Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malizia kipande Cha mwishoGuys am sorry ntakuwa off line kwa muda mrefu kidogo!! Sorry!![emoji15][emoji43][emoji43][emoji43]
Tayari..........pini.Guys am sorry ntakuwa off line kwa muda mrefu kidogo!! Sorry!![emoji15][emoji43][emoji43][emoji43]
Kati ya Agwe na Mwarabu nani anatangulia kwenye picha?Guys am sorry ntakuwa off line kwa muda mrefu kidogo!! Sorry!![emoji15][emoji43][emoji43][emoji43]
Unajua kupangilia stori kwa kufuatisha matukio yaliyotokea kwenye kampuni. Hivyo basi, umtunzi mzuri wa riwaya.Guys am sorry ntakuwa off line kwa muda mrefu kidogo!! Sorry!![emoji15][emoji43][emoji43][emoji43]
Umechagua vipande unavyovipenda ndio umeviamini.Niliidharau hii story mwanzoni ila hapo makamu mwenyekiti kutaka kuzuiwa kupewa uCEO na Bashi boy pana kaukweli kiaina pia wizi wa hela na penyewe pana kauweli
Robo tatu conspiracy robo ukweli
Jamaa analeta stori yenye mwelekeo wa kuwagombanisha awaitao Old CEO (born town) na current CEO.Niliidharau hii story mwanzoni ila hapo makamu mwenyekiti kutaka kuzuiwa kupewa uCEO na Bashi boy pana kaukweli kiaina pia wizi wa hela na penyewe pana kauweli
Robo tatu conspiracy robo ukweli
Kimetokea nini tena?Guys am sorry ntakuwa off line kwa muda mrefu kidogo!! Sorry!![emoji15][emoji43][emoji43][emoji43]
Picha lote ni true 100%Niliidharau hii Hekaya mwanzoni ila hapo makamu mwenyekiti kutaka kuzuiwa kupewa uCEO na Bashi boy pana kaukweli kiaina pia wizi wa hela na penyewe pana kauweli Yes kosa kubwa walilolifanya kina Katibu ni kutomshirikisha Beyo boy kumtenga manyota lilikua kosa sana angewasaisia kubeba hii kampuni...alafu deep informal kuwa ni yule bibie hapo mmemuonea sana huyo mama...jamaa alikua hamshirikishi kabisa she was too ceremonial....Pia mtunzi kasahau kuhadithia kuwa waliandaa ka kijipande cha kigazeti cha mchongo kujustify jamaa eti alikua na pesimeka na aliumwa kuanzia akiwa yudizenga ila hii dunia ina mambo jameni anyways
Robo tatu conspiracy robo ukweli
Huu uzi haufutwi... Labda mwandishi amalize simulizi... LabdaHii story nimecopy nataka niisome vizuri weekend hii baada ya kuwa nime-decode kila kitu, ni page 24. halafu nina wasiwasi haya ma-idiots ya kampuni anayoiongelea yoga yanaweza kuikatisha na kuifuta wakati wowote
Ni kweli jamaa ana hyo 72 bt ana watoto wake,ndugu pia ana makampuni yake lazma alinde maslahi yake kwa vyovyote vile ndo maana anaandaa mazingira hata akifa basi atakaowaacha wataendelea kulindwa na kula keki ya taifa.Me najiuliza tu,old CEO ana 72 years sasa hivi.nini anatafuta tena kwenye haya maisha hadi aanze kuongoza hayo magenge ya wahalifu?
Sasa na huyo new CEO atadumu kweli kwa style hiyo?
Ukwaju, haina tofauti na Simulizi za Da Brown wa Da vinci codesPicha lote ni true 100%
hata wangembeba na manyota Beyo watanzania tungegoma, the late CEO alishapanga kundi lake la kutawala maisha. waliopotea na vitisho vilishatukifu yalihitajika mabadiliko ya haraka sana sijui kwanini walimchelewesha.
Mission ya kwanza ilivuja zile simu zilipotrackiwa wakajipanga lkn too late
Guys am sorry ntakuwa off line kwa muda mrefu kidogo!!
😞😔😔🙄
Stori ya kijinga Sana eti Mfoji vyeti...branch ni mkoa na manager ni URC kama sio ujinga ni nn😅😅....subiri naomba kuuliza kwanza wakati msema sana anapigwa shaba(Msiba aliziita Blanko) nia ilikua kumuua au kumintimidate na kum nutralize asiendelee na pwelepete? Na pia naomba kujua wakati msema sana anapigwa shaba je Msalikanambe alikuwa boss msaidizi pale Makutopora?Naomba kumjua branch Manager tafadhali maana wengine wote code zipo uchi