Dark days 17/03/20...

Hivi hili la kuingia Chumbani kwake ni kweli au mnaongezea viungo kunogesha?

Inawezekanaje kwenye karne ya 21?
Kama yeye mwenyewe alisema anayajua mapazia ya chumbani kwake, kwanini na wao wasiingie kuona kitanda chake?

Ukijifanya unaweza kwenda mbele wenzio wanarudi kinyume nyume lakini mnakutana sehemu moja.

Vitu vingine tusome kama story tu mkuu ili tuongeze siku za kuishi.
 
MKUU
Nikuulize

Hivi CEO wa kampuni huchaguliwa huko gizani kabla ya kuletwa KWETU vibwengo tumchague KWA maigizo ya Demkrasia!!?
Au ni gem of chance tu!!?

A genius question

Ila mkuu ninavyojua mpaka mtu anapitishwa ni kwamba wanamjua vizuri na kwamba atafaa kuongoza huku nje

Sasa huko gizani kazi yao ni kumonitor tu na kutoa muongozo in case mambo hayaendi watadeal na CEO tu anapokiuka maagizo and remember wapo kwa ajili ya hawa vibwengo pia
 
The wind bloweth where it listeth, thou hearest the sound thereof, but canst not tell whence it cometh, and whither it goeth: so it every one that is born of the SPIRIT. Amen.

John 3:8
 
MKUU
Nikuulize

Hivi CEO wa kampuni huchaguliwa huko gizani kabla ya kuletwa KWETU vibwengo tumchague KWA maigizo ya Demkrasia!!?
Au ni gem of chance tu!!?

hahahaaha Dunia kote hakuna bosi wa vibwengo anayekuja tu, lazima go ahead itoke mahala.....If said Yes.. its ok. Na tayari vetting inakuwa imefanyika nakuna wakati somebody should come from gizani to clear tha house and check some files this not all the time may be in every 20 to 30yrs..

Kama hakuna enough info na proper vetting, or they are unsure... you will have too many watch dogs for check and balance, and you will be piloted bila kujua mpaka mwisho wako unakwenda kaburini......yule alikuwa proposed na jamaa just after -C04 "kuonewa sana na kudhulumiwa sana" na kajamaa kalishauri kenyewe kakaambiwa "keep going with your project" hahahaha eti mzee wa sea view...yule mbeleko tu ya Babu naye aliproposed akaambiwa keep going with your project but you will balance and check....japo aliulizwa vipi kijana wetu? maana umri umekwenda mzee, akacheka tu kile kicheko chake..... Utajua hujui kilichomkuta Babu Hizbu baadaye pale Mzee wa sea view alipotaka yake.....

Hizi riwaya tu, usichukulie serious....tumemshikia lindo YOGa...
 
the house should be clean, there is house rules gents.... once in house you are a member of house and you should adhere the rules.... breaking the rules could cost you before even the danger to the house..

Once Pope, you are a Pope and member of Catho you should adhere the rules......
 
Ninasoma, nakusoma natamani niendelee kusoma kumbe unakuwa umefika mwisho wa kuandika...unaniacha na hamu ya kuendelea kusoma.
 
Inapendeza sana hii
 
Mkuu samurai codes zako ni ngumu sana ebu jarbu kulengeza na sisi vijana wenu tupate kujua ya gizani
 
Nakumbuka wakati new CEO anaapisha baraza lake la mawaziri mzee alikua India kwa matibabu ambayo hatujaambiwa mpaka leo alikua anasumbuliwa na nini.juzi kati my best friend alikua na graduation hapo udsm,nikafanikiwa kumuona Born town live wakati akiwatunuku wahitimu shahada zao hakika uso wake hauna nuru kabisa. It seems kama mgonjwa flani vile,so ukimix na hii story ya miss yoga unapata picha flani hivi
 
Una uhakika kuwa yoga ni miss?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…