miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Oyaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] kmmk. Khaaaa. Umeua sana. Sending some live for thisA dead-case from southern region, once Dar rc and jw captain, older than your father’s grandpa but still filching our meagre cake.
Sio kampuni pinzani, ni group pinzani. Usiconfuse apo.Eyo naye anatokea kanda ya mwendazake ila upande B. Ni mkongwe kati ya wenyeviti wa kampuni pinzani zinazousaka u-C.E.O
[emoji8][emoji8][emoji8]Asante shos ngoja nitulize nisome kipenzi!!
Unachotafuta wee.Unatafuta nini hapa?
Bdo niko kapaA dead-case from southern region, once Dar rc and jw captain, older than your father’s grandpa but still filching our meagre cake.
Mm bdo tupuA dead-case from southern region, once Dar rc and jw captain, older than your father’s grandpa but still filching our meagre cake.
Mimi pia natamani kulamba asali, nipe connection mkuu, yule Jiwe alikuwa analamba mwenyewe.Walamba asali na keki ya taifa wamekuboa [emoji3]
A dead-case from southern region, once Dar rc and jw captain, older than your father’s grandpa but still filching our meagre cake.
umetisha sanaaa, bado tufungulie za mr unknownEyo naye anatokea kanda ya mwendazake ila upande B. Ni mkongwe kati ya wenyeviti wa kampuni pinzani zinazousaka u-C.E.O
mkuuu------kaMm bdo tupu
kamkuchi alikuaga rc dar enzi hizooooMkuu kama inakuja inakataa naona kama ni kamkuchi lakini hyo Dar rc kama hajawahi occupy
George mpole , George huruma .....A dead-case from southern region, once Dar rc and jw captain, older than your father’s grandpa but still filching our meagre cake.
Born town anaharibu kampuni Kwa ufisadi RIP in advance kwake angekuwa MTU Wa maana asingepitia haya.Alafu kuua mkuu wa kampuni tena akiwa madarakani sio kitu kidogo.huyo paka naye watu wake wanajulikana watashughulikiwa.Born town anaharibu nchi ndo maana wameamua hatabaki.Kwamba itabidi mzee alee sumu kwa pamoja na borntown kwa kuwa ndie mentor wake na ukute walishakula sumu pamoja huku mwingne trust ikimumaliza.... huku mzee akijitoa kafara yeye mwenyewe Ili sumu imfikie born town......
Maoni: born town aendelee kuwepo Ili company iwe strong na kusiwe na internal conflicts...compared na akiondoka sijui kampuni itakuaje..bora walage kidogo kidogo kuliko watu strong wakaondoka
ooh oh ndo naiona i,,,oi ishi ase btw sikupangii kikubwa punguza shobo! kama inauma zaa tu masta au unaonaje ukija na thread yako kabisa ya shobo shoboOhhh! Pole sana sikukusudia kukuchosha maana nilikuwa sijui kama ninayoandika yanakugusa. Niwie radhi tafadhali. Unasema niandike na kuongea tena kidogo wakati hapo hapo unachoka, huoni kama nitaendelea kukuchosha, au unapenda kuchoshwa huku ukilalamika?
Director akitoa movie au Mwandishi akitoa kitabu tafsiri ni kuwa Mission accomplished.Kwamba itabidi mzee alee sumu kwa pamoja na borntown kwa kuwa ndie mentor wake na ukute walishakula sumu pamoja huku mwingne trust ikimumaliza.... huku mzee akijitoa kafara yeye mwenyewe Ili sumu imfikie born town......
Maoni: born town aendelee kuwepo Ili company iwe strong na kusiwe na internal conflicts...compared na akiondoka sijui kampuni itakuaje..bora walage kidogo kidogo kuliko watu strong wakaondoka