Dark days 17/03/20...

Dark days 17/03/20...

Kuna huyu assistant wa sasa wa CEO aliugua sana mpaka akazushiwa amekata kamba, hiki kipindi ilikuwa kwenye february last year, wakati huu watu wa karibu wa the late walikuwa wanapotea hovyo.

Jamaa mpaka alilia kwenye press, sasa sijui alilia nini, au na yeye alishika zile dokuromenti?
Lakini kama aligusa dokuromenti kwa kitu kilichowekwa pale ilikuaje akashinda umauti?

Halafu inaonekana kulikuwa kuna team tayari inajua hachomoi, kwa maana habari zilizagaa balaaa kwamba jamaa he is no longer with us... Mkuu hebu tujulishe hii imekaaje..?

Halafu alionekana amedhoofu na alikua anakohoa ovyo.

Nasubiri na hili utufafanulie kidogo..
Yote haya yameandikwa labda hujasoma
 
Mimi kosa langu kwake ni kumkubali CEO mpya wa kampuni wa sasa hivi kuwa msaidizi wake, nikikumbuka zile TOP SECRETS zilivyokuwa zinavuja hovyo kwa yule mshenzi Kigogo naaanza kuamini huyu ndio alikuwa mshirika mkubwa wakishairikiana na mkuu wa security maana mzee wa smile ndio alimtengenezea njia wote hawa hawakuwa loyal kwake Dead CEO alikosea kimtoa KP katika ile nafasi yake.

Jamaa walikuwa na mkono mrefu mno, hivyo walimchezesha vilivyo the dead CEO alilijua hili sema alikuwa mbishi sana.

Hakika kikulacho siku zote kiko nguoni mwako.
Kama unajua mchakato wa mgombea mwenza huwezi kumlaumu late! It was by surprise lakini old alijua kuicheza ngoma
 
Moja ya vitu vya ajabu na famous sana kufanywa na the late CEO ni attempt assasnation ya moja ya wapingaji wake wakuu!! Kulikuwa na jamaa mmoja mtata sana! Huyu jamaa alikuwa one of the best katika harakati zake zakupinga mambo ya the late CEO!!

Alijua kumzungumzia mtu kwa evidence, facts na sometimes alimtaja kabisa muhusika aliyekuwa kwenye mgogoro naye tena hadharani bila woga wala kupepesa macho!!

Haikuwa bure!! He had back up!! Hizo facts, evidence hazikujitokeza tuuu! Alipewa na alipewa na watu ndani ya kampuni under the director of MR Born town!!!

Iko hivi, the late CEO alipoingia madarakani alikuwa na hasira na udhalilishaji aliofanyiwa during the process of his selection to be the CEO, kuna kundi liliopasuka kutoka kwa MR born town likipinga maamuzi yake! lilitoka wazi wazi kumpinga na kumkataaa huyu the late CEO! Waliandaa mpaka press yaaani! [emoji847]

Na hili kundi ndio hilo today bado hariliziki na maamuzi ya Mr born town[emoji23] na harakati zao bado zinaendelea

So mr born town alifight mpaka jamaa akawa the CEO, alijua hiyo ni tiket ya yeye kulindwa na bwana mdogo! Jamaa alipokabidhiwa tu rungu alianza kudeal nalile kundi liliomkataa hadharani during the process ya kumteua CEO na alishughulikanalo kweli kweli,

Sasa kuwashughulikia huko kukapitiliza mpaka kwa Mr born town! Katika kumpunguza makali mr born town alimtumia kijana huyu anayejulikana kwa misimamo kuibua hoja mbalimbali na kali dhidi ya the dead CEO

Kijana alikuwa hana break[emoji23][emoji23][emoji23] alimtibua na kumchanganya kweli kweli the late CEO[emoji28][emoji28] kulikuwa na ishu ya kampuni kuwekeza kwenye madini, late CEO aliuona mkataba baina ya kampuni yake na kampuni nyeza mkataba huo wa madini haukuwa sawa!! Na deep down alijua kuwa mr born town ana parcentage zake pale kila mwezi kutokana na mkataba

Aliamua kuufumua mkataba na kutaka terms mpya!! Alifanikiwa kuwatight hawa jamaa kiubabe sana. Kwa kuwa hakufuata utaratibu, kwenye kuuvunja mkataba, kijana akawasiliana na hawa kampuni ya pembeni akawaambia huyu amevunja mkataba, mnaweza mpeleka mahakamani na mkapata fidia!!

Na akiwalipa fidia maanayake amefanya maamuzi ya hovyo akiwa ofisini hivyo kitendo cha kuwalipa nyie fidia ni kuipa kampuni hasara! so hafai kuendelea kuwa CEO[emoji1787][emoji1787]


Saa Sio kwamba wao hao jamaa walikuwa hawajui kuwa jamaa kavunja mkataba kimakosa ila kwakuwa wao niwageni na niwawekezaji walijua kabisa kwamba bwana mkubwa kavunja mkataba ila kwakuwa alishika mpini hawakuwa na namna!

Jamaa aliwahakikishia ushindi, maana behind the scene the big done mwenyewe ashapanga connection zake!!


Jamaa msema sanaa akatoka akaanza kueneza habari hiyo kwa wafanyakazi na public! So waliokuwa na investments zao wakapatwa na mashaka sana. Ikabidi the late CEO aitishe press akiwa na team yake kuelezea upande wake!! And he was good!

Aliweza kuwaaaminisha watu kuwa kijana msema sana was wrong and he was right! Na akaapa kuwashughulia wasaliti wooote ndani na nje ya kampuni hasa wanao kwamisha jitihada zake!

Hiz taarifa zilimuudhi sana late CEO, aliwaita vijana wake waanze kumtrace huyu jamaa!! Moja ya vijana aliotaka wawe includeded ili awe anampata updates daily ni huyu branch manger wa makao makuu alipokuwa anaishi yeye the late CEO!!

Mr late CEO alimwamini sana huyu dogo, dogo alijikuta tu ni branch manager ila hana uzoefu wala expossure ya kutosha kwenye nafasi hiyo!! Alionekana mjanja kwa washamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787] dogo alikuwa msumbufu sana kwa wafanyakazi wenzake!!

So alipopewa kazi ya kusimamia task hii kama kawaida yake alimess up!, mr born town akacheza kama pele, maana taarifa alikuwa nayo!! So alipenyeza watu wake in that task force!!


waliandaa mission, but this time late CEO alicheza kama pele pia! Walioandaliwa kwenye kikosi kazi sio waliokwenda kuifanya kazi!! Alifanya hivyo ili kum blind mr BORN TOWN !

Yaani few days befor the mission alichukua vijana wengine kabisa tofauti na mr born town alivyo jua


kikosi kazi kikatumwa kutoka town mpaka eneo kijana msema sana alikuwa anaishi kwa muda! Lakini before kwenda tayari walikuwa wameshaanza kurekodi mazungumzo yake yote! Walikuwa wakimtrace kwa kutumia simu kujua movement zake zoote!!

Mr born town kupitia plantend agents wake wale wa kwanza ndani ya kikosi kazi cha kwannza aliwahi kumnotfy kijana kuwa he is on target awe mwangalifu!

Kijana akaenda pulic akatangaza kuwa the late CEO anamtishia maisha akafumuka mbaya mbele za watu!! Baada ya pale the CEO said enough is enough!!

so jamaa alikuwa anatoka zake kwenye meeting nyuma kulikuwa na gari moja white saloon, ndani kulikuwa na watu wili, dereva na kijana mmoja msaidizi wa branch manager makao makuu! [emoji41]


Gari ilikuwa ikiifuata nyuma gari aliyokuwemo kijana msema sana[emoji1787][emoji1787] so dereva wakijana through side mirrors, aliinotice ile gari!

Akakaa kwanza kimya kuthibitisha kwanza kama kweli ile gari inawafuata!
Akaanza kukata kona zisizo na tija, ile gari ikaendelea tu kuwa nyuma yao! kijana msema sana ikabidi aulize huku tunakwenda wapi, dereva akamtonya kijana, kuna gari iyohapo nyuma inatufuata mda mrefu sana!

Kijana msema sana akashtuka akaangalia kwenye side mirror ya upande wake akiona ile gari!

Kijana akamwambia hemu twende nyumbani pale kuna ulinzi na security camera, lakini pia ni rahisi kupata msaada sababu nimakazi ya watu potential! Ulinzi ni masaa 24!

So Wakaanza kufata uelekeo wa nyumbani kwake, ile gari iliwafuata kama 10 minutes hivi then ikawa imepotea

Kumbe dereva na yule kijana ndani waliamua kuwaacha sabu washasoma uelekeo gari inako kwenda! walitoa taarifa kwa kikosi kazi kilichokuwa karibu na makazi ya kijana, kuwa kijana anaelekea upande wao so waendelee!

Haraka sana vijana wakikosi kazi Walitoka pale ndani na gari mbili aina ya land cruser nyeusi, wakatega eneo kuisubiri gari ya kijana karibu na makazi yake,

ile nyingine iliingia ndani ya makazi moja kwa moja ikawashusha vijana wawili nakuondoka! Hawa wawili walifika mapema kabla ya kijana msema sana kufika! Kazi yao ilikuwa ku clear the enviroment! Walichofanya ni kuwaondoa wale askari pale getini! Baada ya boss wawale walinzi kuwa oder wafuate maelekezo ya hao watu wa wili baada ya kuwapigia simu! Oia kutemper na CCTV cameras[emoji23][emoji23]

Kijana akiwa na dereva wake walipofika tu karibu na nyumba, ile gari nyingine ikaunga kwa nyuma! Dereva aliinotice ile gari kwa haraka akamshtua kijana! kilichowashtua ni gari iko tinted full kioo cha mbele na waliipita ikiwa imepaki ghafla ilionekana iko nyuma yao!

Walienda mpaka getini, kwa kawaida walinzi wa getini hutoka kuuliza utambulisho na kumfungulia geti mgeni, but haikuwa hivyo palikuwa kimya na hakukuwa na mtu ispokuwa wale vijana wawili waliokuwa ndani ya makazi! mmoja akatoka akawa amesimama anaitazama ile gari ya kijana, geti bado halijafunguliwa gari iko silencer!


Ghafla mlio wa Break kali nyuma ya gari ulisikika, derva chap akamwambia kijana ustoke kwenye gari, aka lock milango yote ya gari kwandani! Mmoja wa vijana akashuka toka gari ya nyuma haraka sana! Akawahi mlango wa upande alio kaa kijana akauvuta ukagoma akarudi hatua nne nyuma, vijana wengine wawili wakashuka chap sanaaaa wakawa wanakoki silaa zao! Yule wakwanza akapiga risasi moja kwenye kioo cha bwana kijana!! wale vijana waliokuwa mbele nao wakazunguka wakaja wakajiunga na hawa watatu
Shuhuli ikaanza aisee
Zikaanza kurushwa risasi hovyo kuelekea kwenye gari ! Upande wakijana
Wakati huo kwenye hiyo gari ya hawa vijana branch manager, kijana wa CEO alikuwa akitazama showw showw!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Wakati kijana msema sana na yeye alisha laza kiti kichwa kipo siti ya nyuma kiwiliwil ndio kipo saana kwa mbele!! So hakuwa boya! Wapigaji walijua jamaa bado ka kaaa! So walizitandika nyingi sana eneo hilo, derva alisha shuka akawa kajikinga upande wa mlango wa nyuma ambao risasi hazipigwi sana!!

Baada ya dakika kama tatu hiv jamaa wakatulia kimya wakaskilizia kama kuna movement zozote hawakuona ispokuwa damu(very local) ikichuruzika upande wa mlango wa target!! Badala ya kuhakikisha kama kijana msema sana ameficha moto branch manager mule ndani akawaambia waondoke haraka!!

vijana wote waliingia ndani ya gari haraka sana kisha gari ilianza kutokomea kama haina akili!! taarifa za tukio hilo zikaanza kusaambaa kwa kasi ya ajabu kwamba msema sana kapigwa risasi! Juhudi kadha wa kadha zikafanyika kwa uangalifu sana kunusuru maisha yake!!

Taarifa ikamfikia late CEO kuwa kijana bado yuko hai! Kapelekwa local hospital!! Akachefukwa sanaaaa akatoa order kijana aletwe mjini atamtibia mwenyewe chini ya uangaluzi wake wakati huo akawa amemnotify daktari wake kuwa ajiandae kumfanyia kazi maalum! Daktari akawa ameelewa anachokitaka CEO na huyu ndio yule daktari mtoa dawa za michongo CEO alipoanza kuumwa[emoji16][emoji16]

Daktari akampa tarifa mr born town kuwa huyo kijana akiletwa huku haponi! Mr born town akawanotify team ya kijana msema sana kuwa fanyeni mnavyoweza pelekeni huyo mtu nje ya nchi mkimpeleka town kwa bwana yule hapa haponi!! [emoji23]

Chap kwa haraka team ikajiorganise wakamtransfer jamaa kwenda nje!! The late CEO alikasirika sana hakujua hafanye nini but ilikulinda heshma yake akaenda mtandaoni akatoa pole kwa kijana[emoji1787][emoji1787]

Akachukua phone akamtwangia brach manager! Akamuuliza uko wapi? Kijana akasema hapa tunakaribia town boss!! CEO akakata simu, akatafakari akampigia mwenyekiti wa board ya kampuni!! Akamwambia zuia kibali cha huyo kijana kutoka nje!!

Mwenyekiti wabodi kwakuwa ni mtiifu na ni timu CEO kweli kweli akgoma kutoa kibali! Sasa hapo ndio utaijua nguvu ya the born town! The guy alichukua phone akampigia mfanya biashara mmoja mkubwa ambae pia nimemba wake kwenye tim yake lakini pia ni board member akamwambia akikisha unasuport kijana aende nje,.maana huyu ni karata yetu ya baadae!!

The business man kafuata maelekezo and kijana was lifted outside the country!! Akiwa huko the todays CEO ambaye alikuwa assistant wa the late CEO alikuwa akimjulia hali mara moja moja!! Hii ilijenga bond pia kati ya the today CEO na kijana msema sana!

Sasa baada yakufika dubai, CEO anatengenezewa time table ya namna atakavyo kutana na wageni mbali mbali! Kitu walifanya bana,.kwenye time table anaonekana CEO Atakutana na investors from doha!

So alichukuliwa mwarabu mmoja akaambiwa weee ndio utakuwa investor, then akawa na securty wake! Lengo nikuwa mwarabu akifika pale kuonana na CEO akiwa na securty wake binafsi miongoni mwao atakuwepo kijana wa CEO yaani kajipandikiza! Yote hii ni kumkwepa mr born town na connection zake!

Je nini kilizungumzwa ..........??[emoji23][emoji23]

Je lat CEO alimfanya nini BRANCH MANAGER [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yoga Kama yoga..Hapo Kwa Mr msema Sana au Mr wa kubwabwaja Yani muvi hii hapa Kwa jinsi Stori inavyoflow.Najikuta na Mimi nishashika mjegeja nawatwanga za kichwa ahahaha..Stori tamuu
 
We nenda kavae kanga za Lumumba! Acha watu wamwage deepshit hadharani maana mlihisi yanafichikaga haya. Kwa kudra za Mungu Magu angemaliza terms zote mbili na tungekuwa mbali sana kiuchumi baada ya miradi kukamilika ila ni kutokana na roho za chuki na tamaa za mafisadi wamedhulumu uhai wake.
[emoji122][emoji122][emoji122]
The best 007
 
Mimi kosa langu kwake ni kumkubali CEO mpya wa kampuni wa sasa hivi kuwa msaidizi wake, nikikumbuka zile TOP SECRETS zilivyokuwa zinavuja hovyo kwa yule mshenzi Kigogo naaanza kuamini huyu ndio alikuwa mshirika mkubwa wakishairikiana na mkuu wa security maana mzee wa smile ndio alimtengenezea njia wote hawa hawakuwa loyal kwake Dead CEO alikosea kimtoa KP katika ile nafasi yake.

Jamaa walikuwa na mkono mrefu mno, hivyo walimchezesha vilivyo the dead CEO alilijua hili sema alikuwa mbishi sana.

Hakika kikulacho siku zote kiko nguoni mwako.
Kwenye kuendesha kampuni kuna kuna wakati unalazimika kumkubali mtu hata kama humpendi.awamu ya pili late ceo kuna uvumi kuwa alitaka amteme deep informer, akakosa nguvu, kumbuka baba yake katika kazi alishatangulia mbele za haki. In short hakuwa na jinsi ya kumtoa. Kumbuka hapo bado hajajua kuwa deep informer sio mzuri. Alikuwa hamkubali basi tu analazimika kumkubali. Alikuja kujua amechelewa sana
 
Back
Top Bottom