Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Nani kasema marufuku kutaja jina la mtu, haya mambo ya code ni kuchangamsha bongo tu,hakuna cha marufuku sijui nani kakuruhusu,huko ni kukariri jambo na kulihalarisha.
Mfianchi bila shaka hujawahi minywa korodani 😂😂

Unapoingiza majina halisi ya watu hapa unafanya hii kuwa ni story ya kweli, kitu ambacho yoga amesisitiza hii ni hekaya tu ya kuburudisha, sasa Ukianza kuleta majina ya kina nani sijui, mara oooh huyo ni deshi deshi utajitafutia balaa bure 😄

Mbaya zaidi yoga hataminywa kende hawatampata 😁ila wewe utapatikana na utaminywa ili ufunguke kwa nini unatoa siri za wakubwa.

NB: yoga ndiye katoa tahadhari msitaje majina ya watu ambao yeye hajawataja ktk hii story.

Jitahidi kuelewa man.
 
Dah yaani kijiwe cha born town walijaribu sana kufitinisha ila just wait very soon wazalendo wanaenda kuchukua nchi na ndipo utakaposhuhudia hao mafisadi na majambazi yenu yanapelekwa motoni yote. Dkt Magufuli hakuwahi kuwa mwizi na wala hakuwahi kufanya ufisadi bali alikuwa mtu mwenye haki na mapenzi mema ya kizalendo na wananchi na nchi yake na ndiyo maan mmejitahidi kufitinisha ila mmeshindwa. Ukitaka kuona ujinga wenu umeshindwa sikiliza maoni ya wananchi mtaani, kila mtanzania anatamani Dkt Magufuli arudi afufuke.
Yani hayo majitu utadhani yanaishi kuzimu, huku mitaani mambo nitofauti kabisa na upuuzi wanao eneza humu jf kwa ID zao mbilimbili.

Watu wanasema wanajua kilakitu hata wakisema namnagani wenyewe wanajua ukweli ulipo.
Wanatumia nguvu kubwa kujaribu kumchafua marehemu sijui kwa faida yanani.
 
Yani hayo majitu utadhani yanaishi kuzimu, huku mitaani mambo nitofauti kabisa na upuuzi wanao eneza humu jf kwa ID zao mbilimbili.

Watu wanasema wanajua kilakitu hata wakisema namnagani wenyewe wanajua ukweli ulipo.
Wanatumia nguvu kubwa kujaribu kumchafua marehemu sijui kwa faida yanani.
Poleni JF imesifiwa mpaka mjengoni na Madilu system wakati akikabidhi trillioni 41yake, kwanza ni JF kwa kusema ukweli, na hata yeye Madilu anajua ubovu wa Mwendazake, wakati uliopita alitoa mfano wa refa anayetoa red card kwa kuambiwa tu, Leo elimu bure F V & F VI, Kodi kuwa Flate rate.
acheni yoga arudi na riwaya yetu
 
Kama umesoma story hii neno kwa neno utakuwa Umegundua kitu, ila kama hujui kufungua code utakuwa gizani ndugu.

Ni kwamba old CEO aligundua kuwa wapinzani(baadhi) ni njaa tu ndio tena ni wanafiki wakubwa waliopandikizwa na born town ili kulinda enzi yake. Hivyo old CEO alianza kuwanasa kwa kuwanunua, na alipoona wananunulika kirahisi mwanaume akaazimia kuwafutilia mbali watoke kabisa na wasiingie mjengoni wapuuzi hao.

Msome vizuri yoga ktk hii story kisha linganisha na matukio yote yaliyopita (hata yajayo) na utapata jibu kuwa nchi yetu imechezewa sana na inaendelea kuchezewa na wahuni wachache wakiongozwa na Mr born town.
Na vipi kuhusu yeye kunyamazia kimya kauli za "Atatake asitake tumuongezee muda"

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Kaa kwa kutulia the late CEO hakuwahi kuwa na tamaa za kutawala milele, yeye alitaka kwanza awapige chini wasakatonge, anyooshe kampuni basi na muda wake ungefika angetoka bila shida. Taama za majambazi ndo zilifanya mkakati wa kumtangaza kuwa anataka kuongoza milele. Ukwendreeeee huko kama hujui mambo soma comments.

Tajiri alitekwa the late CEO akasingiziwa kuwa ni yeye kumbe ni mbinu za born in town.
Hii yote ni kumchafua the late CEO.

Hii ni simulizi haina uhalisia na kilichomo bichwani kwako. Soma vitabu uenjoy simulizi hii.
Kama alisingiziwa je,hakujua?. Na kama alijua,je, alichukua hatua gani kuonesha kwamba hahusiki na utekaji huo?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu elewa kwamba tunasoma simulizi.. Ambazo hatuna uhakika nazo japo.... Kuna ukweli asilimia kidogo.. Pia kuna uongo kidogo ili simulizi hizi zinoge na kuongeza uelewa wa mambo...

Mimi nilibahatika kuonana na mtu mdogo sana.... aliye unga JUHUDI ZA JIWE..... na kwa cheo chake cha chini ni local representative (diwani) ...

Alikaa kimya kwenye juhudi zake... Mpaka siku moja akatoa siri kwamba alidakwa na kuwekwa sehemu ambayo hajui..... Na kupewa masharti makali... Hakununuliwa.... Na hata leo yupo tuu mtaani....

Alisema alijua anayo familia inamtegemea... Na hawezi kurisk maisha yake.... Bora ajiuzuru.. Na kuunga juhudi.... Basi.... Aliambiwa nini mpaka leo ni siri yake...

Huwezi kusema eti kununuliwa.... Kulikuwa na kitu behind The since...

Fanya tafiti kidogo... Utajua.... Eti nchi imechezewa.....? Mkuu acha kabisa.... Wakati ndio nchi alikuwa anaichezea mwenyewe...
Niwe muwazi wanaomteteta jiwe waendelee kumtetea tu kwa uhuru wao.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Kwamba wako hai halafu jiwe anaoza kaburini wala hawatafuti hao wahuni.

Sasa hiyo taharuki waliyo nayo ni juu ya nn?

Nikwambie kitu "hakuna smart man anayeishi duniani kwa sasa, hata aliyevumbua hiyo simu uliyo nayo hayupo (ila alikuwa mtu smart sana)

sasa hao majizi unadai kuwa wako smart [emoji23][emoji23] hawajawahi hata kuleta jambo jipya hapa duniani, usmart wao ni nn?

Nasikitika sana kuona Tanzania kuna wajinga like u
Usmart wake nadhani upo kwenye kukusanya taarifa za siri kwa njia za siri ili kutimiza azma yake. Kwa kweli huyu Born town sio wa mchezo aisee!

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Mvi mana kilichomgharimu ni kuonekana anautaka urais ili kulipa fadhila kwa magenge ya wahuni. Pamoja na ujanja wa mr born town lakini tiss haiwezi kabisa yaani ipo juu yake!
Kivipi?. Mbona kama kila akipanga jambo lake haonekani kuzuiwa na yeyote wala chombo chochote?.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Dah yaani kijiwe cha born town walijaribu sana kufitinisha ila just wait very soon wazalendo wanaenda kuchukua nchi na ndipo utakaposhuhudia hao mafisadi na majambazi yenu yanapelekwa motoni yote. Dkt Magufuli hakuwahi kuwa mwizi na wala hakuwahi kufanya ufisadi bali alikuwa mtu mwenye haki na mapenzi mema ya kizalendo na wananchi na nchi yake na ndiyo maan mmejitahidi kufitinisha ila mmeshindwa. Ukitaka kuona ujinga wenu umeshindwa sikiliza maoni ya wananchi mtaani, kila mtanzania anatamani Dkt Magufuli arudi afufuke.
Kwa nini alihitilafiana na CAG Assad?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Mfianchi bila shaka hujawahi minywa korodani [emoji23][emoji23]

Unapoingiza majina halisi ya watu hapa unafanya hii kuwa ni story ya kweli, kitu ambacho yoga amesisitiza hii ni hekaya tu ya kuburudisha, sasa Ukianza kuleta majina ya kina nani sijui, mara oooh huyo ni deshi deshi utajitafutia balaa bure [emoji1]

Mbaya zaidi yoga hataminywa kende hawatampata [emoji16]ila wewe utapatikana na utaminywa ili ufunguke kwa nini unatoa siri za wakubwa.

NB: yoga ndiye katoa tahadhari msitaje majina ya watu ambao yeye hajawataja ktk hii story.

Jitahidi kuelewa man.
We huogopi kuminywa na Mr born mjini?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Time came, new CEO akapokea ugeni wake kutoka DOHA, ndani ya ile presidetial suite kuna room nyingine ndogo, so kijana na CEO wakapata time ya kupeana updates!

Kijana alitumia miezi zaid ya mitatu kuandaa taarifa yake!! So akaanza kumbrief CEO akamwambia huyu mtu ni god father wa kampuni! Na hayuko peke yake!! external companies zote zilizo invest kwenye kampuni yetu niether ni za kwake au zinazomwamini sana mr born town!

kuanzia kwenye kampuni zetu zote ndogo ndogo zinazohusika na utalii, umeme, mafuta na ujenzi hawa watu ni share olders! Hakuna sehemu hawapo!! Branches manager wetu wote uliowarudisha kazini asilimia 70 ni watu wake!! Hivyo tumezingirwa na watchdogs wa mr born town hakuna kitu utafanya au kutena bila yeye au group lake lisijue!

Huyu mtu nguvu kubwa anaipata kwa investors wetu wa nje!! ni anaaminika sana!! Project yetu ya kampuni kuhusu ile bandari iliyokuwa crashed na the late CEO ambayo tunairudhisha ukweli nikwamba owners wa hiyo project ni most powerfull people in this world, na kuna mazingira ya mr born town kuwa among wanufaika

Akamwambia kuna mambo wanayoyafanya sasa hivi kurudisha gharama na hasara waliyopata kutokana na uongozi wa the late CEO!! unaona kampuni yetu ya umeme, sasa hivi tunauza sana jenerta badala ya solar sytems!! lakini pia kule kwenye vitalu vya uwindaji yule investor aliyetimuliwa na the late CEO, branch manager amesha ridhia arudi na awekeze! So juhudi za kuweka mazingira ya uwekezaji zinaendelea

Kijana akasisitiza hakuna mahala utagusa he is not there!! All Head of our security ni too loyal kwake, ispokuwa mmoja tu! Huyu analysis inaonyesha bado anamkubali sana late CEO!

Kampuni pinzani zoote unazoziona hapa nchini their Chairmans are his people! huyu tuliyekuwa na kesi naye juzi! Ambaye externa investors wametishia kustop investemnts kwenye kampuni yetu kama kampuni haita drop kesi, analysisi bado inafanyika kujiridhisha kama ni mtu wake au lah!!

Lengo la the late CEO kumshughulikia huyu mr new culture lilikuwa ni kuivunja kabisa kampuni yake baada ya kugundua kuwa ni hawa hawa investors wanaomsponser huyu mr born town ndio wanaomsponsa na yeye! Sasa why wanawasponser two people with different idiologis hapo ndio task force imejikita na soon tutapata majibu



Huyu mtu mr born town wealth yake ni more than 100 years! Most of his dirty money are kept in malaysia! so kupambana naye inabidi kuwa makini na smart sana!!

Akasema kuna kundi ambalo halimtaki tena mr born town kuwa kama kiongozi wao, wanataka changes na kinachoononekana hawa watu wamejipanga sana! Wako kwenye harakati za kumuweka mtu wao!! shida hili kundi ni la watu wa ndani tu sio wa nje! Nje bado anasupport kubwa sana!!


CEO alikuwa makini sana akimsikiliza kijana wake!! Hakushtuka sana sababu baadhi ya vitu anavijua sema hakuvijua indetail kama ambavyo kijana amemfafanulia!!

So CEO baada ya briefing iile akamwambia kijana kuwa her chances are very low to survive this guy!! Kulingana na alivyo jisimika! So options zake nizipi??

Kijana baada yakuulizwa hivyo akasema option zipo but ni very risk!! We have planned a mission, but what we have to do nikuwatembelea hawa external investors unnoticed, if they are getting a proffit of 20% in their investment in our company sisi tu waongezee up to 60% or more with a condition that mmoja mmoja wasaide wewe uwe chairman mpya!! Kwamba we need to atract them to be in our side!!

Lakini pia kuwahakikishia hakuna kuvunja au kukataa mradi wao wowote!! We offer them good interest they give us power!! Maana wako after money and not some one! Istoshe wewe ndio CEO sasa hivi!

Pili kwakuwa kila dipartment ina branch manager ambao ni too loyal kwa mr born town, hao hakuna kuwagusa all we need to do nikuwaacha tu, let them be free as long as we know them! hawa watu wananjaaa sana, tuwaache Wale kwa urefu wa kamba zao[emoji1787] na wakati huo moja baada ya mwingine tuwa convert secretly wawe upande wetu, wabishi tuta apply other ways [emoji1787][emoji1787]

And this is why na introduce kwako hii kitu inaitwa " checks and balances mission"

kijana akachukua red printed document akampatia akamwambia hii ina kila kitu! Take this with you! Read it carefull then TUPE GO aheard kila kitu kitakuwa Sawa!!

Baada ya ile meeting CEO alichukua ile document na kuitunza mwenyewe! Kisha wakaagana, akatoka kwenye kile chumba wakapiga picha na yule mwarabu from doha ionekane yeye ndie alikuwa anazungumza nae na sio yule kijana then CEO akaendelea na ratiba zake!!

Sasa what is "cheks and balance mission" hii ni mission planned na kijana wa the new CEO akiwa na wenzake watano!! Project hii ilikuwa na level tatu! Target wa mission ni mr born town! Lengo ni awe termineted airther friendly or hard way!!

Project hii imekuwa categorised kwa level tatu!

Level one ni Kuua makundi yoote na kuorganise kundi moja kubwa lenye nguvu nyuma ya new CEO. Ili ikamilike Level hii iliwekwa katika stage tatu!

Moja ni kuwashusha temper na hasira team late CEO, wanashushwaje temper na hasira??? nikuhakikisha miradi yoote ya the late CEO ndani ya kampuni ina kuwa implemented kama ilivyoanzishwa na the late CEO, hii itasaidia kuwarudisha kundini wawe na the new CEO karibu! [emoji41]

Lakini pia ni kuwaidentify wale wabishi wenye misimamo sanaaaaa kuwashughulikia nicely na sio in a harsh way, ila ikibid harsh way itumike!

Pili, miradi hiyo yote ya the late CEO waitwe wale outsider investors ambao ndio humpa kiburi mr born town waje wawe involved especially kwenye kuiendesha hiyo miradi itakapo kamilika With a very good interest kwao! Ilengo na wao wawe karib na huyu the new CEO

tatu,kuhakikisha wale resistant yaani lile kundi lisilo mkubali mr born town lipewe freedom na ulaji wa hali ya juu kwa kuinvesting in the company!!

Second level!

Hii ina stage mbili tu, Stage one is to ensure good publicity kwa new CEO, apendwe sana, yaani saaana! kwa kuhakikisha customers wa kampuni wanamkubali sana CEO!

Stage ya pili itawahusu all security agencies,hapa kijana aliwaza kutindua wote wenye mrengo hasi na CEO unoticed

Level ya tatu
Hii ndio yenyewe! Kama level one, two na three zikifanikiwa mr born town hana chake iwe nje na ndani so ni kumgoa kucha tu!

Wakati haya yakiendelea, mr born town homa ya jiji, nayeye alikuwa na yakwake kichwani!

Moja ya vitu alivyoviamini kutokana na uzoefu wake kwenye game ni kuwa ukiona mtu anafuata sana kila unalomwelekezatena bila kukosea ujue kunajambo analifanya na anajaribu kukuficha [emoji23][emoji23]

Baada ya tafakuri kwa kina Alichokifanya ni akampigia simu kijana wake mmoja, akamwambia huyu CEO nahisi kunakitu behind the scene kinaendelea! She is too good, yaani kila nnalotaka anafanya nothing is wrong! This isnt right!!

I have something in my mind nafikiri nikifanya itanipa jibu!! Nafkiri sasa Tutamuhitaji zadi mwenyekiti wa bodi!! Huyu ndio atakuwa karata yetu kujua what is goin on! Lakini pia akawaalet vijana wake pale makao makuu, kwamba heads up!! Wafuatilie whats goin he need updates!!

Kijana akamtafuta mwenyekiti wa bodi! Ikumbukwe mwenyekiti wa bodi alikuwa team late CEO, yeye ndio alimnyima kibali cha kutoka nje kijana msema sana baada ya kudugwa mirisasi, lakini pia, hata fidia yake alimnyima kabisaaa. kijana alipata majeraha kazini alistahili kulipwa!!

Kijana akaworganise timu yake wakamfuata Mwenyekiti wa bodi privetly, direct wakamwabia anachopaswa kufanya unless otherwise something worse would happen to him!

Chearman wa bodi kulingana na alivyotikiswa na wale vijana he had no choice but to implement the plan!! Akaanza kumpinga live CEO hadharani! one day akiwa kaalikwa kuwahutubia vinana wajasiliamali katika aliyo yaongea akatamka wazi kkuwa CEO anaendesha kampuni yao kwa sasa anaiendesha kwa kuchukua loans sana! Akasema kampuni yao itaweza kufilisika soon kama hatua zisipochukua haraka! Ikiwezekana atolewe!!

Hiyo kauli ya atolewe ndio ilimtoa CEO Mafichoni tena kwa hasira juu!! Hisia zilimwendesha badala ya critical analysisi ya kujiuliza kwanini huyu mtu ametamka haya sasa, na si hulo nyuma? Hiz guts na confidence za kusema haya amezitoa wapi?? badala yake CEO Alimnaga live chearman wa bodi na kudecler live kuwa yeye bado yupo yupo sana kwenye position hiyo!! Na akamtaka yeye mwenyekiti ndio atoke kwenye position hiyo!! Kimwonekano wake alimaanisha alichokuwa nakisema. Kumbe bwana, our CEO felt in Mr born town trap! [emoji1787][emoji1787][emoji1787] A Very Big mistake[emoji1787][emoji1787]

Unaruhusuje hisia kwenye jambo sereous hivi.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji41]

mr born town baada ya hiyo reaction ya CEO akawa amejithibitishia kuwa CEO wa sasa atakuwa na kitu behind the scene anakifanya ili aweze kubaki madarakani!! Na hicho kitu kama hajashilikishwa so she is betraying him!!! Mr born town was very maaaaaaaaad askwambie mtu!!! Very Maaaad!!

Je kete za mr born town zitaanzia wapi ili kuila kingi kwenye draft?...........

Is the CEO able to bring late CEO team under her wing??

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mambo ni mengi muda ni mchache!!!
Wewe NI noma
 
Hapa ndipo nilipocheka hovyo[emoji23][emoji23][emoji119]
Yaan born town anawachezea sharubu kila mahali. Hawana pa kupita. Me napenda watu wenye such intelligence. Kwenye ujambazi siko nae. Ila how he plays them them. Ni kama movies tu, napenda sana movies za wahusika with smart brains. Mtu mpaka wanakuingilia ndani kwako wanakupoison unakufa how is it uwe winner?[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ndo hapo sasa,mtu unagembea hadi na gari ya kukontrol mawimbi sijui yasifanye nn,magari zaidi ya 40 lkn unakuja unapatikana kizembe[emoji23],,,

Alaf anatokea pimbi mmoja team-legacy anakuambia eti borntown katepeta[emoji3][emoji3][emoji3]jichanganye uone.
 
Anayeliwa nafunza kawaachia taharuki, borntown is naked now hana pa kujificha, mwamba katulia tu aridhini wala hana neno na mtu, tulia man mjanja wenu kende zinabembea in public [emoji23]
Acha kuforce furaha kaka,mpaka sasa born town anaongoza 3 bila,na possession anaongoza kwa 70%,,usikute unasema yuko naked kwa story za yoga?
 
AO5 aliyataka mwenyewe kwa tamaa zake.
-C04 naye aliyataka mwenyewe kwa tamaa zake...

Mwenzao he is normal living his life but dont touch him....he is the son and ring leader of the dip state.... grow up on their hands and they trust him, he know every room....also he is the part of the team to safeguard the company..please dont go beyond him....you will learn why even those sons of father respected him and is the friend of them..
A 05 na c 04 tunaomba msaada mkuu
 
Back
Top Bottom