Dark days 17/03/20...

Nchi za kiafrika ziwashinde wazee wa NWO ni ndoto mkuu,atakayekuja atajaribu but hatodumu Kama mwendazake tuu!
Ni kweli ukisemacho, sisi ni dhaifu kwao lkn tunatunishiana misuli sisi kwa sisi..

Na hilo ni gumu sana kwa maana tayari tumeshaota na mizizi kwenye huo mfumo wao, tusubiri matokeo kwa maana mipango yao ni over 2000+

Tumekumbuka shuka na kumeshakucha !
Yalishatabiriwa long years before us
 
OSAGIEFO was right.
 
Unataka kusema je ?najua odii atukua president wa muda mfupi tu pale kenya yupo atakayeishika nafasi yake kisawa sawa ila sijajua uhusiano unataka kuleta na bt
Naam ipo wazi kwa OD kwa namna tatu
1. Akubali kuwa kivuli kwenye kiti
2. Akubali kuachia kwa hiyari (kujiuzulu).
3. Alazimishwe kuachia peacefully rest without public recognitation.
 
Binafsi Kura zikitosha Rutto is next president, na zitatosha tena nyingi tu
Nadhani maombi ni muhimu Kwa sasa. Hao ni ndugu zetu wa damu.
Mimi pia natamani iwe hivi ila kwa boksi la kura ni kudhihirishia dunia kuna demokrasia ila kila kitu kimepangwa tayari, na itabaki kama wish.
 
Mimi pia natamani iwe hivi ila kwa boksi la kura ni kudhihirishia dunia kuna demokrasia ila kila kitu kimepangwa tayari, na itabaki kama wish.
Najua Hilo. Ni maombi yangu maisha ya Jirani zetu yasiwekwe hatarini sababu ya mipango ya Gizani.

Yanayoonekana kuhusu majirani Si MAZURI, bt ni wajibu wetu kuomba ajili Yao.

Leo 9/8 ktk kitovu Cha Nchi Pana kongamano kuombea Nchi, Si coincidence, Mungu atusaidie EA, Tanzania ikiwemo.

Ameeeen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…