Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kumbe alisema anytime from Tuesday!!!!!???Anytime From Tuesday
Umeandika nn hapa kiongozi wanguDuh, hadi kichichewa humu
Ndio mkuu.Hivi kumbe alisema anytime from Tuesday!!!!!???
Acha udomo zege, ukiomba msaada wa kuchangiwa bando tutakuchangia ili usipitwe na uhondo wa leoHapa Sasa yoga anazingua,mwaga vitu mi kifurushi changu ndiyo kibakata siyo muda
Mkuu,likichacha Basi Tena,sijafikia kwenye kuchangiwa pesa ya bando ingawa Mimi pia Ni mnyonge.Acha udomo zege, ukiomba msaada wa kuchangiwa bando tutakuchangia ili usipitwe na uhondo wa leo
TUESDAY
Mnyonge gani wewe usiyependa kupewa msaada?Mkuu,likichacha Basi Tena,sijafikia kwenye kuchangiwa pesa ya bando ingawa Mimi pia Ni mnyonge.
Kwamba Wamemfungia [emoji1][emoji1][emoji1]Itoshe tu kusema kwamba ma bachelor waheshimiwe
We ni mshabiki wa magharibi..?Na Ndio màana ya vugu vugu linaloanzia magharibi Sio!!la Hapo Mwakani linalotabiriwa na watabiri mbali mbali Sio!Hao CIA agent's si Mu7 na The cat Sio!!
Wanataka nani achukue!?Dr.Tibazonkiza Sio!?
TUSUBIRI
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Kumbe Arosto ni kitu real nilikuwa nasimuliwaHivi Yoga, mbona unatizingua lakini binti?