Ujajikuta mjanja sana eeeh???Wap yoan Gabriel
We ndio mchawi wetu humu nini?Wap yoan Gabriel
HapanaWe ndio mchawi wetu humu nini?
Kwenda mbinguni hakuna sifa wala vigezo maana wote tutaenda wachawi kwa mapadri,malaya,wezi,matajiri,wachamungu,wazee kwa vijana
kwahyo mkuu yoga yupo kundi gani hapoKwenda mbinguni hakuna sifa wala vigezo maana wote tutaenda wachawi kwa mapadri,malaya,wezi,matajiri,wachamungu,wazee kwa vijana
Ila wapo wanaowai mbinguni mfano
Wezi
Wasaliti
Viherehere
N.K
Kwa kweli sijui labda msaliti au kihereherekwahyo mkuu yoga yupo kundi gani hapo
Haya yote kisa kakataa kukupa mbususu mkuu?Kwa kweli sijui labda msaliti au kiherehere
Alikuwa ananipa but mwaka mmoja nyuma akaniacha bila sababu kisa kapata kibosileHaya yote kisa kakataa kukupa mbususu mkuu?
Alikuwa ananipa but mwaka mmoja nyuma akaniacha bila sababu kisa kapata kibosile
🤣😅🤣Acha kutupiga fix wewe
Kwahiyo baada kuachwa asila zako ukaamua kuja kualibu storyAlikuwa ananipa but mwaka mmoja nyuma akaniacha bila sababu kisa kapata kibosile
Mkuu, punguza stress. Kanywe K-Vant.
Una Acc ngapi hapa jf ?mme wake Yoga??Kwa kweli sijui labda msaliti au kiherehere
Kama sio possible, ni probable. Niliwaza swala hilo hilo.Naanza kushawishika kwamba yoga ndie aliyefuta story yake mwenyewe....na kama ni hivyo basi story is over
NimeachaAcha kutupiga fix wewe