Dark days 17/03/20...

Yaani hakuna uwiano wala hoja ya mantiki kwamba misri ni Tanganyika [emoji1787],
Hizi Imani hizii.

Nataka adhibitishe kuwa misri ya kiroho ni Tanganyika
Tanganyika yenyewe haipo, ilikomea mwaka 1964/04/26.

Sasa hiyo Tanganyika kwa sasa iko wapi? Maana iliyokuwa Tanganyika sasa inaitwa Tanzania bara.
 
Tanganyika yenyewe haipo, ilikomea mwaka 1964/04/26.

Sasa hiyo Tanganyika kwa sasa iko wapi? Maana iliyokuwa Tanganyika sasa inaitwa Tanzania bara.
Mkuu
Tanganyika ni neno pana Sana!!

Inasadikika Burundi,Rwanda,uganda Hadi kenya zote zilikuwa Tanganyika!kabla ya mipaka ya wakoloni!!

Mengine ya kiroho !!tuyaache coz kila mmoja ana namna yake ya uelewa asomapo maandiko nya kale iwe quran au Biblia!!
 
Uligundua wana mix na uchawi nn?
 
We jamaa unataja ukweli unachanganya na uongo ili.uamanimie kuwa umesema ukweli.
 
naona baada ya udhalimu ule kuwekwa hadharani na wenye nia njema,kuna watu wanajaribu kuhamisha lengo ionekane yalifanyika kwa nia njema,kumbe ulikuwa uhuni wa hovyo tu na tamaa.
 
wenye akili tunasoma kimya kimya huu uzi nyie mapoyoyo mnajitia mnajua sana.

code zote za humu ziko uchi ila mnajifanya kuziweka wazi.

any ways ok ila born town kitakachompata hatakaa aamini.
 
Hakuna cha watu wa gizani.

Ni mashetani hao wanaojifanya watu.
 
Amazing
 
Mmeshaharibu uzi na mambo yenu ya Dini,anzisheni uzi wenu wa Dini zenu hukooo muanze kubishana hukooo sisi tusiyo na dini bali Imani mtuache na Yoga huku tuendelee na habari za Kampuni.
Sijaona mabishano kuhusu dini maana hapa Si Mahali pale.

Zilikuwa story to watu wakibuy time ili YOGA amalizie editing ya episode ya pili.😀😀
 
Habari ya mchana leds and gents!! [emoji123][emoji123] Hope tuko fine!!

After a long break na majukumu ya hapa na pale, And As we are about to drop season 2,

Kama unaswali niulize takujibu tuuu!! Karibuni[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji123]
 
Habari ya mchana leds and gents!! [emoji123][emoji123] Hope tuko fine!!

After a long break na majukumu ya hapa na pale, And As we are about to drop season 2,

Kama unaswali niulize takujibu tuuu!! Karibuni[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji123]
Yoga mimi nakupenda tu sijui kwa nini. Niruhusu nikuite baby tujenge familia.
 
Habari ya mchana leds and gents!! [emoji123][emoji123] Hope tuko fine!!

After a long break na majukumu ya hapa na pale, And As we are about to drop season 2,

Kama unaswali niulize takujibu tuuu!! Karibuni[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji123]
Mbuga NDIO Hiyo ishachukuliwa na mstaafu wa mabaka mabaka kawaMwenyekiti wa uhifadhi!!!?Sasa nasikia mstaafu mabaka aliomba kustaafu kwa hofu ya ku RIP iiiwa je ni KWELI!!?nasikia uso wa Bt ushaanza kupoteza nuru ndio tayari ameshaanza kuziona dark days zake kama late CEO!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…