Kaa kwa kutulia the late CEO hakuwahi kuwa na tamaa za kutawala milele, yeye alitaka kwanza awapige chini wasakatonge, anyooshe kampuni basi na muda wake ungefika angetoka bila shida. Taama za majambazi ndo zilifanya mkakati wa kumtangaza kuwa anataka kuongoza milele. Ukwendreeeee huko kama hujui mambo soma comments.
Tajiri alitekwa the late CEO akasingiziwa kuwa ni yeye kumbe ni mbinu za born in town.
Hii yote ni kumchafua the late CEO.
Hii ni simulizi haina uhalisia na kilichomo bichwani kwako. Soma vitabu uenjoy simulizi hii.