Jamaa alikuwa mwizi, muuaji na muongoLate CEO hakupenda kuua ,sema ndio na jina kapachikwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa alikuwa mwizi, muuaji na muongoLate CEO hakupenda kuua ,sema ndio na jina kapachikwa
Unaakili kweli?Jamaa alikuwa mwizi, muuaji na muongo
Jamani rest in peace [emoji24]Kivipi tena
Kulikoni??Jamani rest in peace [emoji24]
Unadhani system ikikutaka una ujanja bs utapatikana tu some how Ila yote kwa yote ni Mungu tu aingilie kati[emoji22]Mkuu sasa anashindwaje kufanya shambulio kwa wabaya wake wkati yeye anawatu wake kila kona
Mkuu mzee ndio huyo huyo kachora Hadi kitabu kinachotumika Sasa hivi, halafu huyo unaemsema sio maana ukucheki umri wake na born town alivyo wamepishana miaka miwili tu kwa hiyo mwamba alifungua code fresh.Huyo unayemtaja sijui katoka visiwa vya UK hana ofisi hapo kwa current CEO, huyo mzee anayetajwa na yoga ofisi yake ipo hapo hapo kwa current CEO.
Jiongeze bwashee hujafungua code ya Mzee 😁
So kuna wazee wawili?Mkuu mzee ndio huyo huyo kachora Hadi kitabu kinachotumika Sasa hivi, halafu huyo unaemsema sio maana ukucheki umri wake na born town alivyo wamepishana miaka miwili tu kwa hiyo mwamba alifungua code fresh.
Ukikumbuka Yoga alisema paka alimwambia mzee kwamba unashirikiana na born town wakati alikusaliti na kupoteza popularity yake unakumbuka born town alivyomuondolea sabufa wakati anakua CEO akampa sabufa bwana six.
Hakika hakuna kitakacho mshinda Mungu Giza na Nuru havichangamani na Nuru siku zote huangaza maovu ipo siku vya gizani vitakuwa hadharani hapo ndipo mwanzo wa utungu na Mungu ni mshindi mwisho wa siku.Before God nguvu za Giza is totally nothing ni kujilisha upepo.hii kampuni ni kampuni ya Mungu.Mungu atawandoa wadhalimu wote.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Sema Kuna unknown hyo code ya unknown labda ndio huyo mwenye ofisi hapo kwa current co.So kuna wazee wawili?
Wa UK retired ila anayeongelewa na yoga anapiga kazi na ofisi yake ipo hapo makao makuu ya kampuni, wafungua code waliotangulia walimtambua kuwa ni Kachikum G, sasa code ya huyo wa UK ni ipi?
We kijana hujasoma hii story neno kwa neno, unknown ni unknown, na Mzee ni Mzee, hao ni watu wawili tofauti kabisaSema Kuna unknown hyo code ya unknown labda ndio huyo mwenye ofisi hapo kwa current co.
Sisi hatupendi Ugonvi,sema ukituuzi sana kupita kiasi lazima tukuchape, mfano mdogo tu ni Amini na Uganda yake! Kwa hiyo hizi Nchi nyingi za East Africa zinalitambuwa hilo!!PK ni daraja la kufikia na kupata mali za DRC,full stop.
Yeye binafsi hawezi chochote.
Tunamjua nje ndani,ni wetu,hatutishi na hatubabaishi.
Anaijua vyema Tanzania ndio maana alipewa kitisho kidogo na born town na kuufyata.
Kuna ngozi nyeupe ndiyo ipo nyuma yake.
Asome Kwa kutuliaWe kijana hujasoma hii story neno kwa neno, unknown ni unknown, na Mzee ni Mzee, hao ni watu wawili tofauti kabisa
Mkuuukijua yalipoanzia kuanzia pale yalipoanzia mpaka kijijini ile siku...basi huwezi kumlaumu mtu....sidhani kama kuna mtu anapaswa kufa na kuna mtu ana haki ya kuishi....wote tuna haki ya kuishi au sio.....ukweli uko gizani..
mamlaka ya gizani, iko gizani na kamwe haiwezi kuonekana... kuna wanaoishi gizani tu, wapo wa mwangani tu, wapo waliopewa kibali chagizani na mwangani....
Wasiojua gizani ni wapi walijaribu kuunda giza nje ya giza wakiamini wao ndio giza....waliogizani wanaowaona huko huko kwenye giza lao bila wao kujua kuna giza lingine.....
Lakini huyo fashisti wa Uganda alituporomoshea Uchumi wetu, hadi leo tupo hoi japo nduli hayupo.Sisi hatupendi Ugonvi,sema ukituuzi sana kupita kiasi lazima tukuchape, mfano mdogo tu ni Amini na Uganda yake! Kwa hiyo hizi Nchi nyingi za East Africa zinalitambuwa hilo!!
Mkuu
Yule mtabiri marehemu
Sheh yahya ndiyo aliemkabidhi wazee wa kulinda huyo BT!
Nasikia KILA kombora linagonga mwamba na kumrudia alielituma!!
Ngoja Tuone likigonga mwamba lotawarudia wangapi na Kuwa RIP!!
Kwahiyo tuamini ni yeye Alfa na Omega au tungoje ajaye? Na hii hekaya ya yoga je?Mtabiri ni mwanachama wa kulekule, nje ta kazi yake ya utabiri ana hekima na historia yake....
Kijana ni kijana wao japo haishi gizani, walimleta huku kwa ajili ya kazi zao.... ana baraka za kila kitu.. walio huko ndio wanajua role yake and how loyal he is to the family.....
Wengi huanza wenyewe kumgusa yakigeuka jamhuri ya vibwengo tunaanza kelele, mamlaka ya vibwengo inamwisho, hata yule jamaa kule ndani gizani wanajua yeye ndiye alianza kwa tamaa zake tena si mara moja bali mara kadhaa......bosi wa vibwengo hakujua mamlaka ya vibwengo ni ndogo saana na iko monitored somewhere na huyo wanayepambana naye ndio chair wa check and balance akireport gizani live live....
Vingwengo hatujui meengi, hata nani bosi wa kile kikundi sumbufu cha R&B na nani alikianzisha kwasababu gani? bado hatujui nani kakiua ili iweje hatujui.....RIP mzee wa tabora umeondoka na mengi na heshima yako kule gizani.... (dah ungekuwa hai sijui kama yule dogo angevimba mbele yako japo mwenzie amebaki mtiifu maana ulimpa some codes and he know the limits).....
Yule mgombea Urais naye alijaribu hana hamu tena bila shaka.....
hahahahahaha eti team up with Nyau, halafu tunazungumzia uzalendo....files are there to ensure the land is safe and proud to your sons, grandsons and many generations....
Mkuu!Mtabiri ni mwanachama wa kulekule, nje ta kazi yake ya utabiri ana hekima na historia yake....
Kijana ni kijana wao japo haishi gizani, walimleta huku kwa ajili ya kazi zao.... ana baraka za kila kitu.. walio huko ndio wanajua role yake and how loyal he is to the family.....
Wengi huanza wenyewe kumgusa yakigeuka jamhuri ya vibwengo tunaanza kelele, mamlaka ya vibwengo inamwisho, hata yule jamaa kule ndani gizani wanajua yeye ndiye alianza kwa tamaa zake tena si mara moja bali mara kadhaa......bosi wa vibwengo hakujua mamlaka ya vibwengo ni ndogo saana na iko monitored somewhere na huyo wanayepambana naye ndio chair wa check and balance akireport gizani live live....
Vingwengo hatujui meengi, hata nani bosi wa kile kikundi sumbufu cha R&B na nani alikianzisha kwasababu gani? bado hatujui nani kakiua ili iweje hatujui.....RIP mzee wa tabora umeondoka na mengi na heshima yako kule gizani.... (dah ungekuwa hai sijui kama yule dogo angevimba mbele yako japo mwenzie amebaki mtiifu maana ulimpa some codes and he know the limits).....
Yule mgombea Urais naye alijaribu hana hamu tena bila shaka.....
hahahahahaha eti team up with Nyau, halafu tunazungumzia uzalendo....files are there to ensure the land is safe and proud to your sons, grandsons and many generations....