Dark days 17/03/20...

Eeeeeh leteni letenu riwayaa, wasomaji tupooo hapa.
 
Ila mzee. mzee naona Kama anatak kuzimishwa faster na born town awe makini San na

Ni Nani hyu mzee luga na eyoo bado sijapata code hyo na Ni kampuni gani ilikuwa inamsimika mtu 2018. Au South
Mr Luga ni aliyewahi kushika wadhifa wa secretary general enzi za Ukapa kisha akashika umakamu mwenyekiti enzi za born town na late ceo ndani ya board inayotawala kampuni. Mkoa anaotokea ni ule una kabila la wanaokula umbwa (hahaha).

Mr Eyo hata mimi bado sijampata.
 
Nmeshaligundua kaka,boss anatangulia na ndege convoy inamfuata kwa kuchoma mafuta mpaka mkoa anaelekea,unategemea nn??lzma tunyooke mkuu,

Tuendelee kupata riwaya.
 
Tamthiliya imefikia patamu sana. Kiss of betrayal from Judas Iscariot (Mzee) might utterly end the era of Born Town. But who exactly knows, nobody it's only under Yoga's revealance.

No gun, no bullet but only thalium or polonium can indeed end the game.
 
Na ndio maana sumu ilimrudia tena mr luga..looh hata kama ni Riwaya akil inagoma kuamin..
 
"Anajiona kama shujaa ajaye ila hatokuwa na jina kama wengine, machozi yana mtoka akiwa ka kaaa kwenye kiti akiitazama picha ya founder wa kampuni!!

Then sms inaingia kwenye simu yake!!


"Its either you or me this time"

Mzee anaisoma anasmile kisha ana reply!!

RIP in advance son!! Till we meet again!"

Dah mbavu zangu weeeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yoga mbinguni hufikiπŸ˜‚ mimi nikienda motoni wewe ukaingia mbibguni nitaandamana huko huko dah ati "RIP in advance son"πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Hata hivyo asante kutuburudisha. Waiting for season 2.
 
πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… ati no gun no bullet
 
wakuu hizi code mbili zimenishindaaa; Mr Unknown na Mr Eyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…