chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
Asante kiongoz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kiongoz
Haaaaaah haaaaaah sasa kama Mimi na Miaka yangu 17 nmefungua code yeye kashindwa duh itakuaje sasa huyu Mzee??Hujui deep informer ni nani kwenye hadithi?
Hujui kijana msema sana?
Hujui old Ceo?
Nje ya simulizi umeshindwa kufungua code nyepesi baba mpambania democrasia alokuwa kabatini? Una umri gani?
Sasa jamaa anajua ukweli waliotaka kumpeleka kuzimu ni kina nani, ikawaje tena akawekwa kwenye nafasi ambayo CEO akivuta anytime yeye ndio ana rungu, na atachagua ampige nani..Jamaa ni muumini mzuri wa kristo ndicho kilimuokoa kile😅 af jamaa walivyokuwa wahuni wakatembelea upepo wa Korona yani kila waliempiga na kitu kizito wakaipa lawama Covid kwa hio kundi la maboya waliamini New CEO kakabwa na Corona and the rest of the Company members
Jamaa hakuwa targetSasa jamaa anajua ukweli waliotaka kumpeleka kuzimu ni kina nani, ikawaje tena akawekwa kwenye nafasi ambayo CEO akivuta anytime yeye ndio ana rungu, na atachagua ampige nani..
Hivi unahisi hilo rungu litatua kwa nani?
Au jamaa hakuwa target wakaona wamshughulikie ashinde umauti?
Kwa kipande hiki angalau matumain yanaanza kuonekana, ila vipi huyu new CEO hawezi kupandikizwa kunguni na tabasamu Kama alivyofanya kwa Magufuli..............
Let me introduce to you our new CEO, huyu ni moja wa watu waliohudumu in the company kwa muda mrefu sana!! Aliyemleta kwenye kampuni hii ni mr born town mwenyewe!! Huyu alimtoa pasipo "julikana" na kumuweka kwenye ramani!
Alimtumia kwenye vitengo tofauti tofauti ndani ya kampuni kwa kipindi chake chote cha uongozi!!
Kitu pekee wengi hawakujua, nikuwa huyu CEO under the wing of the old CEO ametumika sana kama agent na informal kwenye zile department zote alizokuwa kapangiwa!!
Alikuwa sent kwenye maeneo hayo simply kuobserve changamoto zilizopo na kusuggest njia za kusolve changamoto zile! So ni mwanafunzi na mhitimu smart aliye aminika sana na the old CEO!
Network yote aliyoijenga mr old CEO huko nyuma ndani ya kampuni, huyu CEO wa sasa anaijua vizuri since yeye mwenyewe alishiriki katika kuijenga!!
She knew the strenght and wekness of the old CEO and she respected how smart he is! Hata yeye kuwa assistant wa the late CEO haikuwa bahati mbaya! The old CEO, alicheza karatazake very smart in a way the late CEO alijikuta anamteua kuwa kama assistant wake!
So anamjua na kumuheshimu sana mr mind on how smart he is! Aliyaelewa VIZURI sana majukumu yake yote toka mwanzo alipoteuliwa kuwa assistant CEO! Alijua kuifanya kazi kama assistant! She never outshine the master! She was a good informer!
Akiwa pale mezani anasoma zile notification, kumbe kuna some members kwenye lile group la "deep company observers" wamechoka na uongozi wa the old CEO!
Why wamechoka? Simply Becouse the old CEO nikama anawatumia tu. investment nyingi ni mali ya familia yaani watoto wake na mkewe !! Wao wanakuwa kama nembo tu! So they want freedom, they want also to be recognised nakupewa heshima kama ambavyo watoto wake wanakuwa recognized na kupewa heshima!!
One of the notification ilitoka kwa mmoja wa hao members!
Just imagin...., haya yote yanaendelea the late CEO hajazikwa! The notification ilikuwa ni kum allet new CEO kuwa one of the members wants to meet her! Na briefly ilieleza areson why! He provided his secret Phone number when she is ready she can call that number!
New CEO Saw that as an opportunity to what she was thinking! So mazishi yakafanyika, the late CEO kazikwa baada ya almost three weeks since he died!
The old team of the late CEO wallikuwa na hasira kali sana moyoni wengi walihisi kilicho kuwa kimetokea lakini walikuwa hawana proof! So they were in hunt for the truth secretly!! And their target is Mr Born town!!
Its like baada ya mazishi na the new CEO kutake position as a CEO the old CEO was much concetrated with securing his projects That were taken by the late CEO
The new CEO Akaanza kufanya mabadiliko in the company according to the old CEO proposal, hii ilimfanya mr born town kuwa happy tena but very carefull! Tenguzi na teuzi zikaanza kuonekana,
wale wa kuu wa idara icons waliosifika sana wakati wa the late CEO wakapigwa chini, meetings na taarifa zikawa zinapokelewa! Under the monitoring of the old CEO!
After two monthes since in power, the new CEO Alianza safari za outside the country in the name of "rebranding the company name" and "calling out for investors"!
This was one of the smartest idea she came with! Why sababu hapa nchini conection za bwana mkubwa zilikuwa hazikwepeki!
Anawatu wake kila kona! Huwezi fanya kitu asijue he is well organized in information collection!!
Lakini kwa nje ya nchi hakuwa na nguvu na connections kubwa kama nyumbani! So the new CEO saw that opportunity, yaani Kulikuwa na kauhuru flani hivi akiwa nje kuliko anapokuwa ndani ya nchi!! So alianza kuplan outside trips ili aweze kupata oportunity ya kujiorganise well for what is comming!
Wafanyakazi wa ndani ya kampuni walipinga sna safari hiz nakuona hazina manufaa, nakuona zitaipelekea kampuni kupata hasara!! kumbe deep down they didnt know what was goin on!!
So trip yake ya pili ya nje ya nchi, alimnotfy kijana wake wakutane huko nje apate updates za kile alicho mwambia afanye!!
kabla ya kuondoka alipokea maelekezo kuhusu branch manager mmoja wakampuni aliyeaminiwa sana na the old CEO kuwa aliwa harass sana investors wa the old CEO kwenye Company branch! Members wanataka hawa held responsible for what he has done!
So maelekezo nikuwa anapaswa kutenguliwa haraka as a branch manager, na kampuni imshtaki kwa matumizi mabaya ya madaraka! Kwa kuisababishia kampuni hasara ya bilions of money! She called the head security and told him to deal with the matter!!
Baada ya maelekezo hayo CEO kachukua flight up to DUBAI, kijana alishatangulia kuhakikisha their meeting is safe and succesfull
Huku nyumbani mr old CEO hakuwa na time ya kufollow up trips za new CEO aliamua kujikita zaid kurudisha investment zake, nakushughulikia all the people who did him dirty during the late CEO!
At the same time the late CEO gang wakiwa na huzuni, hasira na chuki walikula kiapo iwe jua iwe mvua one day watalipiza kisasi, na kwakuwa washamju wanaye pambana naye ni the god father himself mr old CEO waliitaji kuwa smart and carefully!
[emoji23][emoji23]
[emoji117]Haya haya new CEO target wake amekuwa the old CEO, mtu ambae amemfanya awe hapo alipo, mipango inafanyikia nje ya nchi atamuweza?....
[emoji117]Kundi la the late CEO nawao hawako nyuma, target wao ni the old CEO[emoji23] mipango inasukiwa ndani ya nchi watamuweza????
Je MR OLD CEO Atahimili mishale toka nje na dani ya nchi inayokuja??? .....
Je hilo kundi la wafanya biashara linalo lalamika ni akina nanani??
Wanasema umoja ni nguvu utengano ni dhaifu!! [emoji108][emoji108][emoji108][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji1739][emoji1739]
acha ujinga we lofa. what do you? idiotHadithi ya kutunga , ila kuna watu wanaamini ni ya kweli.
Mods hii hadithi ipelekeni jukwaa la burudani.
Hongera kwa kulipiza! Nikutajie majina yao?Haaaaaah haaaaaah sasa kama Mimi na Miaka yangu 17 nmefungua code yeye kashindwa duh itakuaje sasa huyu Mzee??
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Hadi wewe mkongwe wa JF brother humjui branch Manager. Ni mkusanya nauli kwenye daladala anayedhulumianaNaomba kumjua branch Manager tafadhali maana wengine wote code zipo uchi
Watanzania wapi? Wewe mwenyewe usituunganishe woteHii habari imenitonesha moyo wangu, Mungu atahusika na wote waliofanya hivi, machozi na maumivu makali tuliyopata watanzania ni lazima watayalipa tena very soon.
Kuna mmoja alikataa kuketi kwenye kiti, itakuwa alikuwa anajua mchezo mzima unaendaje..Jamaa hakuwa target
Taja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hongera kwa kulipiza! Nikutajie majina yao?
Kulikuwa na uwalakini wa ajabu sana yaani afe yeye wasaidizi wake wa karibu wapone??? Kuna vitu hata havihitaji akili kubwa kufikiriaJamaa ni muumini mzuri wa kristo ndicho kilimuokoa kile😅 af jamaa walivyokuwa wahuni wakatembelea upepo wa Korona yani kila waliempiga na kitu kizito wakaipa lawama Covid kwa hio kundi la maboya waliamini New CEO kakabwa na Corona and the rest of the Company members
Haya mkuu Extrovert.!We nenda kavae kanga za Lumumba! Acha watu wamwage deepshit hadharani maana mlihisi yanafichikaga haya. Kwa kudra za Mungu Magu angemaliza terms zote mbili na tungekuwa mbali sana kiuchumi baada ya miradi kukamilika ila ni kutokana na roho za chuki na tamaa za mafisadi wamedhulumu uhai wake.
Kuwa mtu wa kawaida kunakuja na gharama zake pia.Mara nyengine ni kheri kuwa mtu wa kawaida, ukubwa na utukufu una gharama mbaya mnooooo!
Sent from my D6616 using JamiiForums mobile app
Kumbe haka kamchezo ka ku Araipiana kameanza Long FakaMzee mchonga alitaka ahatarishe awamu ya pili ya Kipipa kisa Baada ya Kipipa kuuza benki ya NBC KWA makaburu !!mzee mchonga akakaairika Sana akamwambia Pengo kuwa kijana wake hafai amalize muda wake wa mhula mmoja akae pembeni!!Sasa Kipipa akazipata akamtuma dokta FULANI akamcheki afya mzee mchonga na ku do something kwenye blood circulatory system ya mchonga!!!alipoanza kuumwa tu wakam direct nje KWA matibabu kumbuka Waziri wa mambo ya nje alikiwa mr smile Sasa akampeleka kwenye kizahanati mtoto Hadi umauti ulipomkuta akapelekwa marehem mzee mganga/MCHAWI Kuuguza mzee mwenzake na ku spin taarifa Hadi RIP mzee mchonga ndio Mr smile Njia ikawa nyeupe kwenda kitalani!!!SOURCE YA TAARIFA NI HUMU HUMU JF KWA KUUNGANISHA DOTS!!!SAMAHANINI WAKUU!!!
yaani pathetic, ukiyaona yanapokuwa majukwaani au makanisani/misikitini yanaongea mpaka mijasho inawatoka utafikiri ni binadamu kumbe mavi tu.Kumbe late ceo alikuwa sawa kuua na kupiga risasi wanafiq wote. YULE ALIKUWA KIONGOZI TUMEZINGIRWA NA FISI NA MBWA.ni bora angeendelea kuwamaliza mmoja mmoja. SASA born town si atamuua kila atakaekwenda kinyume nae. Watu wetu wa usalama tuwatafutie jina lingine ni UCHAFU.
Hiyo paragraph ya mwisho umenena mkuu extrovert. Lazima upambane uwe mkubwa kwa ajili ya kujilinda na uonevu pia.Kuwa mtu wa kawaida kunakuja na gharama zake pia.
Imagine kukosa huduma ya kwanza hospitalini kwa haraka sababu wewe ni kajamba nani[emoji28]?
Can you believe unaweza sumbuliwa na trafiki over trivial matters sababu wewe ni kapuku tu huna kitu wala connection.
This has to shock you even more unaweza kuishi maisha duni bila kazi ila umesoma vizuri na elimu yako? That goes to your kids as well.
Kuna jirani yako sababu tu ni boss TRA anakula nchi na familia yake isivyo kawaida anakudhulumu sehemu ya ardhi yako sababu ana connection na Lukuvi na huna msuli wa kutunishiana nae. As worst as it may sound!
Yeah ukubwa una gharama but compared to benefits its far more essential kuwa mkubwa in the pack.Hiyo paragraph ya mwisho umenena mkuu extrovert. Lazima upambane uwe mkubwa kwa ajili ya kujilinda na uonevu pia.
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app