Dark days 17/03/20...

Una
unandika waraka mrefu halafu unaongea ujinga …. Hujatambua yoga anajaribu kutokua direct awezavyo we huoni ata spelling anazikwepesha makusudi na hata iyo ishu ya mwanasheria kwa akili yako unaona hajui nani anamwapisha rais kwa yote hayo anayosimulia kwa haraka haraka tu smartness ya yoga iko far beyond you huna properties za kum criticize na mwisho ye mwenyewe kasema ni riwaya kinachokuwasha kutueleza hii ni porojo ni nn??
 
Uje umuachie kiti mjoli wa Bwana tuanze upya!!!

All the best ma'am!
 
Nimeonyeshwa kuwa patatokea tetemeko kubwa la ardhi hapa Tanzania ,...ambalo litaharibu makazi,.miundo mbinu nchini na baadhi ya maisha ya watu yatapotea..tujiandae kisaikolojia ndugu zangu..
Rudi kwenye Maombi Mungu anaweza batilisha.

Mungu anapompa ujumbe Nabii juu ya jambo Fulani linaloenda Kutokea, Huwa jambo Hilo Lina chanzo Cha Kutokea kwake.

Kama ni Adhabu, Ukiomba, ukawashirikisha pia watu kuomba, TOBA ikifanyika Kwa walioleta adhabu hiyo Mungu hubatilisha. Wakipuuza litatokea. Amen
 
Wakuu naomba msaada code ya FDR nimeachwa njia panda please
 
Huyu luga n nan aisee na eyo??
 
hahaha eti wanemfuata huko huko! what if Mr PK ndio kamteremsha Late CEO halafu imeundwa sindicate kuwa ni Born town!? think
Huyu paka huyo anaweza fanya hivyo kabisa maana bado hajalipa kisasi chake kwa born town, so rip ya late CEO ni fursa ya paka kumponda kichwa born town, kazi ilishaanza kitambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…