitolewa sadaka na Mungu? Siwezi kukubaliana na hilo maana hakuna agano lolote lililowekwa na Mungu kumtoa sadaka binadamuYou mean late CEO? mi naamini aliondolewa kwasababu alishindana na shetani direct kwa mambo mengi kama chanjo, kwa hapa ndani alipambana na magenge ya kihalifu. Mungu kaamua aruhusu wahuni wamuondoe kwasababu pia alipotakiwa kutuvusha ametuvusha, Mungu angeamua kuzuia wazushi angeweza pia. Pia kwasababu mlimkataa aliyeletwa na Mungu Sasa Mungu kawaletea mliyemtaka nyie sue aliyemtaka yeye, hapa lazima mlie na kusaga meno. Na Bado, huyu mama atawakomesha sanaaa
Unasikitishaa[emoji23][emoji23]System ilisukwa na ipo mpaka sasa, subiria kidogo tu utasikia born town anapiga yowe na kunyamaza mazimaa.
Old CEO alikufa but system yake haikufa ipo hai, nasema ipo na utajua siku ile ambayo huyo mjanja wa mjini atakapogeuzwa kama chapati kikaangoni.
Kivipi?
Yupi silver element?Koplo dunia, aliyekuwa mkurugenzi wa habari wa Borntown pale mjengoni , kuna mwingine muuza vitabu rafiki wa marehemu Ole,yeye anajifanya kwao ni Ngara.
Hawa wazee wa legacy ni wakupuuzwa mkuu,yaaan hawaon tulivyokua tunateseka,hawaon huyu ndakoma na mwenzie yabasa na kina piha walivokua wanawaropokea wazee wastaafu?alaf eti leo late CEO asihusike kwenye lawama,n bora mara elf kumi utawala wa miaka 10 ya born town kuliko miaka 7 ya late CEO.Mkuu elewa kwamba tunasoma simulizi.. Ambazo hatuna uhakika nazo japo.... Kuna ukweli asilimia kidogo.. Pia kuna uongo kidogo ili simulizi hizi zinoge na kuongeza uelewa wa mambo...
Mimi nilibahatika kuonana na mtu mdogo sana.... aliye unga JUHUDI ZA JIWE..... na kwa cheo chake cha chini ni local representative (diwani) ...
Alikaa kimya kwenye juhudi zake... Mpaka siku moja akatoa siri kwamba alidakwa na kuwekwa sehemu ambayo hajui..... Na kupewa masharti makali... Hakununuliwa.... Na hata leo yupo tuu mtaani....
Alisema alijua anayo familia inamtegemea... Na hawezi kurisk maisha yake.... Bora ajiuzuru.. Na kuunga juhudi.... Basi.... Aliambiwa nini mpaka leo ni siri yake...
Huwezi kusema eti kununuliwa.... Kulikuwa na kitu behind The since...
Fanya tafiti kidogo... Utajua.... Eti nchi imechezewa.....? Mkuu acha kabisa.... Wakati ndio nchi alikuwa anaichezea mwenyewe...
Kati ya borntown na late CEO na amevuliwa nguo,kuna usemi unasema aliecheka mwisho ndio amecheka vyema,sasa mango na borntown sawa waliminywa kende au waliporomoshwa leo kiko wapi mkuu,wote wako zao majukwaani huko wanaendelea walipoishia wakati mwenzao amebaki mifupa tuu.Lakini si unasikia kilio cha born town! Analalamika kuwa old CEO alisababisha akaporomoka haswaa [emoji23][emoji23]
Mango naye aliminywa kende hadi kakimbilia kwa kabwela mzito.
Mpaka sasa sijauona usmant wa born town na genge lake maana weshavulishwa mavazi sasa wanajiuma uma tu na kujifariji, time will tell.
Huyu jamaa anangangania kumpamba marehem[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]au ndo marehem asemwi vbayasijakuelewa unaposema "walishavulishwa mavazi" wakati kwa sasa Borntown ndie remote control wa king'amuzi cha BimPemba na kaambiwa airudishe system ya Borntown na akairudisha na kuwatoa wa late CEO kwa hiyo mr borntown is awake now
Wasu-**** mnajiona mko smart sana,,,team born town tunawang'ong'a visogoni tuu,,,Kwamba wako hai halafu jiwe anaoza kaburini wala hawatafuti hao wahuni.
Sasa hiyo taharuki waliyo nayo ni juu ya nn?
Nikwambie kitu "hakuna smart man anayeishi duniani kwa sasa, hata aliyevumbua hiyo simu uliyo nayo hayupo (ila alikuwa mtu smart sana)
sasa hao majizi unadai kuwa wako smart [emoji23][emoji23] hawajawahi hata kuleta jambo jipya hapa duniani, usmart wao ni nn?
Nasikitika sana kuona Tanzania kuna wajinga like u
Jamaa hawaelew yoga alivyosema hii n riwaya[emoji3]Uongo umekuburuza. Hii stori mtoaji ameikoroga koroga ili inoge na kusomwa na wengi. Unataka kusema TL ni ccm aliyepachikwa? Au Heche? or even Msigwa?
Tumia akili mkuu.
Yoga story yake inatakiwa uwe na akili kuielewa.
Hapa nimekuelewa,kumbe aliamua kuvumilia tuπ π π π π€£Ukishajua kwa nini hata late CEO aliamua kumpoteza branch manager ili ampate mkono wa baunsa basi hutoangaika na hilo jibu.
Unajua nini maana ya mtu fulani kuwa na mapungufu ila ana faida huko mbeleni? Basi mtu huyo lazima umvumilie na mapungufu yake.
We karakana acha kujifarijiWasu-**** mnajiona mko smart sana,,,team born town tunawang'ong'a visogoni tuu,,,
Yes ni story tu Ila sijui kwa nini jamaa wapo na taharuki kubwa, hasa wale team Msoga π€£Jamaa hawaelew yoga alivyosema hii n riwaya[emoji3]
Aisee binafsi nimekuelewa ,Kuna kipindi nikawa taasisi MOJA Kama miezi 4 Bwana pale palikua na kijana kuanzia juu mpaka chini ni paka culture,so tulizoena KWa mda huo ila siku nikamuuliza mbna unafanana Sana paka culture akabaki chekacheka,ila Cha kushangaza ameajiriwa na JMT so uyo ni mmoja tu je wako wangapi?Na mwingine ndiye huyu aliyetupanga hapa ili tuone borntown alivyo fala π
Wale wanaodhani kuwa paka ni boya ndio hao wanaopiga kelele hapa kuwa hii ni story ya uongo, ukiwauliza yoga ni nani hawana jibu, ila wapo hapa wanakodolea macho huu uzi.
Wazee mjue kuwa paka anajua kuongea kiswahili lugha yetu pendwa, ila sisi hatujui kuongea lugha yake pendwa π
Akili za kuambiwa changanya na zako, paka ana makambi kila mkoa hapa TZ π
Ila ninahisi huyu mwandishi ni pandikizi la paka wallah πAisee binafsi nimekuelewa ,Kuna kipindi nikawa taasisi MOJA Kama miezi 4 Bwana pale palikua na kijana kuanzia juu mpaka chini ni paka culture,so tulizoena KWa mda huo ila siku nikamuuliza mbna unafanana Sana paka culture akabaki chekacheka,ila Cha kushangaza ameajiriwa na JMT so uyo ni mmoja tu je wako wangapi?
Lakin pia umeongea vizuri mtoa tamthilia hatujui ni nani , WENDA akawa mtz au mtu nje ya tz
Alietepeta n borntown au anaeliwa na funza huko[emoji1787][emoji1787]We karakana acha kujifariji
Huyo born town wenu keshatepeta, he is naked now, tulia uone the end of mjinga wa Msoga
Hapa ndipo nilipocheka hovyo[emoji23][emoji23][emoji119]Kati ya borntown na late CEO na amevuliwa nguo,kuna usemi unasema aliecheka mwisho ndio amecheka vyema,sasa mango na borntown sawa waliminywa kende au waliporomoshwa leo kiko wapi mkuu,wote wako zao majukwaani huko wanaendelea walipoishia wakati mwenzao amebaki mifupa tuu.
Yaaan nikisomaga hivi roho inaniumaga kweliAisee binafsi nimekuelewa ,Kuna kipindi nikawa taasisi MOJA Kama miezi 4 Bwana pale palikua na kijana kuanzia juu mpaka chini ni paka culture,so tulizoena KWa mda huo ila siku nikamuuliza mbna unafanana Sana paka culture akabaki chekacheka,ila Cha kushangaza ameajiriwa na JMT so uyo ni mmoja tu je wako wangapi?
Lakin pia umeongea vizuri mtoa tamthilia hatujui ni nani , WENDA akawa mtz au mtu nje ya tz