Kila kitu hakufanya yeye ila alikuwa anasingiziwa.??Kaa kwa kutulia the late CEO hakuwahi kuwa na tamaa za kutawala milele, yeye alitaka kwanza awapige chini wasakatonge, anyooshe kampuni basi na muda wake ungefika angetoka bila shida. Taama za majambazi ndo zilifanya mkakati wa kumtangaza kuwa anataka kuongoza milele. Ukwendreeeee huko kama hujui mambo soma comments.
Tajiri alitekwa the late CEO akasingiziwa kuwa ni yeye kumbe ni mbinu za born in town.
Hii yote ni kumchafua the late CEO.
Hii ni simulizi haina uhalisia na kilichomo bichwani kwako. Soma vitabu uenjoy simulizi hii.
Dark days ni hekaya tu usifikirie sana bwashee ππDuu huu uzi umenifikirisha sana...Nime connect dots nyingi sana..Pengine mzee Ruksa peke yake ndio ataiona pepo..anyway naomba akili yangu iwe na iman hii ni riwaya tu...
Oman ni ndugu zetu ujue, kuna wajomba zetu huko, mashangazi, mababu na mabibi zetu, wakwe zetu, mashemeji nkFanani bd yuko oman?
Jibu ulichoulizwa na jamaa usitafute namna ya kukimbia.Wewe hujui haya mambo yanavyoendeshwa. Kunywa mbege ulale ukiamka utaelewa.
Sasa wewe unajua nini chini ya jua hili?Kila kitu hakufanya yeye ila alikuwa anasingiziwa.??
Ajibu nini sasa wakati yoga kaweka wazi hata ule utekaji wa tajiri kijana?Jibu ulichoulizwa na jamaa usitafute namna ya kukimbia.
Tuliza boli, yoga kalala mida hii maana huko aliko ni usiku wa manane sasa πHuyu mwenye uzi yuko wapi jamani?
Yaani tangu juzi hata mswaki sijapiga niko hapa namngojea..
Nimeshaandaa popcorn za laki 9 na bia kreti 6 namsubiri hapa..Tuliza boli, yoga kalala mida hii maana huko aliko ni usiku wa manane sasa π
Akiamka atatuma mwendelezo leo ila itakuwa ni usiku wa manane kwetu, hivyo tukeshe tu yoga aliahidi atatuma kitu amazing leo, usilale.
Popcorn hunoga zikiliwa huku washushia softdrink, sasa hizo kreti 6 za bia wapi na wapi mwongo tu weye πNimeshaandaa popcorn za laki 9 na bia kreti 6 namsubiri hapa..
Mie macho yangu kodo kodo tuNapata hisia, Safari ya Oman, inahusiana sana na kufurushwa kwa wamasai wa ngorongoro
Utawala wa borntown kwishaa, current CEO keshajiondoa kwa team borntown.Hawa ndiyo wahamiaji haramu wazee wa M23, washenzi wa kitusi wengi sana humu ndani.
Mungu amjaalie Born Town hata miaka 70+ ili tuwafurushe hawa mbwa wa kitusi
Shetani ni yule anayekutoza kodi kubwa ili apate hela ya kwenda kula bata ughaibuni.Lile lilikuwa SHETANI haswa tena Lenye mapembe yaliyojificha kwenye lile Bichwa lake kama Korosho.
Mshenzi yule asiamke kamwe hata siku ya kiama.
Humu jf wamejaa sanaHawa ndiyo wahamiaji haramu wazee wa M23, washenzi wa kitusi wengi sana humu ndani.
Mungu amjaalie Born Town hata miaka 70+ ili tuwafurushe hawa mbwa wa kitusi
Sasa mbona wamsimanga mleta hekaya, au hujui kuwa naye ni mhamiaji? Angalia usije sababisha story ikaishia njiani tulia mpewe ubuyu na huyu mhamiaji, maana kina LUGUMWI wamekazana kutoza kodi ili bosi wao aendelee kula bata ughaibuni, sasa unadhani nani atakupa vitu adimu kama sio mkimbizi?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]unanikosea kuniita mtumwa kaka,hii n riwaya tuu mkuu n kama ndoto ya mchana hakuna haja ya kukashifiana.Jiandae kwa maombolezo paka keshatamalaki borntown hachomoi[emoji23][emoji23]
Anyway ni hekaya tu usihuzunike sana mtumwa wa borntown [emoji16]