Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Ila watu kwa code hamjambo eti "daftari"
I salute itabidi nirudu shule
Sasa hukuona alivyojiliza eti alivyokuwa kwa mlokoni wa tanganyika wezi wataiba daftari lake anaomba anunuliwe jingine, swali la kujiuliza inakuwaje mwanafunzi kapoteza daftari anaenda kumuomba headmaster akamnunulie jingine? Yeye hajui taratibu za kujinunulia.?

Ee mara baadae tukasikia daftari limenunuliwa mtoto anaweza soma shule zote za ndani na nje ya nchi.

Hii kampuni hii.!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] tuendelee au mmechoka jamani??
Tuendelee ila kabla ya kuendelea nambie , sote tunajua late CEO alikuwa smart sana ilikuwaje akamuamini branch manager kiasi hicho wataki tunajua branch manager ni kijana wa old CEO?

Pili the late CEO alikuwa na baba yake yaani alompigania kupata cheo ambae nae alikuwa ceo je ilikuwaje akaondoka kuelekea kwa muumba gafla?

Je ulikuwa ni mpango kuwa mtu hawezi muwajibisha mtoto baba yake bado akiwa hai?
 
Inaendelea.......

60 days before the dark days ........


(Flash back)

Some one called the boss na kumwambia your in danger, some people are planning to take you out! Hawako nafuraha ya hiki unacho fanya! Boss kama kawaida yake kujiamini sana, anadai yeye anaprotection ya kutosha, and if, alisalimika last time akiwa kama cashier wa kampuni ni urongo na upuuzi akiwa the CEO kuwa termineted!!

The boss anaamua kuongeza udukuzi kwa adui zake, lengo awaumbue kumbe they knew and walimpa alichotaka asikie but behind the corridor unyeti wa mambo unaendelea

Kosa kubwa ni kumundermine the old boss A.K.A the king maker!! So the old boss alijua kuna the old CEO kabla yake ambaye ndie alimtengeneza huyu CEO wa sasa. Hata wakati wa mapendekezo tha CEO aliinsisit huyu CEO apewe nafasi kuinusuru kampuni!! Na inavyo onekana huyu ndie behind the scene director wa the existing CEO

They called a meeting, involving one of his closest top security friend from the company! And then come up with targets chart board! Ile bord ilikua ikimuonesha the new boss nasubordnates wake wooote wanaompa kiburi



Wakati huo, big boss nayeye akiwa ajui akaona am cut off totaly old boss in the company, aka select new secretary akamuondoa the old one, then na new public relation officer, wote wakiaminika hawakuwahi kuwa ndani ya kampuni!! Maswali kwa wafanyakazi wa chini walio dhani wana opportunity ya kuchukua hizo nafasi yakaanza but hofu iliyafanya yapoteee

The top security navijana wake wakaidentify targets wao na kupewa go aheard, but before anything kulikuwa na a very deep informer direct kutoka kwenye meza ya new boss!![emoji16][emoji16]

bwana weee!!
Wakaanza na yule old CEO, pitanaye in a way no one noticed!

Big boss was shorked and hakuamini! He was told he died from a normal death! One thing he didnt know is that, inside the office kuna mtu alikuwa anatoa taarifa kwa the old boss, na huyu mtu ni mtu wake wa karibu sanaaa!

The new boss ameshaangaika kumjua huyu mtu but amefail several times. Huyu mtu ndio alitoa time table ya the old CEO anaye aminiwa na new CEO wapi watakutana so that the agent responsible for the assasination can do his job!! [emoji849][emoji2957]

Huyu mtu ndie anaetoa taarifa kwa the old CEO timetable nzima ya the big boss, anakula nini, amelala saangapi, anafanya nini, anawaza nini na maamuzi yake ni yepi, sababu mtu huyu alitokea kuaminiwa sana na the big boss in town[emoji16][emoji16]




So how did they terminate mzee muibua kipaji cha CEO[emoji41][emoji22]......................

Who is the deep informal...... [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee!
 
Tuendelee ila kabla ya kuendelea nambie , sote tunajua late CEO alikuwa smart sana ilikuwaje akamuamini branch manager kiasi hicho wataki tunajua branch manager ni kijana wa old CEO?

Pili the late CEO alikuwa na baba yake yaani alompigania kupata cheo ambae nae alikuwa ceo je ilikuwaje akaondoka kuelekea kwa muumba gafla?

Je ulikuwa ni mpango kuwa mtu hawezi muwajibisha mtoto baba yake bado akiwa hai?
Lucky, rudi mwanzoni mwa uzi huu kuna eneo hayo maelezo yapo.

Sent from my D6616 using JamiiForums mobile app
 
Me najiuliza tu,old CEO ana 72 years sasa hivi.nini anatafuta tena kwenye haya maisha hadi aanze kuongoza hayo magenge ya wahalifu?
Sasa na huyo new CEO atadumu kweli kwa style hiyo?
MKUU MI NILIPOMSIKIAGA ANAROPOKA PALE MAZIKONI NDO NKAJUA NI KIJINGAJINGA.UNAWEZAJE KUSEMA VILE MAHALI PALE NIKABAKI DOMO WAZI. HATA HIVYO ANATAJWA NA KULAUMIWA SANA, YASIJE TOKEA YALE YA NGOMA KULIA SANA . AU ya mwosha kuoshwa hata hivyo lazima mwisho uwepo tu.
 
Mkuu hongera kwa kuliona hilo..
Kwanza alipitiliza kila kitu akitaka kwanza yeye aone maslai yakoje na kuwa mkali sana asisemwe hapa umekosea..
Natolea mfano wa wazi.. Late CEO aliondoa clearing/forwarding companies nyingi pale mjini kati.. Lakini ikatengenezwa moja ionekane ndio inashughulisha na bandari ili eti mapato yaongezeke ... Ile iliyotengenezwa ilikuwa ya kwakwe binafsi ila kwa jicho la nje inaonekana kwa mfumo wa taasisi kampuni... Kitendo hiki kiliaribu ajira za watu kama 5,000 ... Wengi walikuwa wanajishikisha hapo mjini na hakosi hata msimbazi kwa siku.. Kwa kazi hizo na zilikuwa halali..
Kuna mazuri mengi amefanya late CEO na pia kama binadamu kuna mabaya machache aliyafanya... Lakini ukiweka kwenye mizani Mazuri mengi aliyoyafanya yanafunikwa kwa mabaya machache aliyotenda
KWA KUWAGEUZA WATU MAZAO YA MASHAMBANI KWENYE VIROBA HASAMEHEKI .SERIKALI INGEWAZIDI MAJAMBAZI KWA KUUA KIUKWELI LILIKUWA JINGA.
 
MKUU MI NILIPOMSIKIAGA ANAROPOKA PALE MAZIKONI NDO NKAJUA NI KIJINGAJINGA.UNAWEZAJE KUSEMA VILE MAHALI PALE NIKABAKI DOMO WAZI. HATA HIVYO ANATAJWA NA KULAUMIWA SANA, YASIJE TOKEA YALE YA NGOMA KULIA SANA . AU ya mwosha kuoshwa hata hivyo lazima mwisho uwepo tu.
duh wewe kazi aliyoifanya huyo jamaa wa mzoga a.k.a borntown ni kubwa sana mm namshukuru kwani vifo vya kuogofya vilizidi mpaka kwenye chart ya Nchi zisizo na furaha tuliongoza
Mwache Mwendazake apumzike na ss tupumue angalau miaka 10 ya new CEO
 
Back
Top Bottom