Mi Corazon
Senior Member
- Oct 16, 2018
- 162
- 253
Ndo maaana ukajiita zee korofi[emoji23][emoji23][emoji23] we mkorofi sana[emoji23][emoji23] anyways asantee kwa upendo [emoji18][emoji18]
Wewe ni jinsia gani?Habari ya mchana leds and gents!! [emoji123][emoji123] Hope tuko fine!!
After a long break na majukumu ya hapa na pale, And As we are about to drop season 2,
Kama unaswali niulize takujibu tuuu!! Karibuni[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji123]
Mbuga NDIO Hiyo ishachukuliwa na mstaafu wa mabaka mabaka kawaMwenyekiti wa uhifadhi!!!?Sasa nasikia mstaafu aliomba kustaafu kwa hofu ya ku RIP iiiwa je ni KWELI!!?nasikia uso wa Bt ushaanza kupoteza nuru ndio tayari ameshaanza kuziona dark days zake kama late CEO!!!?
Yoga tumeona mwaka huu kumetulia sana hakuna vifoo wala taharuki vp mwakani usalama itakuwepo au ndyo mmoja mmoja ataanza kuangukaHabari ya mchana leds and gents!! [emoji123][emoji123] Hope tuko fine!!
After a long break na majukumu ya hapa na pale, And As we are about to drop season 2,
Kama unaswali niulize takujibu tuuu!! Karibuni[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji123]
Hapana Bt ni mstaafu kama kawa!!nazungumzia mstaafu wa baka baka wa juzi alieteuliwa mkit wa Mbuga!!So mkuu mstaafu sio Bt ni mabakamabaka?
Doh!! Sorry sina majibu ya hili dear[emoji6]Mbuga NDIO Hiyo ishachukuliwa na mstaafu wa mabaka mabaka kawaMwenyekiti wa uhifadhi!!!?Sasa nasikia mstaafu mabaka aliomba kustaafu kwa hofu ya ku RIP iiiwa je ni KWELI!!?nasikia uso wa Bt ushaanza kupoteza nuru ndio tayari ameshaanza kuziona dark days zake kama late CEO!!!?
Yoga mi nna shida serious juzi kati nilifanyiwa upasuaji wa mishipa ya moyo hivyo kwa hali yangu ya kiafya na changamoto iliyonikumba nimeshautiwa nihame Rufiji nije Dar karibu na jkci lkn nimenza kukumbana na changamoto toka kwa mkuu wa idara inshort urasimu mkubwa mnoo hawataki nihame bila sababu wala kuhudhuria Clinic naomba ongea na maza nipate uhamisho tu kutoka Rufiji kuja Dar jamani wanataka nife niwaache wanangu bado wadogo wa kwanza Imma miaka 3 na nusu na wapili Gracious mwaka 1 na nusu.Habari ya mchana leds and gents!! [emoji123][emoji123] Hope tuko fine!!
After a long break na majukumu ya hapa na pale, And As we are about to drop season 2,
Kama unaswali niulize takujibu tuuu!! Karibuni[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji123]
If its true, pole sana kipenzi!! Anyways sina conection hiyo ila kuna wahusika wako humu wanapita pita hapa watakusaidia!! Pole sanaYoga mi nna shida serious juzi kati nilifanyiwa upasuaji wa mishipa ya moyo hivyo kwa hali yangu ya kiafya na changamoto iliyonikumba nimeshautiwa nihame Rufiji nije Dar karibu na jkci lkn nimenza kukumbana na changamoto toka kwa mkuu wa idara inshort urasimu mkubwa mnoo hawataki nihame bila sababu wala kuhudhuria Clinic naomba ongea na maza nipate uhamisho tu kutoka Rufiji kuja Dar jamani wanataka nife niwaache wanangu bado wadogo wa kwanza Imma miaka 3 na nusu na wapili Gracious mwaka 1 na nusu.
Yoganisaidie hili plz
Amepumzika.Ukiona kobe ametulia ujue ..........
[emoji8]Jamaniii!! [emoji18][emoji18][emoji18]
Doh!! Sorry sina majibu ya hili dear[emoji6]
Nilijua hii utakua ngumu Sana we keep funguka!!coz ipo KWENYE process ya utekelezaji Wake!!na unajua fika!!imekaa vibaya SANA!!!Doh!! Sorry sina majibu ya hili dear[emoji6]
Yaani ahakikishe sisi wenye one from tabora boys na GPA 4.6 from university of Vancouver ndio tunaelewa tuYoga season 2 weka codes ngumu ngumu haswa ili uwakate ngebe hawa wanao dandia huu uzi kwa mbele na kuharibu kwa makusudi kwa commnts zisizo na maana...mpaka najiuliza walikuwa wapi wasiulete wao...huu uzi upewe heshima yake..[emoji1614]
Hapana itwe "the Dark City"Hiki kisa kinafaa kutengenezewa filamu ya kijasusi flani hivi iitwe hivyohivyo "The dark Days" 17/3/2021