Dark days 17/03/20...

Naomba kujua ni kwann baadhi ya content zilizokuwa ktk hadithi Yako zimechomolewa?

Je wasomaji walinogewa na UTAMU wakaona wachane kurasa za kitabu?

Je wanahisi "Labda Kuna UKWELI ktk hadithi Yako wanajistukia?

Bado mwandishi ni wewe yule yule wa tangu MWANZO au mnapokezana kuandika?
 
Hivi kweli hujui where to channel your problems mpaka uje kujianika humu?na bila kukosea wewe utakua mtumishi kada ya elimu ya msingi
 
Hawataki tuelewe mara Mbili Baada ya ku digest content kwa kina!wanahisi kuna smart elites wats dig deep hata kusitisha mipango fulani endelevu ya story yenyewe!!!Mbwa mwitu akila nyama anafuta mdomo Ili asiliwe na wenzake!hii ni story tu!!!
 
Hawataki tuelewe mara Mbili Baada ya ku digest content kwa kina!wanahisi kuna smart elites wats dig deep hata kusitisha mipango fulani endelevu ya story yenyewe!!!Mbwa mwitu akila nyama anafuta mdomo Ili asiliwe na wenzake!hii ni story tu!!!
Wakumbuke pia kuwa "UOVU" hautamwokoa yule aliyeuzoea.

Siku ya malipo yaja. Amen
 
KWAMBA!
Baada ya mapambano meengi Sana! kuumizana,kuuana,kutukanana,kusaidiana,kuacha legacy na kulitumukia TAIFA!
Kuna dhambi pia nimefanya sasa ni bora nikahiji nisamehewe dhambi niwe msafi kama Mtoto niliyezaliwa leo!
Ndipo nilipe sasa lile agano nilioingia na mungu wa Dunia Baada ya kunipigania na kufikia ndoto zangu!!ndipo nikamalizie safari yangu huko akhera(kuzimu) nilipopatia utajiri na heshima za kidunia!!
Nimuage na mke wangu kwa hija kengele imeshalia !!
Buriani !mtaniandika kwenye kitabu cha kumbukumbu!!!
NAJARIBU KUWAZA KWA SAUTI!WAKUBWA WANA MENGI SANA MIOYONI MWAO!!
 
Asee, watu mnawahi kuamini mapema sana, ghafla bin Vuuuh ushaamini
 
Wakumbuke pia kuwa "UOVU" hautamwokoa yule aliyeuzoea.

Siku ya malipo yaja. Amen
Dr and Dr by professional wakila kiutubio mbele ya halutale uko Saudi Arabia. Wanakosema kwamba uondoa madhambi ya mtu na kurudi kundini. Lakini dini zingine wanasema dhambi zingine huwa hazifutiki utakumbana na mkono wa sheria tu uko kuzimu.
Wakumbuke pia kuwa "UOVU" hautamwokoa yule aliyeuzoea.

Siku ya malipo yaja. Amenkiu
 
Mwisho wa picha unaweza kuta yeye ndio stelingi, kama movie za kibongo tu...
Tuwe wavumilivu kwa s2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…