Dark days 17/03/20...

Mkuu huko kwenye kampuni kuna mengi sana hatujui..
Kiufupi Late CEO alijaribu sana tuu..

Narudia.. Late CEO hakumdharau... Bali alijaribu... Uzuri born town alikuwa akipewa taarifa kabla..

Hukuwahi kusikia mtaani kipindi flani walitumwa watu 5 kwa kazi maalum juu ya born town 4 wakarudisha jezi kwa kipa?
 
ajina nani hao mwana hebu hata DM tu nijue pekeyangu! Maisha kumbe yanaenda kasi ee
 
Dah! Nazidi kupotezwa jamani
 
Aisee!
 
Ebhana sio poa
 
Hilo nakubaliana na wewe, ila sio mtu mmoja bali ni kundi la watu. Ndio maana anajua yanayoendelea kwenye team zote 5
Katika hilo hata mimi pia nakubaliana na wewe, pengine hata jina hili la YOGA ni "acronym" ya majina fulani. Tukubali tu ya kwamba katika hii ni tamthiliya ndani yake imeshadadiwa na kushereheshwa na matukio fulani ambayo unaweza kusema kuwa baadhi yake yamewahi kutokea na kuwagusa moja kwa moja wahusika fulani halisi.

Kutokana na hizo "matching concepts" ni dhahiri kwamba uzi huu unafuatiliwa kwa ukaribu na umakini mkubwa sana na makundi ya wale ambao uhusika wao unafanana na watu fulani wenye hulka, haiba, tabia na matendo ya born town, Mkuu, late CEO and the likes.
 
Ila ndiyo hivyo wahuni wameshammezesha ndoano.
 
YOGA Ikiwezekana naomba uungainshe zile episode zote kwa pamoja ili mtu ukitaka uanze kusoma upya basi kusiwe na shida ya kutafuta vipande vinavyofuata lakin pia kwa member wapya itawasaidia kuelewa kwa haraka hii riwaya.
 
Ukisoma hii riwaya kwa Malini ni Kama vile Kuna naked project somewhere, na ukizicode story na ukapigia misitari baadhi ya washirki unaona Kama Kuna likeji nyingi,ni Kama kusema kuwa wamezima CCTV camera halafu wakaweka mkanda unaojirudia au picha chafu, Sasa watu wanakazana kuangalia picha au replaing badala ya kujiuliza nn shida,

Mwisho was ck kunamahali wananataka kutupeleka halafu watatuacha solembe,

Kwenye jina la yoga naona some codes Ila ngoja tuache tu.
 
Mkuu, ulichelewa sana kulitambua hili. He is the plan master. Yaani ndo playmaker.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Wee sema nikudadavulie, kwa code gan ngumu hapo? Woiiiiiiih
Outsider, Insider, Mr Culture, aliyeoigiwa simu na KP kupewa pole ya kuumwa, ambaye anadaiwa late CEO alimfanya vibaya ambaye ni rafiki wa mpiga simu. Who is this? Mr Culture na huyu ni watu wawili tofauti, aliyeoigiwa simu anampigia cyrrent CEO simu wanakutana na kupanga mipango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…