Kifo ni ibada kwa mwanadamu, hii ni kwa mujibu wa dini zote....Kifo ni mali ya Mwenyezi Mungu, yeye ndiye anayeamua nani afe nani abaki..
Tatizo linaanzia pale wanadamu wanapotaka kujimilikisha kifo na kuondoa wenzao, Mungu ametupa mamlaka ya kujilinda na wanadamu watoa roho ( tunasema kheri kwa kheri, shari kwa shari)... Ndio maana hata huku gizani watu humcha Mungu pia..
Mungu ametupa mamlaka ya kuzilinda dola zetu, mipaka yetu, watu wetu, utu wetu,jamii zetu nk dhidi ya wadhalimu wakazi wa dunia walioamua kuuishi dunia..... Hali hufanya watu kutumia mbinu mbalimbali kuishi na kusurvive..... Gizani you should exist strongly and in vibwengo world you shoud do the same hahahaha at the end " survival of the fittest...
msianzishe msiyoweza kuyamaliza au msiyoyajua......Conference 18, out of control, abandon the ship......Vibwengo aora..... Vale.