Dark days 17/03/20...

Hujui deep informer ni nani kwenye hadithi?
Hujui kijana msema sana?
Hujui old Ceo?
Nje ya simulizi umeshindwa kufungua code nyepesi baba mpambania democrasia alokuwa kabatini? Una umri gani?
Haaaaaah haaaaaah sasa kama Mimi na Miaka yangu 17 nmefungua code yeye kashindwa duh itakuaje sasa huyu Mzee??

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Sasa jamaa anajua ukweli waliotaka kumpeleka kuzimu ni kina nani, ikawaje tena akawekwa kwenye nafasi ambayo CEO akivuta anytime yeye ndio ana rungu, na atachagua ampige nani..

Hivi unahisi hilo rungu litatua kwa nani?

Au jamaa hakuwa target wakaona wamshughulikie ashinde umauti?
 
Jamaa hakuwa target
 
Kwa kipande hiki angalau matumain yanaanza kuonekana, ila vipi huyu new CEO hawezi kupandikizwa kunguni na tabasamu Kama alivyofanya kwa Magufuli.

Ila Mimi maombi yangu ni tabasamu apigwe apigwe apigwe mpaka achakae.
 
Kulikuwa na uwalakini wa ajabu sana yaani afe yeye wasaidizi wake wa karibu wapone??? Kuna vitu hata havihitaji akili kubwa kufikiria
 
Haya mkuu Extrovert.!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Mara nyengine ni kheri kuwa mtu wa kawaida, ukubwa na utukufu una gharama mbaya mnooooo!

Sent from my D6616 using JamiiForums mobile app
Kuwa mtu wa kawaida kunakuja na gharama zake pia.

Imagine kukosa huduma ya kwanza hospitalini kwa haraka sababu wewe ni kajamba nani😅?

Can you believe unaweza sumbuliwa na trafiki over trivial matters sababu wewe ni kapuku tu huna kitu wala connection.

This has to shock you even more unaweza kuishi maisha duni bila kazi ila umesoma vizuri na elimu yako? That goes to your kids as well.

Kuna jirani yako sababu tu ni boss TRA anakula nchi na familia yake isivyo kawaida anakudhulumu sehemu ya ardhi yako sababu ana connection na Lukuvi na huna msuli wa kutunishiana nae. As worst as it may sound!
 
Kumbe late ceo alikuwa sawa kuua na kupiga risasi wanafiq wote. YULE ALIKUWA KIONGOZI TUMEZINGIRWA NA FISI NA MBWA.ni bora angeendelea kuwamaliza mmoja mmoja. SASA born town si atamuua kila atakaekwenda kinyume nae. Watu wetu wa usalama tuwatafutie jina lingine ni UCHAFU.
 
Kumbe haka kamchezo ka ku Araipiana kameanza Long Faka
 
yaani pathetic, ukiyaona yanapokuwa majukwaani au makanisani/misikitini yanaongea mpaka mijasho inawatoka utafikiri ni binadamu kumbe mavi tu.
 
Hiyo paragraph ya mwisho umenena mkuu extrovert. Lazima upambane uwe mkubwa kwa ajili ya kujilinda na uonevu pia.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…