Dark days 17/03/20...

Revenge ya Borntown ni mbaya sana, agwe chairman wa body alikuwa na % bandarini kikamuuma Cha Doha kumbe akaingizwa mtegoni hakujua km ni chambo, sasa yupo kitandani haijulikani ni nini
Nakumbuka kisa Cha mwanamuziki navwanawe walilimwa maisha kifungoni, the late akawatoa siku ya 9/12 pale hasira zilimuwaka akichanganya na Mama kuwekwa ndani mjengoni mpaka kiongozi wa dini kutumwa
Kweli jamaa ukigusa mchongo wake hakubali
 
Niliidharau hii Hekaya mwanzoni ila hapo makamu mwenyekiti kutaka kuzuiwa kupewa uCEO na Bashi boy pana kaukweli kiaina pia wizi wa hela na penyewe pana kauweli Yes kosa kubwa walilolifanya kina Katibu ni kutomshirikisha Beyo boy kumtenga manyota lilikua kosa sana angewasaisia kubeba hii kampuni...alafu deep informal kuwa ni yule bibie hapo mmemuonea sana huyo mama...jamaa alikua hamshirikishi kabisa she was too ceremonial....Pia mtunzi kasahau kuhadithia kuwa waliandaa ka kijipande cha kigazeti cha mchongo kujustify jamaa eti alikua na pesimeka na aliumwa kuanzia akiwa yudizenga ila hii dunia ina mambo jameni anyways



Robo tatu conspiracy robo ukweli
 
Picha lote ni true 100%
hata wangembeba na manyota Beyo watanzania tungegoma, the late CEO alishapanga kundi lake la kutawala maisha. waliopotea na vitisho vilishatukifu yalihitajika mabadiliko ya haraka sana sijui kwanini walimchelewesha.
Mission ya kwanza ilivuja zile simu zilipotrackiwa wakajipanga lkn too late
 
Me najiuliza tu,old CEO ana 72 years sasa hivi.nini anatafuta tena kwenye haya maisha hadi aanze kuongoza hayo magenge ya wahalifu?
Sasa na huyo new CEO atadumu kweli kwa style hiyo?
Ni kweli jamaa ana hyo 72 bt ana watoto wake,ndugu pia ana makampuni yake lazma alinde maslahi yake kwa vyovyote vile ndo maana anaandaa mazingira hata akifa basi atakaowaacha wataendelea kulindwa na kula keki ya taifa.
 
Ukwaju, haina tofauti na Simulizi za Da Brown wa Da vinci codes
 
Naomba kumjua branch Manager tafadhali maana wengine wote code zipo uchi
Stori ya kijinga Sana eti Mfoji vyeti...branch ni mkoa na manager ni URC kama sio ujinga ni nnπŸ˜…πŸ˜…....subiri naomba kuuliza kwanza wakati msema sana anapigwa shaba(Msiba aliziita Blanko) nia ilikua kumuua au kumintimidate na kum nutralize asiendelee na pwelepete? Na pia naomba kujua wakati msema sana anapigwa shaba je Msalikanambe alikuwa boss msaidizi pale Makutopora?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…