Dark days 17/03/20...

Yoga

Nikupe pongezi

Naomba nikiri wazi wewe unekuwa chachu kubwa ya mimi kurudi JF .na leo nimeingia Dimbani rasmi na hii ninsredi ya kwanza baada ya pause ndefu kiasi kuichangia.

Ninaungana na wote tunaokumbea kwa Mungu akupe afya njema.
 
Mm huwa kbla cjasoma content yako nailike Kisha naenda sas kusoma kudos Sana yoga we love you our daughter from ancient

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,
Kwani Dalili za hayo uliyosema kwa kampuni yetu zinaonekana??
 
Wakuu

Ilikuwa story tu

Tukaanza ku decode codes vichwani !vichwa vikajiaminisha need kweli ya mafumbo!

Vipepeo vikashtuka Baada ya KUONA codes are decoded!wakaanza KUONA hatari kama Imani ikikua !!

Wakaanza kupambana na msimuliaji!

It's just a story not an issue guys!!

"Rasimu ya warioba irudi mezani sasa iwe katiba Mpya"
 
Mkuu,
Kwani Dalili za hayo uliyosema kwa kampuni yetu zinaonekana??
Zipo, Kuna mtu anaeandaliwa, Hana backup ya pesa za wazazi, hatoki ukoo wa Watawala, ana maono juu ya nchi. Huyo ndiye.

CATASTROPHY tunazopitia kama Nchi ndo zitamleta akalie kiti.

Anatunzwa Kwa MATUMIZI ya BAADAYE muda ukiwadia.

Amen.
 
Kiujumla watu wameanza kum Attack huyu dada huu ndo ukweli wenyewe namnukuu "attacks ni nyingi lkn mungu wa juu ni mwema"
Pole sana dada labda ujarb kubadili makaz uhame huko mwanza uje dar.
"Attacks" ni nyingi kwa Yoga kwa kuwa watu hawataki kuichukulia hii ni simulizi tu kama anavyosisitiza yeye mara kwa mara bali huuchukulia mtiririko wake kama vile ni bayana ya vitu wanavyofikiria wao katika ulimwengu halisi.
 
"Attacks" ni nyingi kwa Yoga kwa kuwa watu hawataki kuichukulia hii ni simulizi tu kama anavyosisitiza yeye mara kwa mara bali huuchukulia mtiririko wake kama vile ni bayana ya vitu wanavyofikiria wao katika ulimwengu halisi.
Uko sahihi lkn nakupinga kidogo, attack aiwez kuja hv hv bila ya kwa ukweli japo vtu vina relate na kampuni yetu
 
Jamani pamoja na muendelezo wa Riwaya ya YOGA lakini mnafatilia yanayoendelea kwa ndugu zetu wa magharibi(Burundi)? JAMANI tuombeni sana Amani ndani ya nchi yetu na uhuru tulionao na hii Amani tuilinde na kuidumisha kwajili ya vizazi na vizazi.
Siko upande wowote zaidi zaidi ninachojua Mi ni mzalendo kwa Taifa langu.
 
Mkuu unabii unasemaje kuhusu Burundi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…