Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks man!Siku copy coz sikujua kama lifespan yake ni fupi hivyo.
But ilianza na kikao cha BT , kabla chairperson wa kikao hajafika wajumbe waliokuwepo kwa kikao wakimsubiri Chair wa Kikao ambaye ni BT walikuwa na jambo wanateta, Mjumbe mmoja kijana alikuwa anatetea vibarua wa kampuni na mmoja mtu mzima akawa anampiga mkwara kwamba kama anahuruma atoke na akitoka atashughulikiwa ipasavyo,
Inshort mjumbe mwenye imani na kampuni aliambiwa ajifunze kuchota bila huruma, wakati wanateta hayo Chairperson yupo zake room ya 2 anawasikilizia na tabasamu kama kawa usoni, kumbe Chairperson ana kawaida ya kutega vinasa sauti sehemu wanazofanyia mitingi bila wajumbe wengine kujua.
Riwaya ikaruka tena kwa mazungumzo ya Branch manager aliyepita mzizima akiwa analalamika kwa kigogo anayeramba asali kwamba account zake 2 hana access nazo kutoa mzigo huku akiporwa baadhi ya mashamba, viwanja na nyumba zake, lakini wakati huo huo Branch Manager akipiga mkwara ana docs inayomfanya asiogope mtu, na kwamba hawezi kuisema sasa coz anasubiri muda, yule kigogo alitamani aijue badala yake akamwambia kwamba current CEO ana mpango wakumrudisha kwenye U Branch manager,
Naona kama PM alikataa hiyo offer,
Inshort The former Branch manager inaonekana ana siri nzito ameificha coz anatamba kwamba hawezi kupelekwa mahakamani wala jela kwa namna yeyote ile coz wakifanya hivyo kitanuka [emoji1],
Na Kigogo akamhakikishia kwamba CEO anamlinda na asiwe na shaka.
Kampuni ngumu sana hii aisee
ANGALIZO.
Riwaya hii haina ukweli wowote, na mimi nimehisi tu alichoandika mtunga Riwaya, wala sijasoma na sijui kama alituma kipande kingine hapa.
Hajaongeza hata chembe. Kaileta kama ilivyo.U
Umejitahidi kutunga "kamwendelezo" ka kupozea arosto 😂
Ngoja tuendelee kumsubiri yoga
Atakuja mkuu, tuliaMimi bado naisubiri hadithi ya Yoga, Yoga njoooo !!!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hajaongeza hata chembe. Kaileta kama ilivyo.
Kumaanisha nini mkuu?Na wewe u miongoni mwao?
Vibwengo wapotoshaji wa uzi wetu pendwaKumaanisha nini mkuu?
Mkuu, punguza stress. Kanywe K-Vant.Vibwengo wapotoshaji wa uzi wetu pendwa
Kweli ana stressMkuu, punguza stress. Kanywe K-Vant.
Naona itakua upande wa kina unknown current ceo na kina mzeePart A ya Story iliishia by kaingia kwenye kikao na kuwachana waliokuwa wanaropoka, Kwa tuliosoma...kijana tajwa hapa ni nan?
Then kama sijakosea Kuna kipande Cha the other side wakitaka kusikiliza kile bt anachotaka kuongea live. Huu sio upande wa paka? Wajuvi tueleweshane
Hawa jamaa watakua wale wa suti nyeusi co bure. Wamejiunga humu kwa mission hiyo tu.Tunaomba awa kina Bachelor waishiwe vocha! Wawe na simu za vitochi.
Nitumie pm mkuuuMimi mtu wa kwanza kuisoma na kucomment, imejaa uongo mtupu na bora kabisa ilivyofutwa.
Nitumie pm tafadhali mkuu.maskni branch managerMimi ninao ulikuwa unahusu kikao Cha team ya bt na kukawa na jamaa analalamika kuwa wapunguze ugumu wa maisha kwenye kampuni Kwa kushusha bidhaa zao lakini akakataliwa na kuambiwa ale awezavyo lakini akistep down atashughulikiwa Kwa mujibu taratibu za team yao.
Huku upande mwingine branch manager wa mzizima kipindi Cha late CEO akilalamika kunyang'anywa mashamba yake na nyumba huku account zake mbili zikifungwa
Mgazeti wenye madini kuntu!! Ila dahhhKwamba umeumaliza huo mgazeti hapo![emoji18][emoji18] Acha bas!!