Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

So kuna wazee wawili?
Wa UK retired ila anayeongelewa na yoga anapiga kazi na ofisi yake ipo hapo makao makuu ya kampuni, wafungua code waliotangulia walimtambua kuwa ni Kachikum G, sasa code ya huyo wa UK ni ipi?
Agachuuuu.. Ni captain huyu mzee. So alikuwa captain wa born town enzi hizo!?
 
Lakini huyo fashisti wa Uganda alituporomoshea Uchumi wetu, hadi leo tupo hoi japo nduli hayupo.

Vita vina wenyewe jomba,paka kapigana sana vita na Uchumi wake upo vizuri akileta za kuleta tutampiga ila Uchumi wetu utaporomoka kuliko hata ulivyoporomoshwa na Nduli
Hii naisikia Kwa Mara ya pili. How mpaka leo tunataabishwa kwasababu ya ile vita?
 
Mkuu
Yule mtabiri marehemu
Sheh yahya ndiyo aliemkabidhi wazee wa kulinda huyo BT!
Nasikia KILA kombora linagonga mwamba na kumrudia alielituma!!

Ngoja Tuone likigonga mwamba lotawarudia wangapi na Kuwa RIP!!
Uchaguzi wa 2010. Waliitwa waganga na wanajimu wengi nguli kufanya hiyo kazi. Uliyemtaja alishiriki pia. Kuna jirani yetu alikuwa masaidizi wa jamaa mmoja hivi ktk hizo shughuli so naye alihudhuria ktk dua ya BT. Alichotuambia kuwa kama BT akidhurika na dark powers basi itakuwa si mchezo maana vilipigwa visomo kuskaz, mashariki na magharibi. Dua ya mwisho kuna jamaa alitoka Mbagala alishusha kiumbe BT akaambiwa aende popote. Na dua ziliishia hapo.
Yaliyotokea Jangwani jamaa akawa anasema hamna kitu pale labda watumie mbinu nyingine ama kudra.
 
Mkuu!
Kuna tetesi humu JAMVINI Kuwa Baada ya huyu malkia anayekuja atakuwa na mamlaka mapya ya kiroho na ataikomboa ardhi kutoka ufalme wa Giza huo uliopo chini ya giza kijana mwenye kutabsamu!!
Kwamba utakua Mwisho wa Giza Kuwa mlinzi wa ardhi yetu bali Mwenyezi mwenyewe!!
Na HUYO Mjoli wa Bwana kishaanza kupiga jeramba KWA mikutano mizito ardhini kwenye Kanda ya ziwa nyanza!!?

Je mamlaka ya Giza yatakubali hilo Jambo!!?

Hayatamdhuru mjoli!!?
WEWE waonaje!!?

hahahahha, hata walioko gizani wanakwenda msikitini na kanisani.... tena wengine ni wazee kabisa wamisikiti na makanisa na ndio watoa michango mikubwa sana huko...

Giza lipo sio kwa shari hapana, lipo ili uwe huru, uwe salama, uenjoy maisha, ujivunie nchi yako nk.....mamlaka ya vibwengo ipo kwasababu there is people indark.....
 
playing chess, need competent head.

there is dark outside the dark, getting into the dark, the password is you...

hahahhahaha the young Cardinal resign? and the young Papa elected in rome?... this is not the history of Catho.. the Catho is for Catho..... crossing the line, you will be the password..
Sheesh!!![emoji2]
 
Born town ndio nani na kosa lake ni nini mpaka apotee...

the dark is dark, you cant see when you are out...

kheri for kheri, shari for shari...

your line is your boundary, somebody crossed and crossed, again and again ooooh this is kheri sio.....no there is triger to pull, missed several times there is a day will get you....you have to solve the Intergral before the story.
Find him , I'll fix him.

Mzee comment zako kama nasoma mistari ya thriller maestro James Hadley chase.

No orchid for miss blandish
 
Hili nakubaliana na wewe why the whites wanaipump kale kamkoa kake

Juzi Commonwealth wamekutana kule what so special about hako kamkoa.

Jamaa ni their hunting dog anakwaoua resources na kupelekea mabwana zake!

Once they are tired of him wata dump like a used toilet paper.
 
Who is on top!? Naona giza tu ni system gani hiyo isiyogusika? Ni born town? Ninavyojua manyota ana team inamuamini na kumtii, akisema akinukishe hawatampinga yaani anweza kuasi Kwa kuingia msituni na vikosi kadhaa vinavyomuamini then anakinukisha! Au kampuni yetu ina mifumo ambayo haimpi mwanya mkuu Manyota kufanya hivyo? Au ni ustaarabu wake tu! Au, au au au au........
Nitarudi
juzikati mdogo wake alikaririwa anarudisha maneno yasiyona utii kwa boss wao,mpaka boss nayeye akajibu kwamba vijana wakiambiwa ukweli wanakuwa wakali kama pili pili.
unadhani ilikuwa bahati mbaya!!!au ni baada ya kuona fadhira alizolipwa mwenzie hata baada ya kazi nzito??ukumbuke hata hiyo kauli aliitoa mara baada ya boss wao kuonekanani mtu asiyekubali kazi za watu,hata iweje.

lakini ipo siku tutamwelewa proff mtoto wa ally kwanini alijaribu kufanya kile alichotaka kufanya,hawa hawa wanaoparuwana na boss wao wakamzuia kibabe sana,mixer kumweka kizuizini,maana walitimba mpaka hospital baada ya kuona hawalewi.
kwasasa wakipishana na proff wanainama chini.
 
Kifo ni ibada kwa mwanadamu, hii ni kwa mujibu wa dini zote....Kifo ni mali ya Mwenyezi Mungu, yeye ndiye anayeamua nani afe nani abaki..

Tatizo linaanzia pale wanadamu wanapotaka kujimilikisha kifo na kuondoa wenzao, Mungu ametupa mamlaka ya kujilinda na wanadamu watoa roho ( tunasema kheri kwa kheri, shari kwa shari)... Ndio maana hata huku gizani watu humcha Mungu pia..

Mungu ametupa mamlaka ya kuzilinda dola zetu, mipaka yetu, watu wetu, utu wetu,jamii zetu nk dhidi ya wadhalimu wakazi wa dunia walioamua kuuishi dunia..... Hali hufanya watu kutumia mbinu mbalimbali kuishi na kusurvive..... Gizani you should exist strongly and in vibwengo world you shoud do the same hahahaha at the end " survival of the fittest...

msianzishe msiyoweza kuyamaliza au msiyoyajua......Conference 18, out of control, abandon the ship......Vibwengo aora..... Vale.
 
Kwamba siyo asugue goti siyo? Hii watu wanatakiwa kuijua sana, yeye anayajua mapazia ya kitanda chake kumbe mwenzake anaingia hadi chumbani kakwe na kumwambia vipi sasa nikupeleke ufukweni ukanywe gahawa na nguru wa kuchoma huku tukicheza draft?? Nani zaidi hapa?
Hivi hili la kuingia Chumbani kwake ni kweli au mnaongezea viungo kunogesha?

Inawezekanaje kwenye karne ya 21?
 
juzikati mdogo wake alikaririwa anarudisha maneno yasiyona utii kwa boss wao,mpaka boss nayeye akajibu kwamba vijana wakiambiwa ukweli wanakuwa wakali kama pili pili.
unadhani ilikuwa bahati mbaya!!!au ni baada ya kuona fadhira alizolipwa mwenzie hata baada ya kazi nzito??ukumbuke hata hiyo kauli aliitoa mara baada ya boss wao kuonekanani mtu asiyekubali kazi za watu,hata iweje.

lakini ipo siku tutamwelewa proff mtoto wa ally kwanini alijaribu kufanya kile alichotaka kufanya,hawa hawa wanaoparuwana na boss wao wakamzuia kibabe sana,mixer kumweka kizuizini,maana walitimba mpaka hospital baada ya kuona hawalewi.
kwasasa wakipishana na proff wanainama chini.
Hahahahahaaaaa unamsungumzia Shibura Forester [emoji23][emoji38][emoji23][emoji38][emoji23][emoji38][emoji23]
 
Kifo ni ibada kwa mwanadamu, hii ni kwa mujibu wa dini zote....Kifo ni mali ya Mwenyezi Mungu, yeye ndiye anayeamua nani afe nani abaki..

Tatizo linaanzia pale wanadamu wanapotaka kujimilikisha kifo na kuondoa wenzao, Mungu ametupa mamlaka ya kujilinda na wanadamu watoa roho ( tunasema kheri kwa kheri, shari kwa shari)... Ndio maana hata huku gizani watu humcha Mungu pia..

Mungu ametupa mamlaka ya kuzilinda dola zetu, mipaka yetu, watu wetu, utu wetu,jamii zetu nk dhidi ya wadhalimu wakazi wa dunia walioamua kuuishi dunia..... Hali hufanya watu kutumia mbinu mbalimbali kuishi na kusurvive..... Gizani you should exist strongly and in vibwengo world you shoud do the same hahahaha at the end " survival of the fittest...

msianzishe msiyoweza kuyamaliza au msiyoyajua......Conference 18, out of control, abandon the ship......Vibwengo aora..... Vale.
vibwengo wana roho na wana miili pia,ni hasara kubwa kwa kampuni kama ilipata kutokea vibwengo wasielewe late CO alikuwa mtu wa namna gani.
leo hii story inakuja kutufungua kujua kwamba hakuna system tunayoiamini bali kundi fulani la wahuni njaa kali as long umegusa maslahi yao utaondoka.

vibwengo ni vibwengo tu,zaidi ya kutishia watu hakuna kitu cha msingi wanawezakufanya.
 
vibwengo wana roho na wana miili pia,ni hasara kubwa kwa kampuni kama ilipata kutokea vibwengo wasielewe late CO alikuwa mtu wa namna gani.
leo hii story inakuja kutufungua kujua kwamba hakuna system tunayoiamini bali kundi fulani la wahuni njaa kali as long umegusa maslahi yao utaondoka.

vibwengo ni vibwengo tu,zaidi ya kutishia watu hakuna kitu cha msingi wanawezakufanya.

unavyoamini sivyo ilivyo......Vibwengo usalama wao haupo kwenye mamlaka yao, ipo mamlaka yenye nguvu zaidi ya mamlaka yao, Mamlaka hiyo ndio inajua uelekeo ni wapi na nini kifanyike kuwalinda vibwengo.....hii ni kila Taifa unaloliona chini ya jua linaishi hivi...

Usalama wa vibwengo uko mbali gizani, walinzi wa usalama wa vibwengo wako mbali gizani....

A05 - hakuaminiwa na si mmoja wao, balance and check to him results negative..
Kosa, kuamini he was the top, akisemacho ni sheria all over, kumbe yeye ni wa vibwengo...na ana mipaka, and he is monitored, kosa lingine tried ceazing the young boy bila makosa aisee, wale waliomshauri ndio waliokosea eti just to control and be ontop of everything.....thats where the button pressed......its history....
 
unavyoamini sivyo ilivyo......Vibwengo usalama wao haupo kwenye mamlaka yao, ipo mamlaka yenye nguvu zaidi ya mamlaka yao, Mamlaka hiyo ndio inajua uelekeo ni wapi na nini kifanyike kuwalinda vibwengo.....hii ni kila Taifa unaloliona chini ya jua linaishi hivi...

Usalama wa vibwengo uko mbali gizani, walinzi wa usalama wa vibwengo wako mbali gizani....

A05 - hakuaminiwa na si mmoja wao, balance and check to him results negative..
Kosa, kuamini he was the top, akisemacho ni sheria all over, kumbe yeye ni wa vibwengo...na ana mipaka, and he is monitored, kosa lingine tried ceazing the young boy bila makosa aisee, wale waliomshauri ndio waliokosea eti just to control and be ontop of everything.....thats where the button pressed......its history....
A05 hakuwa mmoja wao thats why hajawahi kuwa mpuuzi katika mambo ya kijinga jinga kama yule mwingine,kama kuna jicho kubwa zaidi katika kila yanayondelea basi jicho hilo limefunikwa na filamu iliyorekodiwa matukio,likiamini linaona picha halisi.
alikataa madawa wazi wazi jicho likamchukia serious!!!!
alikataa uonevu na matabaka jicho likamchukia serious!!!!
alikataa uzembe kazini jicho likamchukia serious!!!
alikataa wizi mali za uma jicho likamchukia serious!!!!
alikataa utumwa mamboleo jicho likamkataa!!!!!

finally ikaonekana hapana wacha aondoke kabisa!!hili jicho liko kwa maslahi ya nani,maana hata vibwengo wananashangaa sasa haaaaaa???maana wao wanajipambanua mlengo wao ni ustawi wa mama kampuni.
young boy ana rangi yake ya asili,ndio maana alikimbia uhamishoni maana alijua kilichomponza ni kikubwa sana hakistahili msamaha,usaliti kwa mgongo wa harakati.
 
the young boy , leave his life, enjoy the life, he was just doing his job, collecting data, check and balance and hence reporting to other ghost...... The guy had no problem, he was and he is good boy, he respect anyone, much respect and appreciations to even old ghost...they love him because he keep listen them when he is out the way...
 
A05 hakuwa mmoja wao thats why hajawahi kuwa mpuuzi katika mambo ya kijinga jinga kama yule mwingine,kama kuna jicho kubwa zaidi katika kila yanayondelea basi jicho hilo limefunikwa na filamu iliyorekodiwa matukio,likiamini linaona picha halisi.
alikataa madawa wazi wazi jicho likamchukia serious!!!!
alikataa uonevu na matabaka jicho likamchukia serious!!!!
alikataa uzembe kazini jicho likamchukia serious!!!
alikataa wizi mali za uma jicho likamchukia serious!!!!
alikataa utumwa mamboleo jicho likamkataa!!!!!

finally ikaonekana hapana wacha aondoke kabisa!!hili jicho liko kwa maslahi ya nani,maana hata vibwengo wananashangaa sasa haaaaaa???maana wao wanajipambanua mlengo wao ni ustawi wa mama kampuni.
young boy ana rangi yake ya asili,ndio maana alikimbia uhamishoni maana alijua kilichomponza ni kikubwa sana hakistahili msamaha,usaliti kwa mgongo wa harakati.

hahahaha out of course, there is young boy, quite and smile all the time....there is young boy spitting and talking talking with no point and focus......

meeengi unayoona yapo pia kwa sababu, lack of knowledge can take you out..... hope u know old KGBz and Cow boyz CIA and their business.....hope u know mexico and colombia are in border.....get the point mike.

twende sasa, vibwengo hatujui kitu hata hivi kwenye huu ulimwengu wetu..... wajuzi ni ghost sio kwa maslahi yao bali kwa maslahi pia ya vibwengo, usalama wako inawezekana ukiondoa mwenyezi Mungu unayemuabudu hujui nani wengine wanakulinda nje ya Hawa uwaonao....

There are rules in house....and the house should be clean....hope not the way you think maana pia niko ubongoni kwako...hahahaha
 
Back
Top Bottom