Dark days 17/03/20...

Braza somtime muwe mnakausha,
mtoto wa kiume unatakiwa umindi yua business,

Ilikuwa ni usome story toa comment pita kushoto,, sasa wew ndio unaonekana shoga

Muacheni mngoni wangu, apumzike kuwajibu shit,.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] riwaya imewapiga KO na hawaelewi lugha iliyotumika na Code hizi ndo kabisaa wamepotezwa, hasira wanaleta kwangu. Uwiiiiih

Akati mwenzao hii riwaya iko simple mnooo, tatizo n akili na uelewa wao,

yoga ana balaaaah
 
Una mihemko sana mkuu. Mchana mwema

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Dah hatari sana
 
Braza somtime muwe mnakausha,
mtoto wa kiume unatakiwa umindi yua business,

Ilikuwa ni usome story toa comment pita kushoto,, sasa wew ndio unaonekana shoga

Muacheni mngoni wangu, apumzike kuwajibu shit,.
Pilipili ya shambani yakuwashia nini?

Uniite shoga, uniite mbwa, uniite kunguni nk nk bado hutanibadilisha kwa lolote, hata huyo uliyepata kiherehere cha kumjibia jinsia yake anajua atabaki kama alivyo.

Siku zote matusi sio mtaji, nenda kalipe kodi kwa LUGUMWI 😁
 
Eyo naye anatokea kanda ya mwendazake ila upande B. Ni mkongwe kati ya wenyeviti wa kampuni pinzani zinazousaka u-C.E.O
Yaani kama born town angedhurika na ile sumu..ingekuwa ngum sana kujua kama hyu babu nae alikuwamo kumbe ni mbeba lawama tu masikin hajui chochote..loh ngoja nitafute pesa nimeamin kwa kias flan pesa inatetea uhai..na kama huna uhai wako upo mashakani..
 
Yaan born town kwa moves zake lazima umpende. Wao wanaplan wanadhan na yeye hana plans na taarifa[emoji23][emoji23] pk apigwr kisawa sawa. Kwanza waende ngara kule wakawachomoe na hapo kigoma. Wawatoe woteee. Warudishwe kwao. Hatutaki shobo sisi. Pk mwenyewe afya yake mgogoro. Kimekondeana mpka moyo unaonekana kwenye ngozi[emoji23][emoji23]
Born town, nakuaminia katika hili... ila mpango wa hifadhi zetu kuwanyanyasa ndugu zetu hatutaki na kule miambani. Lakini naomba umgonge pk kisawa sawa.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…