Dark days 17/03/20...

Nani kasema marufuku kutaja jina la mtu, haya mambo ya code ni kuchangamsha bongo tu,hakuna cha marufuku sijui nani kakuruhusu,huko ni kukariri jambo na kulihalarisha.
Mfianchi bila shaka hujawahi minywa korodani πŸ˜‚πŸ˜‚

Unapoingiza majina halisi ya watu hapa unafanya hii kuwa ni story ya kweli, kitu ambacho yoga amesisitiza hii ni hekaya tu ya kuburudisha, sasa Ukianza kuleta majina ya kina nani sijui, mara oooh huyo ni deshi deshi utajitafutia balaa bure πŸ˜„

Mbaya zaidi yoga hataminywa kende hawatampata 😁ila wewe utapatikana na utaminywa ili ufunguke kwa nini unatoa siri za wakubwa.

NB: yoga ndiye katoa tahadhari msitaje majina ya watu ambao yeye hajawataja ktk hii story.

Jitahidi kuelewa man.
 
Yani hayo majitu utadhani yanaishi kuzimu, huku mitaani mambo nitofauti kabisa na upuuzi wanao eneza humu jf kwa ID zao mbilimbili.

Watu wanasema wanajua kilakitu hata wakisema namnagani wenyewe wanajua ukweli ulipo.
Wanatumia nguvu kubwa kujaribu kumchafua marehemu sijui kwa faida yanani.
 
Poleni JF imesifiwa mpaka mjengoni na Madilu system wakati akikabidhi trillioni 41yake, kwanza ni JF kwa kusema ukweli, na hata yeye Madilu anajua ubovu wa Mwendazake, wakati uliopita alitoa mfano wa refa anayetoa red card kwa kuambiwa tu, Leo elimu bure F V & F VI, Kodi kuwa Flate rate.
acheni yoga arudi na riwaya yetu
 
Na vipi kuhusu yeye kunyamazia kimya kauli za "Atatake asitake tumuongezee muda"

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Kama alisingiziwa je,hakujua?. Na kama alijua,je, alichukua hatua gani kuonesha kwamba hahusiki na utekaji huo?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Niwe muwazi wanaomteteta jiwe waendelee kumtetea tu kwa uhuru wao.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Usmart wake nadhani upo kwenye kukusanya taarifa za siri kwa njia za siri ili kutimiza azma yake. Kwa kweli huyu Born town sio wa mchezo aisee!

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Mvi mana kilichomgharimu ni kuonekana anautaka urais ili kulipa fadhila kwa magenge ya wahuni. Pamoja na ujanja wa mr born town lakini tiss haiwezi kabisa yaani ipo juu yake!
Kivipi?. Mbona kama kila akipanga jambo lake haonekani kuzuiwa na yeyote wala chombo chochote?.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Kwa nini alihitilafiana na CAG Assad?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
We huogopi kuminywa na Mr born mjini?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Wewe NI noma
 
Ndo hapo sasa,mtu unagembea hadi na gari ya kukontrol mawimbi sijui yasifanye nn,magari zaidi ya 40 lkn unakuja unapatikana kizembe[emoji23],,,

Alaf anatokea pimbi mmoja team-legacy anakuambia eti borntown katepeta[emoji3][emoji3][emoji3]jichanganye uone.
 
Anayeliwa nafunza kawaachia taharuki, borntown is naked now hana pa kujificha, mwamba katulia tu aridhini wala hana neno na mtu, tulia man mjanja wenu kende zinabembea in public [emoji23]
Acha kuforce furaha kaka,mpaka sasa born town anaongoza 3 bila,na possession anaongoza kwa 70%,,usikute unasema yuko naked kwa story za yoga?
 
A 05 na c 04 tunaomba msaada mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…