Candlestick
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 230
- 446
Wow, as long as you are alive I'm grateful for that. Take careMy gosh.........[emoji854][emoji854]
I wish i could show you the work that goes behind the scene my dear .................................
YogaGuys yaaani you dnt know how it hurts to diss apoint you......
Nivile sometimes una meet a very huge changamoto, and una itatua ivo ivo, thanks to everyone and sorry to everyone!!
But you guys are grait!! Attacks ni nyingi but mungu juu ni mwema!! Trust me Tutaendelea!! Strong as ever!!
Nikipost tena na post mwendelezo tu!! Thanks and love you!!!!
A reminder: this is just a story nothing is true hapa!!
Mm huwa kbla cjasoma content yako nailike Kisha naenda sas kusoma kudos Sana yoga we love you our daughter from ancientGuys yaaani you dnt know how it hurts to diss apoint you......
Nivile sometimes una meet a very huge changamoto, and una itatua ivo ivo, thanks to everyone and sorry to everyone!!
But you guys are grait!! Attacks ni nyingi but mungu juu ni mwema!! Trust me Tutaendelea!! Strong as ever!!
Nikipost tena na post mwendelezo tu!! Thanks and love you!!!!
A reminder: this is just a story nothing is true hapa!!
Mkuu,Hatimaye Nuru imelishinda GIZA ktk KAMPUNI ya Jirani zetu nafasi ya u,-CEO.
Odii angeleta Kweli maendeleo ktk Nchi na wangeona mabadiliko ya haraka.
Tatizo kuu ni kuwa Odii anasimama upande wa GIZA.
Tolu anapendwa sana na raia, changamoto ni kuwa hatoweza yafikia matarajio ya raia wengi waliomwamini.
Anaingia Kwa TABASAMU kuu Kutoka Kwa raia kama BT alivyokuwa, lakini atatoka anachukiwa sana sababu kuu ni hatoweza wapa wananchi sawasawa na expectations walizoweka kwake kuwa juu zaidi ya kawaida.
Ataviziwa sana na wanaomzunguka Ili wamchonganishe na wananchi makusudi.
The Good thing Kwa Tolu ni amekaa upande wa kulia wa Mungu na Nuru.
Atahakikisha Mapenzi ya Mungu yanatimia ktk Nchi yake.
Kampuni yetu ijifunze pia kuwa anakuja pia wa aina hiyo ktk KAMPUNI yetu. Atakalia kiti asiyetoka ktk familia za KITAJIRI au WATAWALA, atainuliwa Kutoka CHINI, mavumbini na kuketishwa JUU atawale.
Ameeeen.
Zipo, Kuna mtu anaeandaliwa, Hana backup ya pesa za wazazi, hatoki ukoo wa Watawala, ana maono juu ya nchi. Huyo ndiye.Mkuu,
Kwani Dalili za hayo uliyosema kwa kampuni yetu zinaonekana??
"Attacks" ni nyingi kwa Yoga kwa kuwa watu hawataki kuichukulia hii ni simulizi tu kama anavyosisitiza yeye mara kwa mara bali huuchukulia mtiririko wake kama vile ni bayana ya vitu wanavyofikiria wao katika ulimwengu halisi.Kiujumla watu wameanza kum Attack huyu dada huu ndo ukweli wenyewe namnukuu "attacks ni nyingi lkn mungu wa juu ni mwema"
Pole sana dada labda ujarb kubadili makaz uhame huko mwanza uje dar.
Uko sahihi lkn nakupinga kidogo, attack aiwez kuja hv hv bila ya kwa ukweli japo vtu vina relate na kampuni yetu"Attacks" ni nyingi kwa Yoga kwa kuwa watu hawataki kuichukulia hii ni simulizi tu kama anavyosisitiza yeye mara kwa mara bali huuchukulia mtiririko wake kama vile ni bayana ya vitu wanavyofikiria wao katika ulimwengu halisi.
Mkuu unaota nini??Morrison akainyoosha
Unamaanisha niniMorrison akainyoosha
Akainyoosha akaunti ya yoga humu jukwaani!!?Morrison akainyoosha
Mkuu unabii unasemaje kuhusu Burundi???Hatimaye Nuru imelishinda GIZA ktk KAMPUNI ya Jirani zetu nafasi ya u,-CEO.
Odii angeleta Kweli maendeleo ktk Nchi na wangeona mabadiliko ya haraka.
Tatizo kuu ni kuwa Odii anasimama upande wa GIZA.
Tolu anapendwa sana na raia, changamoto ni kuwa hatoweza yafikia matarajio ya raia wengi waliomwamini.
Anaingia Kwa TABASAMU kuu Kutoka Kwa raia kama BT alivyokuwa, lakini atatoka anachukiwa sana sababu kuu ni hatoweza wapa wananchi sawasawa na expectations walizoweka kwake kuwa juu zaidi ya kawaida.
Ataviziwa sana na wanaomzunguka Ili wamchonganishe na wananchi makusudi.
The Good thing Kwa Tolu ni amekaa upande wa kulia wa Mungu na Nuru.
Atahakikisha Mapenzi ya Mungu yanatimia ktk Nchi yake.
Kampuni yetu ijifunze pia kuwa anakuja pia wa aina hiyo ktk KAMPUNI yetu. Atakalia kiti asiyetoka ktk familia za KITAJIRI au WATAWALA, atainuliwa Kutoka CHINI, mavumbini na kuketishwa JUU atawale.
Ameeeen.