Kama yeye mwenyewe alisema anayajua mapazia ya chumbani kwake, kwanini na wao wasiingie kuona kitanda chake?Hivi hili la kuingia Chumbani kwake ni kweli au mnaongezea viungo kunogesha?
Inawezekanaje kwenye karne ya 21?
MKUUhahaha riwaya ndani ya riwaya....Hizi riwaya tu kuna riwaya za kuzimu nazikumbuka na kuzihadithia tu humu....
MKUU
Nikuulize
Hivi CEO wa kampuni huchaguliwa huko gizani kabla ya kuletwa KWETU vibwengo tumchague KWA maigizo ya Demkrasia!!?
Au ni gem of chance tu!!?
Mzee wa mikoa ya kusini huko...noma sana mdingiiii...Huyo unayemtaja sijui katoka visiwa vya UK hana ofisi hapo kwa current CEO, huyo mzee anayetajwa na yoga ofisi yake ipo hapo hapo kwa current CEO.
Jiongeze bwashee hujafungua code ya Mzee 😁
The wind bloweth where it listeth, thou hearest the sound thereof, but canst not tell whence it cometh, and whither it goeth: so it every one that is born of the SPIRIT. Amen.Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi kuna mtu alipata uongozi accidentally. Hakuwa chaguo la boss, alipewa sababu ya kuua kambi!
Big boss anayemaliza muda alifanya maamuzi hayo akiamini ataweza kum-control kwakuwa file lake analo na anamjua na amempa ili kunusuru mkatiko mkali kwenye kampuni.
Alijua ataleta umoja ndani ya kampuni. Mambo yalibadilika baada ya new boss kupewa kijiti na kukabidhiwa ofisi!
Alichofanya ni kutengeneza timu yake na kuondoa timu yote ya mtoa kijiti! Akaenda mbele zaidi kupitia files na kuanza kutindua maslahi ya mtoa kijiti kwenye kampuni!
Mbaya zaidi, akamfukuza mwenye kijiti, au the old boss kwenye kampuni anayoamini ni ya kwake na bila yeye haiendi!
The New Boss alipewa notification na maelekezo kuhusu mambo kadhaa mara kadhaa, ila aliskika akijibu, yeye ndio mwenye kijiti na hakuna wa kumpangia! Hataki maelekezo na kwanza haelekezeki!
Alijibu hivyo hadharani bila woga wala hofu! Kwakuwa alimjua adui ni nani! Alianza mpaka kutangaza kuwa kampuni ile sasa ni yake na chini yake inafanya makubwa sana, na wale wa zamani walikuwa wanaifilisi!
Haikuwa habari njema saaaana kwa mwenye kijiti kabla ya uchaguzi na backup system yake! Discussion zilifanywa mara kadhaaa kumjadili new big boss in town kumbe the new boss alikuwa anawarecord all the time!
Alichokifanya ni kuvujisha badhi ya convos za washirika wa adui mkuu kum-notify ironically kuwa anajua wanachomjadili na anajua hawampendi! Na amejipanga au ameji-sacrifise yupo tayari kwa lolote!
Shida ikaanza, after a discover kuwa deal za the old big boss zinazimwa na zinachukuliwa kwa nguvu na stakeholders wapya chini ya maelekezo ya the new big boss na stakeholders wa zamani wanatupwa nje ya ukuta!
Ikatisha zaidi baada ya boss mpya kutaka kuwa CEO wa milele! Na akapanga watu wa kuhakikisha hilo linakamilika!
The old boss akakaa chini, akafikiria akaona kama huyu 4 years tu kanifanya hivi je 20 years to come?
Muda ukaenda, the old boss played dead! But came up with a plan, involving the closest friend and the system in the company kama tunavyojua, the old the wine...... the fine it becomes!
The new Big boss kajichanganya during campaings za kuusaka u-CEO tena, akapigwa tukio, after Uchaguzi wa pili wa kampuni only three months akatema ndoano!
Msaidizi wake akaitwa chemba, maelekezo akapewa achukue kijiti, afanye reform mambo kwabu yanapaswa kurudi kama zamani!
Msaidizi kuangalia hali ilivyo, akaanza kurudisha the old structure kwenye kampuni! The only difference ni yeye ndio CEO but behind the scene there is another CEO!!
Let see will the new boss stick to the plan? or...
Itaendelea.......
Guess the company!??
Muendelezo Soma Dark days 17/03/20.…...
Angalizo: Story hii haihusiani na chochote Dark days 17/03/20...
MKUU
Nikuulize
Hivi CEO wa kampuni huchaguliwa huko gizani kabla ya kuletwa KWETU vibwengo tumchague KWA maigizo ya Demkrasia!!?
Au ni gem of chance tu!!?
Ninasoma, nakusoma natamani niendelee kusoma kumbe unakuwa umefika mwisho wa kuandika...unaniacha na hamu ya kuendelea kusoma.hahahaaha Dunia kote hakuna bosi wa vibwengo anayekuja tu, lazima go ahead itoke mahala.....If said Yes.. its ok. Na tayari vetting inakuwa imefanyika nakuna wakati somebody should come from gizani to clear tha house and check some files this not all the time may be in every 20 to 30yrs..
Kama hakuna enough info na proper vetting, or they are unsure... you will have too many watch dogs for check and balance, and you will be piloted bila kujua mpaka mwisho wako unakwenda kaburini......yule alikuwa proposed na jamaa just after -C04 "kuonewa sana na kudhulumiwa sana" na kajamaa kalishauri kenyewe kakaambiwa "keep going with your project" hahahaha eti mzee wa sea view...yule mbeleko tu ya Babu naye aliproposed akaambiwa keep going with your project but you will balance and check....japo aliulizwa vipi kijana wetu? maana umri umekwenda mzee, akacheka tu kile kicheko chake..... Utajua hujui kilichomkuta Babu Hizbu baadaye pale Mzee wa sea view alipotaka yake.....
Hizi riwaya tu, usichukulie serious....tumemshikia lindo YOGa...
Inapendeza sana hiiMkuu!
Kuna tetesi humu JAMVINI Kuwa Baada ya huyu malkia anayekuja atakuwa na mamlaka mapya ya kiroho na ataikomboa ardhi kutoka ufalme wa Giza huo uliopo chini ya giza kijana mwenye kutabsamu!!
Kwamba utakua Mwisho wa Giza Kuwa mlinzi wa ardhi yetu bali Mwenyezi mwenyewe!!
Na HUYO Mjoli wa Bwana kishaanza kupiga jeramba KWA mikutano mizito ardhini kwenye Kanda ya ziwa nyanza!!?
Je mamlaka ya Giza yatakubali hilo Jambo!!?
Hayatamdhuru mjoli!!?
WEWE waonaje!!?
Uzuri wa gizani ni nini na tukitawaliwa na mwanga tutafaidi nini cha ziada?hahahahaha inawezekana gizani ndiko waliko wema na watetezi wa kweli....gizani ndio waliko waumini sahihi walinzi...
Gizani kuna baraka zote za Mungu wa mbinguni maana nia ni njema na utekelezaji wake ndio shida iliko....
Hekaya za abun waasi
Mkuu samurai codes zako ni ngumu sana ebu jarbu kulengeza na sisi vijana wenu tupate kujua ya gizanihahahaaha Dunia kote hakuna bosi wa vibwengo anayekuja tu, lazima go ahead itoke mahala.....If said Yes.. its ok. Na tayari vetting inakuwa imefanyika nakuna wakati somebody should come from gizani to clear tha house and check some files this not all the time may be in every 20 to 30yrs..
Kama hakuna enough info na proper vetting, or they are unsure... you will have too many watch dogs for check and balance, and you will be piloted bila kujua mpaka mwisho wako unakwenda kaburini......yule alikuwa proposed na jamaa just after -C04 "kuonewa sana na kudhulumiwa sana" na kajamaa kalishauri kenyewe kakaambiwa "keep going with your project" hahahaha eti mzee wa sea view...yule mbeleko tu ya Babu naye aliproposed akaambiwa keep going with your project but you will balance and check....japo aliulizwa vipi kijana wetu? maana umri umekwenda mzee, akacheka tu kile kicheko chake..... Utajua hujui kilichomkuta Babu Hizbu baadaye pale Mzee wa sea view alipotaka yake.....
Hizi riwaya tu, usichukulie serious....tumemshikia lindo YOGa...
Noma sana huyo mdingiMzee wa mikoa ya kusini huko...noma sana mdingiiii...
Una uhakika kuwa yoga ni miss?Nakumbuka wakati new CEO anaapisha baraza lake la mawaziri mzee alikua India kwa matibabu ambayo hatujaambiwa mpaka leo alikua anasumbuliwa na nini.juzi kati my best friend alikua na graduation hapo udsm,nikafanikiwa kumuona Born town live wakati akiwatunuku wahitimu shahada zao hakika uso wake hauna nuru kabisa. It seems kama mgonjwa flani vile,so ukimix na hii story ya miss yoga unapata picha flani hivi